Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 741
- 479
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewasili Mlimani City Jijini Dar es Salaam, tayari kwa ajili ya Tamasha la Mtoko wa Pasaka Aprili 9, 2023 linalowakutanisha Wanamuziki wa nyimbo za Injili Christina Shusho na Rose Muhando.