Baada ya miaka 44 ya kuiburudisha dunia, hatimae MTV imesalimu amri mbele ya YouTube na TikTok.
Soma zaidi...
https://www.instagram.com/p/DS-AHXHFF22/?igsh=a29rb2JwZHJqbHZ3
"Leo" by Harmonize featuring Mbosso, produced by Mafia, is a heartfelt Bongo Flava love anthem that captures the raw honesty of falling deeply for someone at the most unexpected time.
Harmonize...
Filamu zangu za mwaka ni;
1. Superman(2025)
Wamemuonesha superman kwa usahihi kama alivyo kwenye vitabu. Mpole, anayejali watu na ni ishara ya matumaini.
2. Mickey 17(2025)
Inaelezea vizuri...
Aisee kuna hii nyimbo inaitwa; “Sasa ni lunch time tufunge makazi,” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula!
Plus kuna nyimbo za marehemu;
Siri ya nini
Sarafina
Kachichi
Hizi nyimbo hazinitoki.
Chombezo : Beki Tatu Mcharuko Sehemu Ya : Kwanza (1)
“Shogaa yule mfanyakazi nimeshampata ni wewe tu uje kumchukua maana kadada kenyewe kamekaa kazungukazungu kasije kuniibia mume haka.”
“Mhhh...
TAARIFA KWA UMMA
KUANZA KWA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA KAMATI YA KITAIFA YA TUZO ZA MUZIKI TANZANIA (TMA)
Baraza la Sanaa la Taifa linapenda kuufahamisha umma wa Watanzania na wadau wote wa...
Huyu hapa msanii kipenzi cha Gen Z, akitumbuiza goma lake pendwe la "mshike kende, bonyeza pembe, kende ndende ndendeee".
show ilipigwa Maeneo ya Gaza kimara
THE JOURNALIST (TONE LA DAMU)
AMANI KILONZO!!!!!...
Ni jina ambalo lilikuwa alama ya ushindi, lilikuwa ni jina maarufu ambalo kila mwandishi wa habari pamoja na waandishi wote walikuwa...
Habari wana Jamiiforums, Karibuni kusikiliza EP yangu mpya niliyotengeneza Kwa AI inaitwa Street codes, Ngoma Karibu zote ni melodic rap
Track 1: Hustle everyday
Track 2: life is simple...
Nyote mnaopenda riwaya pendwa nadhani mnawajua Joram Kiango ambaye alikuwa muhusika wa mwandishi Ben R Mtobwa, huku Willy Gamba akiwa muhusika wa Elvis Musiba.
Hawa walikuwa wanabaadhi ya sifa...
Nikiri wazi: tangu nimeacha kusikiliza muziki wa hawa wasanii chawa, moyo wangu una amani sana.
Nimengundua muziki wa zilipendwa umejaa madini na hekima nyingi sana, usiochosha kusikiliza.
Muziki...
Habari wanajamvi!
Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80, nilibahatika kusoma riwaya moja ikijulikana kwa jina la PETE. Nahisi ni riwaya ya kimkondo wa Kifalsafa.
Ninachokumbuka kwa haraka ni kuwa...
Watu wengi wamekua wakiuskiliza huu na umewahudumia sana lakini bila kujua ukweli ya kuwa huu wimbo umetengenezwa kwa AI. Ukiangalia kuanzia mpangilio wa sauti, mguso wa hisia na namna ulivyokaa...
“Watu waliopiga kura milioni 31 wameshindwa hata ku-view nyimbo za wasanii wao 😂😂
Demokrasia online imegoma kufanya kazi 🤣”
WE NANI ANA NAMBA
ZA MAMA
AMPIGIE KUNA WATU WANAVIPAJI
VYA...
KISA CHA MSAFIRII
_____________________
Mwaka 2000 katika ukumbi wa Mambo Club (baadae ukaitwa Maisha Club) uliopo pale Oysterbay jijini Dar, lilifanyika tukio kubwa la kihistoria la muziki wa...