TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller
MWANZO
Furaha ilikuwa sehemu ya historia ya wapenzi wawili kwenye maisha yao, walikuwa wanaingia...
Hello kuna watu walikuwa wanatafuta sana wimbo wa John Komba ulioimbwa wakati wa mazishi ya Nyerere, "Taifa lahuzunika" huu apa nimeupata, naomba usishau kuSUSCRIBE channel kwa Mengi zaidi.
Habari wakuu!
Natanguliza shukrani wa wadau na wapenzi wa nyimbo za zamani (zilipendwa),naombeni msaada wa kujua jina la wimbo na wa/mwimbaji kwa kuwa msanii aliyeimba simjui wala jina halisi la...
Baada ya marehemu Steven Kanumba kufa Bongo movie ilipoteza mvuto wake. Ikapoteza ubora wake kwasababu ambao walibaki walishindwa kwenda na ubora ule ule marehemu Kanumba alikuwa nao.
Ndo kitu...
Kwa alie na space movies kali asisite kutupia jina la movie hiyo, ili tujifariji wapenzi wa movie hizo kipindi hichi Cha karantini..
Sifa zisiwe na uongo mwingiiii.. hiyo ni kwangu binafsi ila...
Wakuu mko powa...
Mim ni mpenzi wa yale mangoma ya enzi hizooo,,
Makundi kama The Temptations, Cool & the gang basi nikisikia vibao kama
Treat her like a lady, dady cool, don't let it till...
Nimekuwa mfatiliaji wa filamu hizo mbili, yaani fast & furious na mission impossible.
👉Na niseme pande zote mbili zimekuwa zikijitahidi kuwasiliana kazi iliyo bora zaidi.
Vin Diesel vs Tom...
Sehemu ya 01
Mtunzi Irene Mbowe
Kama kuna vitu wanawake hawaaamini ama hatuamini ni mume kukosa mchepuko. Yanii hii sijui utaniambiaje niamini.
Akili yangu inaamini kabisa mr anachepuka.
Sio...
Habari wakuu,kwa wale wapenda muvi za kila wiki la jumatatu hasa wale Wenye ofisi za library na wanaopenda kutazama au wanaofuatilia muvi za kila jumatatu za
1.kihindi series
2.Korea drama...
Simulizi: Ni mwanaume nilie tambulika mwanamke
“Kho! Kho! Mmh!” inanibidi nikohoe kidogo maana sina kipaji cha kusimulia ila nitajitahidi maana nahitaji kuwafunza mambo mengi. Nimetumia muda...
Gene (illustrator na Comic artist) ni moja ya watu walifanya utoto wa watu wengi kuwa na raha kwa namna yake.
Mchoraji huyu na Director wa Tom and Jerry ambao majina yao halisi ni Jasper na Jinx...
Mtunzi: Nyemo Chilongani
Treni ilisimama mwisho wa reli, mkoani Kigoma ambayo ilianza safari yake ya kuelekea huko siku mbili zilizopita kutoka jijini Dar es Salaam.
Wenyeji waliofika mahali...
RIWAYA: MKOLONI MZAWA—2
MTUNZI: HASSAN MBONECHE
SEHEMU YA 03.
ROMA, ITALY.
Ulikuwa ni usiku. Kamishna wa intellijensia Barabara Ndirimwe alivyokutana na vijana wa PSU, ambao kwa wakati huo...
Habari jukwaani kwa wawafatiliaji wa movie za aliens sizani kama Kuna movie Bora kuizidi invasion ambayo iko season two episode ya 7 week hii ubora wake ni
1. kwanza Aliens hawajavamia america tu...
Original version ilifanywa na Zac Efron na Zendaya mwaka 2017 kwa ajiri ya movies ikienda kwa jina la The Greatest Showman.
Baadaye James Arthur na Anne-Marie walifanya cover yake.Mimi kila...