EmerickJantern
New Member
- Sep 20, 2022
- 4
- 2
Habarini wapendwa,natumaini mnaendelea vyema.Samahani mimi ni kijana wa miaka 22,naishi Buguruni,Dar es salaam.Nina ujuzi katika kutengezneza beat,mimi sio professional sana ila ninajua na ninaweza kwa uwezo wangu.
Kama kuna mtu anafahama studio ya muziki inayohitaji music producer tafadhali naomba unijuze nitashukuru sana.
Kama kuna mtu anafahama studio ya muziki inayohitaji music producer tafadhali naomba unijuze nitashukuru sana.