Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Tuzo kubwa za MTV EUROPE zimewadia na Mtanzania Diamond platnumz ameteuliwa, kuwania kipengele cha mwanmziki bora wa Afrika/,kama utakumbuka za mwanzo zilikuwa ni tuzo za Mtv kwa aAfrika pekee...
3 Reactions
50 Replies
8K Views
Diamond tena aharibu UK show imebuma watu wamelipa ma euro wamekaa mpaka saa kumi alfajiri no show. Huyu dogo tukimsema kuna watu mnatuona tuna beef na mafanikio yake, ila nitaendelea kusema dogo...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Umofia Kwenu wana JF, Mwanamuziki wa Cocacola Pop Stars,Sarah Kaisi Alias Shaa amelamba shavu la kutangaza katika luninga ya Citizen katika kipindi kinachoenda kwa "Sakata Mashariki"...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
MAKUBWA , madogo yana nafuu ! Mwigizaji wa kitambo na mwimbaji wa muziki wa Kizazi Kipya , Ummy Wenslaus ' Dokii ' anadaiwa kutoa kali ya karne baada ya kumpa askari wa jiji rushwa ya busu, Ijumaa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Victor hafai- kabisa,Kwa wasiomjua- huyu jamaa ameanza- hizi vurugu- kitambo. Ameshawatapeli kina Ay birmigham Ay alienda clouds akachafua ila nadhani watu wakawa hawajajua kiundani ni nani...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Dansa wa Nasibu Abdul ' Diamond ' , Moses Iyobo amefunguka kuwa hajawahi kuoa wala kuchumbia bali amezaa na mwanadada anayeitwa Mwengi . Dansa huyo ambaye hivi sasa anadaiwa kukolea kwa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Kwanza wanajitahidi na kujituma katika kazi zao za muziki, lakini wana mapungufu ambayo ni vema wayarekebishe. Katika nyimbo zao wanakera kwa kuweka maneno ambayo yanachukua sehemu kubwa na pia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Udaku Specially Imefanikiwa Kupata Picha za Waanzilishi wawili wa Mtandao Mkubwa East Africa wa Jamii Forums ambao ni Maxence Melo na Mike , Najua ni Wengi Mlikuwa mnapenda Kuwajua kama mimi...
4 Reactions
35 Replies
7K Views
Inafundisha nini jamii huu u supaster wa wapi huu
0 Reactions
111 Replies
11K Views
Kupitia Instagram ya Ray C ameandika: Taasisi ya Ray C Foundation iliyo chini ya muimbaji mkongwe, Ray C imefanikiwa kuongeza mradi mpya wa mgahawa ambao utatoa fursa ya ajira kwa vijana...
0 Reactions
255 Replies
27K Views
Umofia Kwenu wadau wa JF, Kweli wahenga waliona mbali na kauli zao na nimeamini hakuna marefu yeyote yasiyokuwa na mwisho,usemi wao umethibitishwa na ma- beautiful oninyes wa donta,miaka kadhaa...
5 Reactions
22 Replies
8K Views
"Nawashangaa sana watu wengine mnajifanya mnajua sana kuongea kuhusu mambo yasiyo wahusu kuna mzazi yoyote anataka mwanae apotee aache mambo ya kishamba unataka mtoto avae dira kwani yeye mtu...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Taarifa ikufikie kwamba sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ' Lulu' amemnasa aliyekuwa meneja wa Wema Isaac Sepetu , Martin Kadinda ambaye ndiye atakuwa meneja wake kwa sasa...
0 Reactions
65 Replies
11K Views
  • Closed
SIKU chache baada ya kufunga ndoa , mwigizaji Lucy Komba amempa sharti mumewe ambaye ni raia wa Dernmark , Janus Stanley Landrock kwamba hatozaa naye hadi atakapokamilisha suala la uraia wake...
0 Reactions
211 Replies
21K Views
Msanii maarufu wa filamu nchini, lucy komba, ambaye ivi karibuni alifunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake wa siku nyingi, ambaye ni raia wa denmark. Msanii huyo amewatupia dongo la haja wabaya wake...
2 Reactions
116 Replies
16K Views
Msanii wa nyota wa kiwanda cha filamu Bongo, Aunty Ezekiel na mbongo fleva, Kassim Mganga wamepata nafasi ya kutembelea ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington Dc nchini Marekani na kupata...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ukisikiliza sauti za hawa majamaa na wanavyoimba nani unamwona kamzidi mwenzake?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu.. Kayika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu. Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel Mbwana ‘Chaz Baba' anadaiwa nusura amtoe roho mkewe wa ndoa, Rehema Sospeter Marwa baada ya kumpiga na kitu kizito kichwani mpaka...
2 Reactions
47 Replies
10K Views
Back
Top Bottom