Tuzo kubwa za MTV EUROPE zimewadia na Mtanzania Diamond platnumz ameteuliwa, kuwania kipengele cha mwanmziki bora wa Afrika/,kama utakumbuka za mwanzo zilikuwa ni tuzo za Mtv kwa aAfrika pekee...
Diamond tena aharibu UK show imebuma watu wamelipa ma euro wamekaa mpaka saa kumi alfajiri no show.
Huyu dogo tukimsema kuna watu mnatuona tuna beef na mafanikio yake, ila nitaendelea kusema dogo...
Umofia Kwenu wana JF,
Mwanamuziki wa Cocacola Pop Stars,Sarah Kaisi Alias Shaa amelamba shavu la kutangaza katika luninga ya Citizen katika kipindi kinachoenda kwa "Sakata Mashariki"...
MAKUBWA , madogo yana nafuu ! Mwigizaji wa kitambo na mwimbaji wa muziki wa Kizazi Kipya , Ummy Wenslaus ' Dokii ' anadaiwa kutoa kali ya karne baada ya kumpa askari wa jiji rushwa ya busu, Ijumaa...
Victor hafai- kabisa,Kwa wasiomjua- huyu jamaa ameanza- hizi vurugu- kitambo.
Ameshawatapeli kina Ay birmigham Ay alienda clouds akachafua ila nadhani watu wakawa hawajajua kiundani ni nani...
Dansa wa Nasibu Abdul ' Diamond ' , Moses Iyobo amefunguka kuwa hajawahi kuoa wala kuchumbia bali amezaa na mwanadada anayeitwa Mwengi . Dansa huyo ambaye hivi sasa anadaiwa kukolea kwa...
Kwanza wanajitahidi na kujituma katika kazi zao za muziki, lakini wana mapungufu ambayo ni vema wayarekebishe.
Katika nyimbo zao wanakera kwa kuweka maneno ambayo yanachukua sehemu kubwa na pia...
Udaku Specially Imefanikiwa Kupata Picha za Waanzilishi wawili wa Mtandao Mkubwa East Africa wa Jamii Forums ambao ni Maxence Melo na Mike , Najua ni Wengi Mlikuwa mnapenda Kuwajua kama mimi...
Kupitia Instagram ya Ray C ameandika: Taasisi ya Ray C Foundation iliyo chini ya muimbaji mkongwe, Ray C imefanikiwa kuongeza mradi mpya wa mgahawa ambao utatoa fursa ya ajira kwa vijana...
Umofia Kwenu wadau wa JF,
Kweli wahenga waliona mbali na kauli zao na nimeamini hakuna marefu yeyote yasiyokuwa na mwisho,usemi wao umethibitishwa na ma- beautiful oninyes wa donta,miaka kadhaa...
"Nawashangaa sana watu wengine mnajifanya mnajua sana kuongea kuhusu mambo yasiyo wahusu kuna mzazi yoyote anataka mwanae apotee aache mambo ya kishamba unataka mtoto avae dira kwani yeye mtu...
Taarifa ikufikie kwamba sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ' Lulu' amemnasa aliyekuwa meneja wa Wema Isaac Sepetu , Martin Kadinda ambaye ndiye atakuwa meneja wake kwa sasa...
SIKU chache baada ya kufunga ndoa , mwigizaji Lucy Komba amempa sharti mumewe ambaye ni raia wa Dernmark , Janus Stanley Landrock kwamba hatozaa naye hadi atakapokamilisha suala la uraia wake...
Msanii maarufu wa filamu nchini, lucy komba, ambaye ivi karibuni alifunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake wa siku nyingi, ambaye ni raia wa denmark. Msanii huyo amewatupia dongo la haja wabaya wake...
Msanii wa nyota wa kiwanda cha filamu Bongo, Aunty Ezekiel na mbongo fleva, Kassim Mganga wamepata nafasi ya kutembelea ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington Dc nchini Marekani na kupata...
Habari zenu wakuu..
Kayika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu.
Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa...
PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel Mbwana ‘Chaz Baba' anadaiwa nusura amtoe roho mkewe wa ndoa, Rehema Sospeter Marwa baada ya kumpiga na kitu kizito kichwani mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.