Nimekua mfuatiliaji mzuri wa kituo cha television cha star tv.hakika wanawasomaji wazuri wa habari na kimavazi wananivutia haswa kwa jinsi wanavyopendeza. lakini kitu kinachonishangaza na kujiuliza ni kuhusu huyu msoma habari Ayoub Daud.
Tangu nimeanza kumfaham hajawahi kubadilisha suti yake nyeusi ambayo mkoti wake unaishia kifuani.ni kwa nini havai vizuri kama watangazaji wengine wa Star Tv?
Ni kweli unasauti nzuri ya kuvutia lakini ninachokuomba badilika katika uvaaji wako wa suti hususan mikoti inayoishia kifuani, ukizingatia hilo hakika utafika mbali.
Tangu nimeanza kumfaham hajawahi kubadilisha suti yake nyeusi ambayo mkoti wake unaishia kifuani.ni kwa nini havai vizuri kama watangazaji wengine wa Star Tv?
Ni kweli unasauti nzuri ya kuvutia lakini ninachokuomba badilika katika uvaaji wako wa suti hususan mikoti inayoishia kifuani, ukizingatia hilo hakika utafika mbali.