Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wadau huwa kuna kitu kinanichanganya kidogo kuna hawa watu wawili huwa sielewi hasa yupi ni manager wa TipTop Connection (Bonge na Babu Tale) naomba ufafanuzi kidogo kati ya hawa nani ni manager...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Tumeshuhudia mastaa kadhaa waliotutoka na kuacha simanzi kubwa kwa watanzania kutokana na umahiri wa kazi zao eg. Kanumba aliliza wengi kutokana na ukali wake kwenye filamu,Ngwea aliliza wengi...
0 Reactions
146 Replies
15K Views
Akiwa anahojiwa na jarida moja la huko nchini Kenya Vanessa Mdee, afunguka mengi ambayo hajawahi kuyasema sehemu nyingine yeyote ile, na kwa wengi wanaomfahamu mkali huyu wa anayezidi ku make...
1 Reactions
207 Replies
23K Views
Akiendeleza vita vya maneno kimashairi pamoja na ucheshi katika misemo yake, Bepari la kihaya ama waweza muita Mpoki kutoka kundi la Orijino Komedi awamu hii akiwa amemshirikisha Ben Pol ameachia...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
MGAHAWA wa wasanii wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi (OK), umejipatia umaarufu mkubwa na kujizolea idadi kubwa ya watu, wanaohudhuria Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Wakuu, Watu wa karibu wa huyu ndugu yetu Millard Ayo wanadai ndio anamiliki mtoto Vanesa Mdee. Wameonekana sehemu nyingi pamoja, hata interview anazofanyiwa Vanesa na Millard zinaashiria kitu...
0 Reactions
41 Replies
16K Views
Jumapili moja moja nimekuwa nikifuatilia hii show ya TMT. Watangazaji wake (Joti na Lulu) kwa kweli nawakubali, wamejipanga vizuri. Majaji mmh, namkubali mmoja tu, Monalisa. Richie na yule sijui...
0 Reactions
51 Replies
8K Views
Mkurugenzi wa Kampuni ya Benchmark Productions inayoendesha shindano la kusaka vipaji vya muziki, Bongo Star Search (BSS), Rita Paulsen ‘Madam' amesimulia mateso aliyopitia takriban mwaka...
2 Reactions
102 Replies
20K Views
kesho diamond anaachia video zake mbili,mdogomdogo na bambam aliyoimba na iyanya wa Nigeria.ambayo imelenga soko la nje ..chini ni video link ya teaser ya mdogomdogo aliyoifanyia South Afrika...
2 Reactions
20 Replies
9K Views
Mafanikio! Taarifa ikufikie kuwa staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah' amekanusha stori za madai ya kuhongwa gari jipya analosukuma mjini kwa sasa aina ya Toyota Mark X. Linah...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Msanii kutoka pande za Naija aka Nigeria Davido aka Mr. Awards baada ya kuchukua tuzo za MTV, MAMA kama best male na ingine ile ya BET tuzo zote zikiwa ni za mwaka 2014. Davido ameanza kuonesha...
0 Reactions
57 Replies
11K Views
Aisee jamaa yuko fit jamani, Wanasema mwenye nacho anaongezewa nilichokiona Jana jamaa alikuwa anarushiwa dolla kama Yale makaratasi ya miatano pale leaders Nilikuwa Serena hotel KGL tukaambiwa...
2 Reactions
64 Replies
9K Views
Mwanamziki mkongwe wa kimataifa nchini Zimbabwe Oliver Mtukudzi ametunukiwa tuzo ya tatu iliyobeba heshima ya udaktari kutokana na kuwa mshauri na balozi mzuri wa muziki. Mwaka 2003...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
davido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena Diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za MTV,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu...
2 Reactions
323 Replies
35K Views
SIKU chache zimekatika tangu kusambazwa kwa picha feki inayodaiwa ni ya mama wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Mariam Sepetu. Wawili hao wako kwenye mkakati mzito wa kuwasomea kisomo cha...
0 Reactions
88 Replies
15K Views
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu japokuwa sina uhakika sana kama yule mpopo Davido kama alishiriki kwenye tuzo hizi, lakini the comfirmed news hadi sasa Diamond kashinda Kora Music Awards, kama the best male Artist in East...
0 Reactions
68 Replies
13K Views
Kwa wale waliokuwa watazamaji wa ATV(Abood Television)ya morogoro miaka ya tisini mwishoni na mwanzoni mwa miaka ya 2000, kulikuwa na wasanii waliokuwa wanafanya sanaa ya maigizo pamoja na mzee...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom