Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Habari zenu wakuu! Naomba kujua huyu jamaa mahali alipo. Halafu alikua na studio yake inaitwz 'Tetemesha Records' kazi zake hata sizisikii. Pia niliwahi kusikia alivamiwa na majambazi sijui...
0 Reactions
21 Replies
14K Views
TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye...
1 Reactions
76 Replies
16K Views
Ikiwa tumebakiza miezi mitano tu tumalize mwaka huu 2014, scandals na matukio makubwa mbali mbali ya kufuraisha na kuhuzinisha yametokea kwa baadhi ya mastaa wa fani tofauti tofauti apa nchini...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Pole kwa yaliyokukuta but cha kujiuliza pamoja na kuwa kwenye game zaid ya miaka 10 (kwa ufadhili wa Flora) iweje leo unalia lia tu kwenye media kuwa Flora kakuacha? Kwani huna kisomo, nguvu na...
8 Reactions
42 Replies
7K Views
  • Closed
Staa wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anafanya kweli kimataifa, Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz ' ameandika historia kwenye Tuzo za Black Entertainment Television ( BET) 2014 huku akiwatia...
0 Reactions
74 Replies
12K Views
Forbes mtandao unaoaminika kwa kutoa list mbalimbali za uhakika hivi sasa wametoa list ya most powerful celebrities pamoja na pesa walizoingiza tangu June 2013 hadi June 2014. Beyonce...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
JF,.. Yule msanii na bingwa wa miondoko ya Afro pop music barani Afrika, Diamond yupo mbioni kuachia video zake 2 kwa mkupuo za nyimbo zake mpya, na inasemekana video hizo zimegharimu zaidi ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, huwezi ukasoma magazeti ya udaku ukakosa ugomvi wa wasanii na mambo yasiyofaa kwa jamii. Jana kwenye vichwa vya habari vimejaza mwendelezo wa ugomvi kati ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
MBALI na Askofu wa Kanisa la Full Gosple Bible Fellowship, Zacharia Kakobe kuteswa na misukule inayodaiwa kufufuliwa na baadhi ya makanisa ya kiroho nchini, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kijana katisha,anabadilishana jasho na wakina Nelly.Hard work pays,hata kama kakosa tuzo zote potelea mbali ila he made it,mnaoponda mjifanyie tathimini
7 Reactions
80 Replies
8K Views
Diamond yupo jijini Los Angeles Kuhudhuria utoaji wa tuzo za BET jpil trh 29..na moja ya kitu ambacho itakua ni arama na kumbukumbu kubwa kwake,ni jinalake kuandikwa kwenye sakafu ya HOLLYWOOD...
9 Reactions
170 Replies
21K Views
Hivi karibuni kuna baadhi ya picha zimekua zikisambaa kwa kasi zikimuonyesha staa ambaye ni mdogo kiumri lakini anafanya makubwa katika tasnia ya filamu, picha hizo zinamwonyesha staa huyo akiwa...
0 Reactions
51 Replies
52K Views
Best Female R&B/Pop Artist: Beyonce Best Male R&B/Pop Artist: Pharrell Williams Best New Artist: August Alsina Best Group: Young Money Best Collaboration: Beyonce F/Jay Z Best Gospel Artist...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Hongera sana presenter wangu Millard Ayo kwa kushinda tuzo 2 ya mtangazi bora wa redio anayependwa na kipindi bora cha redio kinachopendwa ambacho ni amplifaya hongera saana!! Mungu akupe maisha...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Hatimaye ! Manguli wawili wa Bongo Movies waliokuwa mahasimu wakubwa na kusababisha tafrani kubwa , Wema Isaac Sepetu ‘ Beautful Onyinye’ na Kajala Masanja ‘ K ’ hatimaye wamekutana uso kwa uso (...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Nadhani sasa yale matusi yatapungua kule instagram
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimesikiliza njia panda ya huyu jamaa ambae anaitwa Musa toka mwanzo had sasa imeniogopesha sana kama haya mambo yapo duniani. Nimeleta hapa jamvin niweze kushare na ninyi wenzangu kama mnaijua...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Mwanamuziki nguli wa bongo fleva na mmliki wa machozi band, Judith wambura aka lady jaydee ameonekana kusalimu amri kwa utawala wa radio clouds FM kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni kuyumba...
2 Reactions
116 Replies
18K Views
Kama sikosei usiku huu ndio tuzo zinatolewa.. Tupeane updates wadau..
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Anautajiri wa dola milioni $250 ,jinsi gani alipata hu utajiri,?? Nikutokana na uigizaji wake, Mfanyabiashara na kazi yake ya uimbaji. J-lo ni mwanada maaraufu mwenye maumbile makubwa ya makalio...
4 Reactions
94 Replies
444K Views
Back
Top Bottom