Habari zenu wakuu!
Naomba kujua huyu jamaa mahali alipo. Halafu alikua na studio yake inaitwz 'Tetemesha Records' kazi zake hata sizisikii. Pia niliwahi kusikia alivamiwa na majambazi sijui...
TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye...
Ikiwa tumebakiza miezi mitano tu tumalize mwaka huu 2014, scandals na matukio makubwa mbali mbali ya kufuraisha na kuhuzinisha yametokea kwa baadhi ya mastaa wa fani tofauti tofauti apa nchini...
Pole kwa yaliyokukuta but cha kujiuliza pamoja na kuwa kwenye game zaid ya miaka 10 (kwa ufadhili wa Flora) iweje leo unalia lia tu kwenye media kuwa Flora kakuacha?
Kwani huna kisomo, nguvu na...
Staa wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anafanya kweli kimataifa, Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz ' ameandika historia kwenye Tuzo za Black Entertainment Television ( BET) 2014 huku akiwatia...
Forbes mtandao unaoaminika kwa kutoa list mbalimbali za uhakika hivi sasa wametoa list ya most powerful celebrities pamoja na pesa walizoingiza tangu June 2013 hadi June 2014.
Beyonce...
JF,..
Yule msanii na bingwa wa miondoko ya Afro pop music barani Afrika, Diamond yupo mbioni kuachia video zake 2 kwa mkupuo za nyimbo zake mpya, na inasemekana video hizo zimegharimu zaidi ya...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, huwezi ukasoma magazeti ya udaku ukakosa ugomvi wa wasanii na mambo yasiyofaa kwa jamii.
Jana kwenye vichwa vya habari vimejaza mwendelezo wa ugomvi kati ya...
MBALI na Askofu wa Kanisa la Full Gosple Bible Fellowship, Zacharia Kakobe kuteswa na misukule inayodaiwa kufufuliwa na baadhi ya makanisa ya kiroho nchini, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi...
Kijana katisha,anabadilishana jasho na wakina Nelly.Hard work pays,hata kama kakosa tuzo zote potelea mbali ila he made it,mnaoponda mjifanyie tathimini
Diamond yupo jijini Los Angeles Kuhudhuria utoaji wa tuzo za BET jpil trh 29..na moja ya kitu ambacho itakua ni arama na kumbukumbu kubwa kwake,ni jinalake kuandikwa kwenye sakafu ya HOLLYWOOD...
Hivi karibuni kuna baadhi ya picha zimekua zikisambaa kwa kasi zikimuonyesha staa ambaye ni mdogo kiumri lakini anafanya makubwa katika tasnia ya filamu, picha hizo zinamwonyesha staa huyo akiwa...
Best Female R&B/Pop Artist: Beyonce
Best Male R&B/Pop Artist: Pharrell Williams
Best New Artist: August Alsina
Best Group: Young Money
Best Collaboration: Beyonce F/Jay Z
Best Gospel Artist...
Hongera sana presenter wangu Millard Ayo kwa kushinda tuzo 2 ya mtangazi bora wa redio anayependwa na kipindi bora cha redio kinachopendwa ambacho ni amplifaya hongera saana!! Mungu akupe maisha...
Hatimaye ! Manguli wawili wa Bongo Movies
waliokuwa mahasimu wakubwa na
kusababisha tafrani kubwa , Wema Isaac
Sepetu Beautful Onyinye na Kajala Masanja
K hatimaye wamekutana uso kwa uso (...
Nimesikiliza njia panda ya huyu jamaa ambae anaitwa Musa toka mwanzo had sasa imeniogopesha sana kama haya mambo yapo duniani. Nimeleta hapa jamvin niweze kushare na ninyi wenzangu kama mnaijua...
Mwanamuziki nguli wa bongo fleva na mmliki wa machozi band, Judith wambura aka lady jaydee ameonekana kusalimu amri kwa utawala wa radio clouds FM kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni kuyumba...
Anautajiri wa dola milioni $250 ,jinsi gani alipata hu utajiri,?? Nikutokana na uigizaji wake, Mfanyabiashara na kazi yake ya uimbaji. J-lo ni mwanada maaraufu mwenye maumbile makubwa ya makalio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.