Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mkuu kamayangu Nasoma mpekuzi blog siamini Nijuavyo uko na familia na ndoa Yako Hawa mabinti wawili wanaokugombania nini jipya umekikosa kwa huyu dada shemeji. Jamani aanze kuzalilishwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ' THT' Estalina Sanga ' Linah ' ameaga rasmi jumba hilo ambapo inadaiwa kwa sasa atakuwa chini ya Kampuni ya No Fake Zone &#8216...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Leo nimekuja na ujumbe vijana wenzangu nia yangu ni kuwapa uwelewa na kuwatoa ktk usingizi. Natambua wengi wenu hamjui na hamtambui dunia hii inaongozwa kisiri., yaani ni siri ambayo iko wazi na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
KWAHISANI YA DOMOZEGE.COM Leo chungu cha 19 Inshaallah
0 Reactions
46 Replies
25K Views
JINA lake kamili anajulikana kama Happiness Millen Magese. Ni mshindi wa Shindano la Miss Tanzania Mwaka 2001. Happiness Magese (35), alikuwa akifanya kazi zake za uanamitindo nchini Afrika Kusini...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Yule dada wa UK kwa jina florah lymo au mbutananga yuko hospitalini kwa matibabu baada ya kuhisi kizunguzungu na kuanguka ghafla. Taarifa zilizohakikiwa ni kwamba alifanyiwa kipimo cha Kansa ya...
0 Reactions
62 Replies
11K Views
MBUTA Nanga ni a.k.a ya mwanadada FROLA LYIMO aishie UINGEREZA akiwa MTANZANIA. Nimeshawishika kuandika mada hii kwa kujua fika nae ni mmoja wa member hapa pengineanaweza akasoma au kama kuna...
2 Reactions
130 Replies
22K Views
  • Closed
Bi dada huyu amekuwa akiposti bidhaa zake anazodai anaziproduce yeye na kuziwekea price tag za madolare ya maana. Kumbe bwana sio bidhaa zake, bidhaa hizo ni za trebellawigs. Amekamatwa live na...
8 Reactions
275 Replies
33K Views
Mchizi amesema ooohhh,hii nyimbo bongo haitufai inatakiwa West huko,bumbum beat yake imeongezewa vionjo kidogo tu, Tuddy amecopy kutoka Nigeria. Sikiliza ''you garrit'' ya orezi na bumbum ya...
2 Reactions
37 Replies
10K Views
NEWS DAILY Tanzania imepata ugeni toka Nchini Marekani naye si mwingine ni Terrence J ambaye pia ni mtangazaji wa E! Entetainment Tv ya Nchini Marekani,akiwa na wenzake amefanikiwa kuikanyaga...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
STAA wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amesema baada ya kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu na mtangazaji maarufu Bongo, Peniel Mungilwa ' Penny' , sasa ameamua kumsamehe rasmi kwa heshima...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Msanii wa kizazi kipya maarufu kwa jina la Profesa Jay ameachia picha kibao siku ya leo huku zikimuonyesha akiwa katika hali tata akiwa na watu waliovalia jezi kama za jeshi la polisi, katika...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Wakuu wana JF, Hivi huyu celebrate wetu, mtoto K'ndoni pale, ni yeye kweli au anatumia mchina siku hizi? Hivi mnauonaje unene alionao kwa sasa maana tofauti sana na alivyokuwa pale EATV, au...
0 Reactions
43 Replies
13K Views
Ni kundi liliotikisa katika ulimwengu wa r&b uko marekani katikati mwa miaka ya tisini,kundi hili liliundwa na akina dada Lisa lopes,T boz na Chill na albam yao iliowapa umaarufu mkubwa ni ile...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimeangalia video iliyowekwa mitandaoni inayomuonesha Yule aliekuwa mume wa Dida akihojiwa sababu za kuachana na mke wake. Kuna hiki kitu amekitaja kimenivutia kdogo nidadisi " Kwamba Mult choice...
0 Reactions
51 Replies
9K Views
Baada ya kudaiwa kuwa na gundu kufuatia kila mwanaume anayeishi naye kuandamwa na majanga , staa wa Bongo Movies , Aunt Ezekiel Grayson ameibuka na kukanusha madai hayo akisema hayana ukweli...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Yaani Hapo Angekuwa na Hips diamond sijuii ingekuaje mmmh:peep:
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Habari zenu wanajamii, Huyu kijana wa kuitwa Allan lucky alikuwa anafanya kazi EATV lakini kwa sasa jamaa kavuka boda anafanya kazi Kenya. Kuna hichi kipindi cha Skonga EATV yeye ndiye alikuwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
JAY Z and Beyoncé put on a united front when they performed on stage together this weekend. The power couple's tour has been plagued with infidelity rumours, but Jay Z made sure to put an end...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu bana!haya leo napenda kuzungumzia hili swala la ulipaji kodi Kwenye tasnia ya mziki tanzania.leo in particular BONGOFLAVA! Haya ikiwa wafanya biashara wadogowadogo...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom