SiKU chache baada pedeshee Mkongo , Mwami Rajabu kutangaza kuwa anamtaka staa wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ' Lulu' kwa gharama yoyote, mwigizaji huyo ametoa jibu linaloonesha dhahiri...
Jana nilijihakikishia jinsi gani Diamond yupo katika level yake ya kipekee huko juu....unajua ilikuwaje??
kwenye tamasha la fiesta la Dodoma ilipigwa nyimbo ya mdogomdogo bila Diamond kuwepo na...
Ni baada ya kupata komenti nyingi kwenye kurasa yake ya Instagram za kuitusi Africa na kumuomba asirudi na Ebola nchini kwao...
T.I pia kawapiga mkwara wote wanaongelea Ebola kuwa atawafuta...
STAA wa filamu mwenye makeke mengi, Elizabeth Michael ' Lulu' amesema kwa mtazamo wake anaona Bongo Movies imebuma hivyo ameamua kukomaa na shule ili awe na kitu kingine tofauti na sanaa...
Ni kweli kabisa wolper, kila mtu anafanya uchafu pengine hata kushinda wa kwako, na uko sahihi kusema kila mtu ana Uhuru wa kufanya anavyotaka ila kumbuka wewe ni super staa aka kioo cha jamii...
Literally and figuratively, Shaquille O'Neal is larger than life.
The 7-foot-1 future Hall of Famer, who retired after the 2011 NBA season, has managed to maintain and convert his high profile...
Sioni sababu ya kuendelea na huu mjadala kuhus mambo ya familia ya Mengi, mbona hatujadili familia za JK, Lowassa,Rostamu, Magufuli (ambaye mkewe kazaa na Warioba) ... nadhani hakuna zaidi ya...
Wengi wanasema Chris Bella ndie undisputed king of vocalist in Tanzania...sawa Bella yuko vizuri ila hivi kweli anamfikia Mao Santiago...wazee wenzangu yu wapi Mao Santiago...huyu mkali...
Yule dada aliyehama chama chake cha awali na kwenda chama kingine Maarufu kama Juliana Shonza ameolewa na kufunga ndoa na bwana David...
Hongera zakee.
Star wa filamu za kibongo, Irene Uwoya anadaiwa hana mzuka kabisa wa kutoka kimapenzi na wanaume wanene au wenye vitambi kwa madai si lolote kitandani wanaishia kuhema hema tu.
Inadaiwa kuwa...
Yule Betina wa UK alieeolewa mke wa 3 amekula kipondo cha maana juzi baada ya kugundulika kuwa yeye ndo aliewa rekodi kina Kajala wakimsema Wema na kisha kumrushia Dougiemasta14 hiyo clip.
Sasa...
30/10/2014 anafungua mgahawa mpya wenye baada ya NYUMBANI LOUNGE utakaokwenda kwa jina la NEW MOG bar &restaurant na band yake itaanza rasmi kutumbuiza!!
Ujio huu mpya unathibitisha kuwa ndoa...
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwami inayosaidia watu wasiojiweza na yatima , inayofanya kazi nchi za Kenya na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ( DRC ) , Mwami Rajabu ' Mkongo ' ameibuka na madai...
Jamani wadau wapenda ulimbwende kazi kwenu ndo muda wenyewe. Star tv wanaonyesha moja kwa moja mashindano haya.
=================================
kwenye ukumbi wa Mlimani City,jijini Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.