Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Tumeshazoea kuona baadhi ya mastaa wa Afrika wanapoweka video zao kwenye youtube wanapata views nyingi ndani ya siku chache lakini Good news time hii imeangukia kwa mkali wa Tanzania. Mmiliki...
9 Reactions
29 Replies
6K Views
Hii ni kwa mashabiki wote wa huyu msanii wetu tuje tuungane kwa pamoja ww ni kama shabiki wa mr blue a.k.a baycer karibu kundini
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Wana Jamiiforums habari zenu? Duh! huyu dada wa kwenye tangazo la Airtel Switch ON nampenda sana mnisaidie anaemfahamu zaidi kaolewa au bado yupo hewani? Tafadhali sana nisaidieni wadau...
0 Reactions
102 Replies
19K Views
Hicho kiatu chake laki 9 hivi,na kikuku(cheni ya mguu)kila mguu laki mbili hivi kila mguu.
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Jaman hivi kati ya Ommy Dimpoz na Rich Mavocko nani mkali kwa kuimba na mistari mizuri? Maana tumebishana sana huku kitaa.
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Gossip Cop wa nguvu, Soudy Brown alifanikiwa kamuweka staa mwingine wa Bongofleva, Diamond Platnumz kwenye U Heard. Kutokana na kwamba Diamond hakuwa tayari kuongelea chochote kuhusiana na kile...
8 Reactions
381 Replies
48K Views
Wimbo wa mama ni kweli unapendwa sana tena na kila mtu kwa kuwa tu kila mtu anampenda mama yake hii ndio sababu jamii ikaukubali. Tatizo ni pale unaposema 'mama ulinitoa duniani' unaharibu maana...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kwenye huu uzi hapa chini kuna ndugu zangu walikomaa kweli wakipingana na hiki alichokisema diamond leo Diamond umethibitisha mwenyewe...
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Kutokana na umaarufu alionao Wema, amekuwa akidate na vigogo wenye pesa nyingi, na inasemekana mtu aliemnunulia BMW Wema, naye anahusika katika kuchota pesa za ESCROW. Mwanadada huyu amekuwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Geez Mabovu amefariki katika kipindi ambacho kwa asilimia kubwa alikuwa amepotea kwenye masikio ya wengi. Na mara nyingi sababu za kupotea kwenye masikio ya watu ni kutochezwa kwa nyimbo za msanii...
3 Reactions
26 Replies
9K Views
Aliyasema haya wakati anaongea na XXL ya Clouds fm leo mchana baada ya kuulizwa umefanya nini kusaidia jamii. Amesema yapo mengi ameyafanya lakini hawezi yasema kwani ni kama sadaka....ila kwa...
1 Reactions
50 Replies
6K Views
Kwa wale wenye kutumia smart phones za android ingia playstore na search "MSODOKI" hapo uta download application mpya ya msanii wetu young kila msodoki na utaweza kuangalia video zake, kusikiliza...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
MWIGIZAJI Kajala Masanja amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto wa pili kwani tayari aliyenaye ameshakua vya kutosha . Akipiga stori na mwandishi wetu, Kajala alisema anasaka mimba kwa namna...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Mshambuliaji wa kilabu ya Totenham nchini Uingereza Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake. Duru zimearifu kuwa mama huyo tayari ameondoka...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna watu wameimba kwaya kwa kwa kukopi kila kitu kutoka katika huu wimbo, je wamepata uhalali wa kufanya hivyo? Au ndio kibongo bongo mazoea? Natumia cm nikakaa kwenye pc nitauweka huo wimbo...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
LEGENDARY kwenye anga la sanaa Bongo, Vincent Kigosi ‘ Ray ’ kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa mpenzi wake wa sasa , Chuchu Hans ndiye kila kitu na kilichobaki ni ndoa tu . Akizungumza na...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Hili Jukwaa Sasa Limechuja Na Radha Yake Imepotea Kabisa Mbona Kuna CeLebrities Kibao Hapa Town:..Sasa Kwa Nini Mmebase Kwa Msanii Mmoja Tu? Kwa Hii Tabia , Mi Nasema Nimechoka! Jigo
3 Reactions
117 Replies
7K Views
Huyu jamaa ni noma aisee Nguo anazovaa,lafudhi na jinsi anavyoigiza. Cheki futuhi now au next Thursday uine then uje utoe feedback!! Huyu jamaa anatosha
4 Reactions
99 Replies
40K Views
MUNGU mkubwa! Vengu is back from hell ( Vengu amerudi toka kuzimu) . Msanii staa wa Kundi la Orijino Komedi ' OK ' , Joseph Shamba ' Vengu ' ameanza kurejea katika ' fomu ' baada ya...
0 Reactions
43 Replies
10K Views
Young Killer Msodoki ni mmoja kati ya wasanii wanaonikosha roho likija suala la burudani,hakuwahi kutoa wimbo usipendeze masikioni mwangu.Tumpe sapoti mdogo wetu asije kuwa kama wale waliokuja na...
2 Reactions
2 Replies
9K Views
Back
Top Bottom