Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

O.J. Simpson has allegedly contracted HIV from his transsexual lover in prison! The 67-year-old football legend serving a 33 year sentence for a number of felonies including kidnapping and armed...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HUU HAPA UTHIBITISHO. Mali ni nyingi nyumbani, kipi kimekukimbiza, Hapa Alikiba, anamwambia Diamond, nyumbani ( SHAROBARO RECORDS) kuna kila kitu, beats kali, management nzuri and all that, kitu...
6 Reactions
33 Replies
8K Views
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wasanii wa bongo wanachelewa sana kujitambua ni kichefuchefu kiufupi hawa jamaa majina yanafifia kiukweli ila naamini kipaji bado kipo maana wamezaliwa nacho. Ndo maana mpaka kesho sishangai...
2 Reactions
66 Replies
9K Views
Hawa ni baadhi ya wasanii ambao kwa mtazamo wangu wana bahati mbaya kwa kuvuma kipindi ambacho anavuma Diamond,i mean isingekuwa uwepo wake kwenye game kwa wakati huu wangepata attention/tuzo...
3 Reactions
60 Replies
12K Views
“Tulimkabidhi Diamond cheque ya fedha nyingi za mirahaba na baada ya kumuonesha michakato yetu, alikuwa tayari kusaini nasi,” alisema CEO wa MCSK, Maurice Okoth. “Kwa sasa Diamond ndiye msanii wa...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Diamond Platnumz amekua noinated kwenye tuzo kubwa kabisa nchini Nigeria zinazojulikana kama The Headies Awards . Diamond yupo kwenye category ya Best African Artist ambayo inajumuisha wasanii...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari za muda huu waheshimiwa Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu,nimejiuliza sana kuhusu hiko kipindi.Kwa anae fahamu Inawezekana kikawa kipo ila muda wa show nikawa siko kwenye...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Hakika huyu kijana anastahili pongezi kubwa kwa kupeperusha vema bendera ya Tanzania…Ameshinda tena tuzo za IRAWMA zinazo fanyika nchini Marekani…kupitia nyimbo yake mdogomdogo katika kipengele...
3 Reactions
38 Replies
5K Views
Leo ni birthday ya kijana anayesumbua Mziki wa Bongoflavour Kwa sasa,kijana mwenye mafanikio kupitia sanaa ya Muziki Msanii wa kwanza kuwa nominated bet,Mtv mama Mtv Europe. Haya Mr...
0 Reactions
63 Replies
10K Views
- Instagram Party Tanzania Tour 2014 juzi imeweka historia mpya ya Sherehe hizo zilizoanza mjini Dar Miezi 2 iliyopita baada ya watu Elfu Tano kufurika Ukumbi wa Jembeni Jembe wa Mjini Mwanza...
2 Reactions
292 Replies
27K Views
Habarini Kuna jambo jipya nimejifunza maishani mwangu juzi nilipomtembelea dadangu mmoja mcha mungu anae abudu kanisa la ufufuo na uzima( kwa Gwajima) ,nikiwa nimejawa na masihara na dhihaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakati wasanii wakibongo kwa ujumla wao wakihangaika na shoo za Fiesta msimu huu, Diamond ameendelea kujidhihilisha kwamba ni msaanii mkubwa sana kiasi cha jamaa wa Clouds Entertainments kushidwa...
0 Reactions
87 Replies
13K Views
Naomba kumfahamu huyu jamaa japo kwa uchache tuu Relationship status yake? Investment zake! na yule jamaa mwingine aliekua nae ze comed alie kuwa mgonjwa saaana kipindi flani hiv
1 Reactions
20 Replies
49K Views
Well,inatia moyo kuona waswahili sasa tunaanza kuwa majasiri wa kufanya interview za kiingereza(JAPO BROKEN) na hasa ujasiri huo unapofikia hatua ya kufanya interview katika vipindi vya TV...
9 Reactions
41 Replies
11K Views
Msanii wa bongo movies Rose Ndauka amerudi kwa mama yake kigogo baada ya kugundua mchumba wake aliyekuwa anaishi naye na baba wa mtoto,kuwajaza mimba wanawake wawili tofauti. Mchumba huyo...
3 Reactions
86 Replies
24K Views
Nyimbo mpya ya msanii Ben pol inayoitwa JIKUBALI ni copy and paste ya mwanamuzik wa america anayeitwa The script au William!! Ben pol ameigiza kila kitu kuanzia tune, melody, lyrics, chorus...
4 Reactions
146 Replies
35K Views
Diamond ka post kwenye IG kwamba kidogo Alichoweza mzawadia Wema ni Gari la aina ya Nissan Murano kama birthday present Si juzi tu hawa walilikisha habari kuwa Diamond ana vikao vya...
0 Reactions
120 Replies
23K Views
  • Closed
Huko Instagram hapatoshi. Ni mapambano makali kati ya Lemutuz na Teams mbalimbali. @ WILLIAM MALECELA huoni kama hivyo vita vya panya unavyo pambana, vitakuharibia kwenye mbio...
2 Reactions
175 Replies
26K Views
Maisha ya wasaniiwengi wa kibongo kwa ufupi ni ya chini sana kiuchumi japo wanajifanya wana mawe 1.HAWANA MAMENEJA WAZOEFU: Wasanii wengi hawana mameneja ndio maana maisha yao ni zigzag, kuna...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom