Hivi sasa ni mwenyekiti wa chadema kata moja huko morogoro mjini, Atagombea ubunge jimbo la morogoro mjini. Pamoja vituko alivyonavyo ikiwa ni pamoja na kuvua nguo jukwaani lakini ameendelea kuwa...
Vanessa Mdee amesema anamshukuru Diamond Platnumz kwakuwa amefungua njia ya wasanii wengi wa Tanzania kufahamika kimataifa.
Vanessa ameiambia Bongo5 kuwa mafanikio ya staa huyo yameifanya...
Akizungumza na Udaku Magazine, Lucy alisema kwa sasa amebaki Bongo peke yake ikiwa ni baada ya mumewe kwenda kwao Denmark ambapo alitakiwa kurudi kazini lakini bado anafanya maandalizi ili...
Tokana na chanzo hiki cha The Citizen, Gardner amekiri mkewe huyo kuomba talaka kwake endapo ataendelea kushikilia msimamo wa kuhamia Kenya kikazi alikopata ofa yakuweza kumlipa kipato cha...
Yaani jamani sio siri Wema ndio kila kitu kwa wadada walio wengi Dar es salaam baada ya kuziponda simu haina ya TECNO NA huawei WENGI sasa hawazitaki tena.
Nina ndugu yangu mmoja ana duka...
Jamani habari zilizotumwa hivi punde
Jestina George kadundwa mbaya na Meckisha
Kwa tuhuma za kuwa record kina Kajala
na kina meckysha wakimsengengenya..Wema..
Kwa mwendo huu si balaa
Kuna kumbukumbu za vijana mbalimbali ambao kutokana na maisha yalivyowaendea hapa nyumbani waliamua kutorokea ughaibuni.
Niwengi sana watu waliotorokea nnje.
Kwa kumbukumbu zangu nawakumbuka...
Kuna baadhi ya watu ambao huamini kuwa mtu akishakuwa msanii wa muziki ni lazima atakua mtumiaji wavilevi kama bangi, na wapo wanaoamini kuwa binti akishaingia kwenye sanaa ya urembo pia ni lazima...
Kajala Masanja amekanusha uvumi ulioandikwa kwenye magazeti ya udaku kuwa amefungua kesi dhidi ya mama yake mzazi na Wema Sepetu kutokana kile kilichodaiwa kutukanwa na mama huyo kwenye sherehe ya...
Uhusiano na mshindi wa pili wa Miss Tanzania 2013, Latifa Mohamed wenye miezi tisa sasa, ndio uhusiano mrefu zaidi aliowahi kuwa nao Ben Pol tangu awe staa ameongea na chanzo makini juu ya...
Kumekuwa na tetesi kuhusu muigizaji na mwanamitindo Wema Sepetu, kutaka kufunga ndoa na mwanamuziki nguli wa bongo fleva Diamond, kwa mujibu wa mama yake Wema amefunguka na kusema kama Diamond...
Nimemtazama Jokate a.k.a kidoti leo kwenye mashindano ya Miss TZ 2014 na anaonekana kufungasha mzigo wa kutosha(shundu)
12th October 2014 10:25 1413098737781.jpg
1. Lady Jay Dee
Ni wachache sana watapinga kuwa Jide hastahili kuwa mwanamuziki bora zaidi wa Bongo Fleva., moja ya silaha zake kubwa ni Consistncy aliyoonyesha tokea ameanza shughuli za muziki...
Msanii mkongwe wa filamu za vichekesho nchini, King Majuto amesema hivi kariburi alimshawishi Wema Sepetu azungumze na mpenzi wake Diamond Platnumz ili wafanye kazi ya pamoja.
Mzee Majuto ambaye...
Msanii wa bongofleva Baba Levo amepata ajali:
Ni saa tisa kasoro mchana Msanii wa bongofleva Baba Levo anaipiga simu millardayo.com na kuongea kwa tabu kwenye usikivu ulio mdogo na kusema kwamba...
Kwa mara ya kwanza tangu wadaiwe kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na Menina Atik a.k.a Menina la diva na Nguli wa Bongo Fleva nchini Nasib Abdul 'Diamond' hatimaye ukweli umepatika baaada ya...
Nilibahatika kuusikia wimbo wa Joseline redioni jana. Japo ulikua unaishia ishia.
Bila shaka ni wimbo mpya. Jamaa hakika anajua na amerudi kikweli kweli, ni bonge la pini la RnB.
Bahati mbaya...
Chezea Ruge na Kusaga wewe.
Fiesta wasanii wote wa Bongoflavour wanalipwa- laki tano Tano, Hata uwe na Tuzo- Mia, Hit songs milioni.
Clouds hawakulipi- zaidi ya Laki Tano..Kuan zia Diamond...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.