Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hivi sasa ni mwenyekiti wa chadema kata moja huko morogoro mjini, Atagombea ubunge jimbo la morogoro mjini. Pamoja vituko alivyonavyo ikiwa ni pamoja na kuvua nguo jukwaani lakini ameendelea kuwa...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Vanessa Mdee amesema anamshukuru Diamond Platnumz kwakuwa amefungua njia ya wasanii wengi wa Tanzania kufahamika kimataifa. Vanessa ameiambia Bongo5 kuwa mafanikio ya staa huyo yameifanya...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Akizungumza na Udaku Magazine, Lucy alisema kwa sasa amebaki Bongo peke yake ikiwa ni baada ya mumewe kwenda kwao Denmark ambapo alitakiwa kurudi kazini lakini bado anafanya maandalizi ili...
0 Reactions
126 Replies
16K Views
Tokana na chanzo hiki cha The Citizen, Gardner amekiri mkewe huyo kuomba talaka kwake endapo ataendelea kushikilia msimamo wa kuhamia Kenya kikazi alikopata ofa yakuweza kumlipa kipato cha...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Yaani jamani sio siri Wema ndio kila kitu kwa wadada walio wengi Dar es salaam baada ya kuziponda simu haina ya TECNO NA huawei WENGI sasa hawazitaki tena. Nina ndugu yangu mmoja ana duka...
0 Reactions
64 Replies
10K Views
Jamani habari zilizotumwa hivi punde Jestina George kadundwa mbaya na Meckisha Kwa tuhuma za kuwa record kina Kajala na kina meckysha wakimsengengenya..Wema.. Kwa mwendo huu si balaa
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Kuna kumbukumbu za vijana mbalimbali ambao kutokana na maisha yalivyowaendea hapa nyumbani waliamua kutorokea ughaibuni. Niwengi sana watu waliotorokea nnje. Kwa kumbukumbu zangu nawakumbuka...
1 Reactions
64 Replies
11K Views
Kuna baadhi ya watu ambao huamini kuwa mtu akishakuwa msanii wa muziki ni lazima atakua mtumiaji wavilevi kama bangi, na wapo wanaoamini kuwa binti akishaingia kwenye sanaa ya urembo pia ni lazima...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Kajala Masanja amekanusha uvumi ulioandikwa kwenye magazeti ya udaku kuwa amefungua kesi dhidi ya mama yake mzazi na Wema Sepetu kutokana kile kilichodaiwa kutukanwa na mama huyo kwenye sherehe ya...
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Mwanamuziki Young D akipafom na mwonekano wake wa hatareeee
1 Reactions
57 Replies
7K Views
Uhusiano na mshindi wa pili wa Miss Tanzania 2013, Latifa Mohamed wenye miezi tisa sasa, ndio uhusiano mrefu zaidi aliowahi kuwa nao Ben Pol tangu awe staa ameongea na chanzo makini juu ya...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Kumekuwa na tetesi kuhusu muigizaji na mwanamitindo Wema Sepetu, kutaka kufunga ndoa na mwanamuziki nguli wa bongo fleva Diamond, kwa mujibu wa mama yake Wema amefunguka na kusema kama Diamond...
0 Reactions
101 Replies
16K Views
  • Closed
Nimemtazama Jokate a.k.a kidoti leo kwenye mashindano ya Miss TZ 2014 na anaonekana kufungasha mzigo wa kutosha(shundu) 12th October 2014 10:25 1413098737781.jpg
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Mimi sio mbaguzi au mkabila ila kwa interest tu kwa kuwa nazimia kazi zao ma star hawa naomba nijue wana asili ya wapi hapa Tanzania yaani kabila zao.
0 Reactions
22 Replies
19K Views
1. Lady Jay Dee Ni wachache sana watapinga kuwa Jide hastahili kuwa mwanamuziki bora zaidi wa Bongo Fleva., moja ya silaha zake kubwa ni Consistncy aliyoonyesha tokea ameanza shughuli za muziki...
3 Reactions
11 Replies
14K Views
Msanii mkongwe wa filamu za vichekesho nchini, King Majuto amesema hivi kariburi alimshawishi Wema Sepetu azungumze na mpenzi wake Diamond Platnumz ili wafanye kazi ya pamoja. Mzee Majuto ambaye...
0 Reactions
4 Replies
12K Views
Msanii wa bongofleva Baba Levo amepata ajali: Ni saa tisa kasoro mchana Msanii wa bongofleva Baba Levo anaipiga simu millardayo.com na kuongea kwa tabu kwenye usikivu ulio mdogo na kusema kwamba...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Kwa mara ya kwanza tangu wadaiwe kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na Menina Atik a.k.a Menina la diva na Nguli wa Bongo Fleva nchini Nasib Abdul 'Diamond' hatimaye ukweli umepatika baaada ya...
1 Reactions
55 Replies
12K Views
Nilibahatika kuusikia wimbo wa Joseline redioni jana. Japo ulikua unaishia ishia. Bila shaka ni wimbo mpya. Jamaa hakika anajua na amerudi kikweli kweli, ni bonge la pini la RnB. Bahati mbaya...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Chezea Ruge na Kusaga wewe. Fiesta wasanii wote wa Bongoflavour wanalipwa- laki tano Tano, Hata uwe na Tuzo- Mia, Hit songs milioni. Clouds hawakulipi- zaidi ya Laki Tano..Kuan zia Diamond...
0 Reactions
49 Replies
9K Views
Back
Top Bottom