Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nuh Mziwanda, ametoa kali ya mwaka kwa kudai kwamba kitendo cha kupigwa mara kwa mara na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole', kinampa furaha na ufahamu...
0 Reactions
45 Replies
9K Views
Pichani ni mtu mmoja maarufu, enzi zake akiwa kasichana...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kampeni kubwa ya ZamuYako2015 yenye lengo la kuhamashisha vijana kushiriki katika zoezi kujiandikisha kupiga kura, imeendelea kupamba moto ikiendelea kuungwa mkono na wasanii mbalimbali. msanii...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
KUFUATIA madai kuwa staa wa filamu Bongo , Aunt Ezekiel amejifungua, ndugu , jamaa na marafiki kibao walijazana nyumbani kwake , Mwananyamala jijini Dar es Salaam juzi Alhamisi ili kumpa pongezi ...
0 Reactions
47 Replies
10K Views
wadau Hivi hawa wenzetu wanapokua huko majuu ni kwa nini most of them huwa wanafanya ulimbukeni tuuu instead ya kutumia nafasi wanazozipata kujiendeleza na kuiwakilisha vema tanzania, natoa mfano...
2 Reactions
112 Replies
24K Views
Wadau namsikia Rehema Chalamila sasa hivi anatangaza clouds fm, wanaotaka kumsikiliza tune redio hiyo
0 Reactions
35 Replies
11K Views
Mchezaji nyota wa Real Madrid ya Uhispania na Ureno Christiano Ronaldo ndiye binadamu maarufu zaidi duniani kwenye Facebook. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 30 amempiku Mwanamuziki maarufu kwa...
1 Reactions
29 Replies
8K Views
Ubuyu Kutoka Insta Leo hii unamuhusu Mcheza Filamu Rammy. Page ya Mrekebisha Tabia wamemrusha na kufichua makubwa, Jisomee Mwenyewe Hapo chini: ============ "Jamani rammygalis hata wewe...
2 Reactions
32 Replies
8K Views
Mimi ni mshabiki wa Dina Marios napenda sana utangazaji na ubunifu wake wa vipindi. Alipotoka martenity alituahidi kurudi kazini kupitia clouds Tv yaani atakuwa anaonekana kwenye runinga na si...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Hii ndo kauli ya Ney wa mitego, Mr_Nay Baba wa watoto watatu... Sina #Mke I mean #Sijaoa na Cna mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke yoyote Yule... Kati ya niliozaa nao. Nawapenda watoto wangu...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Hasikiki kwenye music ,kwenye movie popote pale sioni news zake kulikoni?
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Jamanii hii ni tetesi lakini nimeamua kuifanya utafiti na nimegundua nyimbo za Diamond zimepungua kupigwa kwenye kituo cha Television na radio cha Clouds baada ya msanii huyu kukataa mchongo wa...
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Mtangazaji maarufu, na aliyekuwa mume wa mwanamuziki lady Jaydee, Gadner G habash, hivi karibuni ametoa kauli tata baada ya kuulizwa swali na mwandishi kuhusu Lady Jaydee, ambapo bila hiyana...
1 Reactions
41 Replies
10K Views
Kweli Alikiba anapendwa jamani, Nimetumia muda wangu wa kupumzika kusikiliza mpambano wa wasanii Radio1 ambapo Alikiba alikuwa akishindanishwa na Ommy dimpoz. Matokeo ni kwamba katika simu 30 za...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Jokate, mmoja kati ya wanawake waliofanikiwa kutokana na kujihusisha katika nyanja mbalimbali ikiwemo Ujasiliamali, ameweza kutoboa kimaisha baada ya kuingia mkataba na Wachina kwa kampuni yake ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mwanadada asiyechuja kwenye tasnia ya filamu za bongo, lulu michael, amesema fedha za kuhongwa na wanaume ni nzuri lakini zina presha kubwa kwa msichana aliyepewa. Lulu alisema kuwa wasichana...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Asilimia Kubwa ya mastaa Wa bongo wamekuwa wakionekana wakijivinjari katika mitaa mbali mbali wakiwa katika magari ya kifahari. Lakini ukichunguza utagundua kuwa wengi Wa wasanii hao siyo wamiliki...
2 Reactions
105 Replies
30K Views
just curious guys.
0 Reactions
39 Replies
10K Views
Jamani nataka kujua Solo alizaa na nani mtoto wake.Maana nimekuta mahojiano yameanza tayari ktk kipindi cha Planet bongo.Nataka jua please.
0 Reactions
35 Replies
14K Views
Habari wanabodi, Nilikuwa napita sehemu nikasikia watu wanasema kuna msanii wa Futuhi mwingine mbali na mzee dude(Aliyefariki Jan 214) amefariki,kama kuna mdau anamjua anaweza akatudadavulia ni...
0 Reactions
24 Replies
13K Views
Back
Top Bottom