Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Jamani nimepitiwa jana ndo naona beef la Designer wa Augustino na Q boy msafi aliyemtia doa Mondi Kwa skendo ya ku copy and paste Design za watu. Nimegundua huyu dogo hana Sifa za kuwa designer...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
MALKIA anayemiliki Kampuni ya Endless Fame Production , Wema Isaac Sepetu na Mshindi wa Big Brother Africa 2014 /15 , Idris Sultan ambao wamekuwa marafiki wakubwa katika siku za hivi karibuni...
0 Reactions
33 Replies
8K Views
MWANAMUZIKI DIAMOND ADAIWA KUWATELEKEZA WATOTO SHULE, AKWAMA KUWALIPIA ADA, NI WALE WALIOSHINDA KUCHEZA NGOLOLO NA KUAHIDI KUWASOMESHA: KABANG! Staa anayevuna fedha nyingi kupitia kipaji chake...
0 Reactions
188 Replies
21K Views
We all know kwamba hawa jamaa wa secret societies huwa wanaitumia hollywood kuonyesha plans zao za future kwa mfano 9/11 ilishaonyeshwa sana kwenye movies years ago hata movie kama tommorow land...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Beautiful Onyinye wa Bongo , Wema Sepetu amefunguka kuwa , anajua siku zote yeye hana bahati ya kuwa na marafiki kwa kuwa hata akiwa nao mwishowe kunatokea mgogoro na kuachana huku kila mmoja...
1 Reactions
229 Replies
32K Views
Okay shemeji wifi yetu naona yuko na Mr not Laiti. .ila sielewi kama ndo ze project hau Hii ni genuine ..maaana mujini siku hizi project nyingi mno
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Okay shemeji wifi yetu naona yuko na Mr not Laiti. .ila sielewi kama ndo ze project hau Hii ni genuine ..maaana mujini siku hizi project nyingi mno
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Super star kiwango anayetikisa East Africa kwa sasa , zarinah hassan aka bossy lady, amefunguka kuhusu scandal ya usagaji iliyomtafuna miezi michache iliyopita, akizungumza kupitia kipindi cha...
2 Reactions
61 Replies
14K Views
KUFUATIA kuibuka kwa habari ya msanii nguli , Blandina Chagula ' Johari ' kubeba mimba na kujifungua kwa siri hadi mtoto kufikisha umri wa miezi 7 na kuripotiwa kwa mara ya kwanza na gazeti...
1 Reactions
59 Replies
11K Views
Bila shaka unamfahamu Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’. Huyu jamaa ni mmoja kati ya wanamuziki wakongwe nchini, ameanza kuimba nyimbo za Bongo Fleva tangu mwanzoni mwa miaka...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Baada ya kujulikana kwa wengi kuwa hana mtoto na madai ya kutokuwa na uwezo wa kuzaa , mwigizaji wa kitambo Bongo , Blandina William Chagula ‘ Johari ’ ameshangaza baada ya siri kuvuja kuwa...
3 Reactions
138 Replies
25K Views
The Tanzanian music superster as he calls himself the Rolls royce musician from East Africa Diamond platnumz has continues prooving that fame and love are seen and not rumored around, Recently...
7 Reactions
26 Replies
5K Views
Mbunifu wa mavazi toka Marekani anaeitwa Roper amelalamika sana kupitia Instagram kwamba Diamond kamuibia design yake... roper anayewavalisha wasanii wakubwa Marekani kama August Alsina, Future...
4 Reactions
109 Replies
23K Views
Mjengo anaoishi mkali wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya Chekecha Cheketua , Ali Saleh Kiba uliopo Kunduchi- Mbezi Beach jijini Dar , unadaiwa kuzua utata mkubwa hivyo kulilazimu kuchimba...
0 Reactions
112 Replies
20K Views
MCHUMBA wa Mbongo Fleva , Nasibu Abdul ‘ Diamond ’ , Zarina Hassan ‘ Zari ’ amedaiwa kuangua kilio baada ya kuvuja kwa picha yake na mfanyabiashara maarufu jijini Dar, Mzamili Katunzi ambayo...
1 Reactions
43 Replies
16K Views
Watu wanampinga sana ndugu Januay Makamba (majority vijana wale wenye roho za kwa nini)...juzi hapa ndani ya white house January kapiga story na Barack Obama kuliko hata Obama alivyoongea na...
0 Reactions
577 Replies
69K Views
Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja amesema hadhani kama ni rahisi kuwa karibu tena na staa mwenzake Wema Sepetu baada ya kugombana. Kajala amekiambia kipindi cha The Sporah Show hivi karibuni...
0 Reactions
70 Replies
15K Views
Ama kweli kuolewa kunazidi kuwa kama fashion. Mnamo mwaka 2012 Aunt Ezekiel aliolewa kwa mbwembwe zote na kijana Sunday Del Monte na baadae kwenda kuishia nae huko Dubai. Sunday wakati huo...
5 Reactions
258 Replies
48K Views
Sexy lady anayefanya poa na ngoma yake ya Leo Leo, Jokate Mwegelo ' Kidoti ' , amemlipua aliyewahi kuwa mwandani wake , Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz ' ambaye hivi karibuni alimwita...
1 Reactions
46 Replies
10K Views
wakuu bongo kuna majembe ma 4 tu katika bongo fleva nayo ni K4REAL, JUMA NATURE,JIDE KOMANDOO NA SUGU,haya majembe ni nouma hatari yanajulikana usipimie yaani jamaa ukamua mbaya mbovu jukwaani. je...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom