Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

When Flaviana Matata won the Miss Universe Tanzania pageant in 2007, she had no idea the contest she entered just for fun, would lead her down the runways of some of the world's top fashion...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Msanii anayefanya vizuri kunako bongo movie, Jacob Steven maarufu kama JB, hivi karibuni amekwaa scandal mpya ambayo imemshushia HESHIMA kama sio kumpunguzia credit ndani ya tasnia hiyo. Msanii...
5 Reactions
246 Replies
33K Views
Diamond Platnumz na meneja wake, Babu Tale jana walikuwa wakihojiwa kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM na kupitia Heka Heka alishare mambo mengi ambayo watu hawayafamu Muimbaji huyo alidai...
1 Reactions
11 Replies
7K Views
Modo maarufu na muigizaji chipukizi nchini, Hamisa Mobeto amejifungua mtoto wa kike. Staa huyo anayechipukia amejifungua ivi karibuni na kuwashangaza wengi kwani mimba hiyo ilikuwa na usiri mkubwa...
8 Reactions
447 Replies
51K Views
Staa wa muziki ambaye pia ni modo, kanye west hivi karibuni amejikuta akikanyaga skendo ya ushoga baada ya sms zake kufumwa akimtumia mwanamitindo shoga, olivier tousteng. Skendo hiyo imemganda...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Mbongo fleva ambaye hapati shoo hata za mchangani ana make mkwanja mrefu kuliko mpiga shoo yeyote yule kwenye gemu hii. Mdau huyu ambaye kashazama uvunguni mwa boss lady jack cliff. Hii...
0 Reactions
54 Replies
26K Views
Live abetter life wengi wetu tumekuwa watu wa kulalamika maisha magumu, hakuna kazi na muda mwingine tunatupa lawama kwa Mungu kwanini amekuumba masikini. Lakini bila kufikilia kwanini...
1 Reactions
70 Replies
19K Views
Labda ni msanii gani wake kwa bongo fleva anakuvutia katika vipengele vifuatavyo tabia nzuri,mavazi ya heshima,kuongea vizuri na watu, hana skendo, anajua kucheza jukwaani. Tujuzane hapa wakuu
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hawa majamaa nani zaidi ya mwingine?
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Shahidi namba moja ambaye aliburuzwa na gari na 'Mafia' Mario Suge Knight ameonekana kumtetea bosi huyo wa zamani wa lebo ya Death Row Records na kusema kwamba, yeye hatakiwa kuwa mtu wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Staa wa filamu bongo,Kajala Masanja kwa mara ya kwanza ameibuka na kutoa ya moyoni kuwa anatamani kulipa mil 13 alizolipiwa na staa mwenzake Wema Sepetu ili asiende jela miaka saba. Kajala...
0 Reactions
120 Replies
16K Views
Lionel Richie, 65, and his (much-younger) girlfriend Lisa Parigi cut stylish figures as they arrive in Los Angeles He might be 65 years old, but Lionel Richie doesn't look it.The chart-topper -...
0 Reactions
31 Replies
9K Views
Msaanii wa muzuki wa kizazi kipya (Bongo fleva) Shilole bado ana nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo lake la Igunga, lakini anahofia maisha yake kuwa hatarini! Shilole anasema amekuwa amepokea...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nikiwa Chalii nilikuwa namchukuliaga Snoop kama definition ya Certified G, the G's G. Mshkaji made getting faded look cool, for us wanna-be Gz. Ila Jamaa siku hizi simuelewi kabisa, hata muziki...
3 Reactions
69 Replies
10K Views
Jamani hivi kweli kuwa wanamziki au wacheza filamu hawawezi kutoka bila ya kupata au kutengeneza skendo yoyote ili kuweza kufahamika kwa haraka? Inasemekana kuwa skendo ndio kiki kubwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Msanii wa filamu matawi wa Nigeria Desmond Elliott na wengine kadha wa kadha huko wamechaguliwa kuwa wabunge. =================== Desmond Elliot, Lai Mohammed's son, others win Lagos Assembly...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msanii wa bongo Fleva Rich Mavoko amekanusha tuhuma za kujichubua. Rich Mavoko amefunguka na Kusema Haya; "Lazima tuangalie wakati hizi picha zilipigwa, hio picha nikiwa na dred Locks ni...
0 Reactions
35 Replies
8K Views
Nini mnataka mazee, ni among hit ninayoikumbuka sana kipindi kile cha kuharibu tape za washua unarecord bongo fleva halafu mzee akija gundua anakupa kipondo balaa lakini still unaendelea kurecord tu.
1 Reactions
26 Replies
12K Views
Mtangazaji maarufu wa kipindi cha Ala za roho Clouds Fm amebadili jina kisheria na kuanza kujiita Diva Gissele D Malinzi. ======== Sio Loveness tena: Diva abadili jina Mahakamani, sasa anaitwa...
0 Reactions
55 Replies
24K Views
Jambo kwenu wote. Leo wazee wa "natuma kama nilivyopokea" wamesambaza sana habari kuwa mtajwa hapo juu katutoka. Nimejaribu kutafuta uhakika toka vyanzo vya kuaminika kuhusu hilo suala, sijaona...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom