Kwa sasa Diamond ndio msanii anayetoa video kali na zinazopendwa kuliko msanii yoyote kwenye ukanda wa Africa mashariki na kati .
Ni msanii anayeongoza kuingiza pesa nyingi kupitia social media...
Sawa hatukatai video yako ikichezwa unalipwa Ila hizi promo nyingine mnazidisha yani nyimbo kupigwa mpaka mmeomba then leo mna sema tena mmelipwa kisu kirefu.
Mimi sio hater sio team yoyote mi...
Wakati habari ya mjini ikiwa ni kuhusiana na nyumba yake kupigwa mnada , staa wa Bongo Fleva , Judith Wambura ' Lady Jaydee ' au ' Jide ' yupo bize jijini Hong Kong , China akila bata...
Na nimekusiliza kwenye kipindi cha siasa za siasa nimegundua mambo matano kuhusu wewe.
1. Una ufahamu mkubwa sana kuhusu mambo mengi.
2. Unasoma sana vitabu hivyo vinakujenga kifikra na...
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
KUFUATIA kuwepo kwa makundi yaliyotokana na watangaza nia 42 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakiwania nafasi ya...
Nipo hapa nikifuatilia waliokuwa wagombea wakitoa neno la mwisho.
Kama kuna mnaofuatilia kwa karibu Mara Migiro akasema namsukuru mume rafiki yangu Migiro nachelea kumwita mpenzi kwa sababu...
Ray C anaweza kuwa amezivunja roho za wanaume zaidi ya 500 waliojipanga mstari kujibu ofa yake aliyoitangaza kwenye Instagram kuwa anatafuta mume.
Kwa mujibu wa tovuti ya Bongo5 Ray C amesema...
Wasanii wa sanaa za maigizo maarufu kama Bongo Movies wanaoishabikia klabu ya Simba leo wamekabidhiwa kadi za uanachama wa klabu hiyo yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam...
Mpoki ana misemo yake kama ''umeshindwa kurusha vocha utaweza kurusha ndege""
Zembwela ana misemo yake kama "Mapatano ufukweni baharini uvuvi tu''
Kila mtu ana swaga zake za kuongea ila nani...
Huwa napenda kusikiliza hii Radio kila siku asubuhi wakati najiandaa kwa ajili ya siku yangu. Kuna mtangazaji wa radio hii anaitwa Kibwana Dachi, ni mzuri sana. Ana analysis kali na uelewa mpana...
Mchora katuni mashuhuri Masoud Ally Kipanya alimaarufu kama Kipanya amefunguka na kusema kuwa amekuwa akishawishiwa nawatu wengi sana kuingia katika siasa na kufanya siasa kutokana na harakati...
Nilikuwa nasikiliza hapa sasa hivi wimbo wa Lady Jaydee Bongo radio, nahisi ni wimbo wake mpya, unless niko nyuma ya wakati. Huu wimbo ni full vichambo kwa aliyekuwa mumewe Gadner, manake...
Kufuatia kupost maneno yanayoelekea kupiga kijembe viti maalum imetafrisiriwa kuwa ni kijembe kwa Wema Sepetu.
Lulu ameandika sura nzuri peleka reception, Tako Peleka (..)hapa ni vyeti na alama...
U Heard leo Soudy Brown kampata msichana ambae ametoka Mkoani kuja Dar kwa ajili ya kukutana na Aslay wa Yamoto Band.. Msichana huyo anadai ametoka Geita kuja Dar kukutana na Aslay.
Dada...
Muigizaji wa filamu, Aunty Ezekiel ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike, amedai kuwa licha ya kuzaa nje ya ndoa, bado anaamini ndoa yake ipo pale pale.
Akizungumza na Bongo5 leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.