Inasemekana kuwa kule East Africa Radio na TV Zembwela anakubalika sana kwa kuwa degree yake ya uandishi wa habari kaisomea ughaibuni.
Hivi ni nchi gani wakuu?
Aliyekuwa mume wa mwanamuziki wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameapa kwa kulamba kidole, kukichovya kwenye mchanga kisha kukipitisha shingoni kuwa, hana mpango wa kurudiana na mkewe huyo...
Huyu dada kipindi anaanza alikuwa vizuri lakini siku hizi anajifanya mjuaji mwanaharakati wakati harakati zenyewe hawezi amekuwa akifarakanisha ndoa nyingi.
Huku akiwashauri wanawake waachike...
Nimeichukua kama ilivyo kwenye page ya Voda.
Wakazi wa Moshi mko tayari kwa burudani kabambe kutoka kwa mtumbuizaji bora wa Afrika Diamond Platnumz? Ijumaa hii ndani ya Kili Home jukwanii...
"Mweusi uso usio na chunusi,natural color,chotara,mrefu,maji ya kunde kaenda hewani sekunde.
Anatema slang,Anamwaga ngeli,anabonga ung'eng'e
Yaani alivyomweleza ni kwamba huyu binti ni...
Joaquin Guzman Loera a.k.a El Chapo mzaliwa wa mexico na mfanyabiashara mkubwa wa madawa ya kulevya anayetafutwa na Marekani na Mexico kwa udi na uvumba, leo nimeamua kushare na nyinyi wanaJF...
Kidogo wandugu tuchemshe bongo kwa hili ambalo limenitatiza bila kujua nini hasa shida.
Hebu chukua Mdada Mtanzania ambaye bado hajawa star,Celebrity Ktk Muziki,bongo movie ,utangazaji na hata...
Chris Brown's new $4.5 million pad in the San Fernando Valley is huge ... but it's still not big enough for all his kicks.While the 8,317 sq. ft. pad has 6 bedrooms, Breezy's converted one room...
Kwa sasa Diamond ndio msanii anayetoa video kali na zinazopendwa kuliko msanii yoyote kwenye ukanda wa Africa mashariki na kati .
Ni msanii anayeongoza kuingiza pesa nyingi kupitia social media...
Sawa hatukatai video yako ikichezwa unalipwa Ila hizi promo nyingine mnazidisha yani nyimbo kupigwa mpaka mmeomba then leo mna sema tena mmelipwa kisu kirefu.
Mimi sio hater sio team yoyote mi...
Wakati habari ya mjini ikiwa ni kuhusiana na nyumba yake kupigwa mnada , staa wa Bongo Fleva , Judith Wambura ' Lady Jaydee ' au ' Jide ' yupo bize jijini Hong Kong , China akila bata...
Na nimekusiliza kwenye kipindi cha siasa za siasa nimegundua mambo matano kuhusu wewe.
1. Una ufahamu mkubwa sana kuhusu mambo mengi.
2. Unasoma sana vitabu hivyo vinakujenga kifikra na...
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
KUFUATIA kuwepo kwa makundi yaliyotokana na watangaza nia 42 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakiwania nafasi ya...
Nipo hapa nikifuatilia waliokuwa wagombea wakitoa neno la mwisho.
Kama kuna mnaofuatilia kwa karibu Mara Migiro akasema namsukuru mume rafiki yangu Migiro nachelea kumwita mpenzi kwa sababu...
Ray C anaweza kuwa amezivunja roho za wanaume zaidi ya 500 waliojipanga mstari kujibu ofa yake aliyoitangaza kwenye Instagram kuwa anatafuta mume.
Kwa mujibu wa tovuti ya Bongo5 Ray C amesema...
Wasanii wa sanaa za maigizo maarufu kama Bongo Movies wanaoishabikia klabu ya Simba leo wamekabidhiwa kadi za uanachama wa klabu hiyo yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.