Bifu kali kati ya Ommy Dimpoz na Diamond

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Feb 19, 2015
2,939
517
Kuna bifu kati ya Diamond na Ommy Dimpoz kisa ni wimbo wa Wanjera aliomshirikisha Wema Sepetu katika video yake. Diamond kakasirika kwa nini Dimpoz kamtumia Wema?

Na picha za Dimpoz alizopiga na Wema South Africa walipokua wakirekodi wimbo huo.Inaonekana Dimond bado anampenda sana Wema ila kaenda kwa Zari kupata umaarufu zaidi anatakiwa kutulia kama K4REAL.
 
Back
Top Bottom