Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mkali wa sinema za Kibongo, Aunty Ezekiel aka cheusi dawa amesema anatamani iwe leo au kesho apate mtoto kwani umri wake unaruhusu. Akipiga stori mbili- tatu na paparazi wetu, Aunty alisema kuwa...
0 Reactions
125 Replies
18K Views
HISTORIA KWA UFUPI Wastara alizaliwa mwaka 1983 katika Hospitali ya Turiani iliyopo wilayani Mvomero mkoani Morogoro akiwa ni mtoto wa tano kati ya saba waliozaliwa katika familia yao...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Muigizaji mwenye mvuto wa kipekee na mwenye haiba ya upole bongo movie, Jennifer kyaka aka Odama mambo yake ni super ile mbaya, anaweza kuwa ndiye msanii pekee apa bongo movie anayeishi maisha...
0 Reactions
1K Replies
97K Views
Katika Account yake ya Instagram, Wema amempigia kampeni mgombea wa Urais, Bwana Joseph Josephat katika Uchaguzi unaotegemewa kufanyika wiki hii.
0 Reactions
38 Replies
8K Views
wakuu hii colabo itafanyika washington DC . kijana K 4 REAL anazidi kupaa
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Baada ya mtangazaji maarufu nchini, zamaradi mketema, kujifungua mtoto wa mwingine ,mashabiki wake wamemjia juu mtangazaji huyo na kudai kuwa kitendo cha kuzaa nje ya ndoa ni kosa kwa mtoto wa...
0 Reactions
136 Replies
26K Views
Taarifa zilizotua kwenye dawati la gazeti hili zinadai kuwa, wale wamama wa mjini ambao walikuwa mashosti hadi kufikia hatua ya kusema ni kama ndugu, mama wa aliyekuwa staa wa Bongo Movies...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Zikiwa zimebaki siku 9 kabla ya pambano lilopewa jina la ‘Fight of the Century' kati ya mwanasumbwi tajiri zaidi duniani ‘Floyd Mayweathe Jr' ambaye ana rekodi ya kutopoteza pambano...
0 Reactions
43 Replies
7K Views
TupacI been shot and murdered, can tell you how it happened word for word But best believe n--s gon' get what they deserve Tupac rapped these prophetic lyrics just two months before he was...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Baada ya hivi karibuni staa aliyefanya vizuri kwenye movie ya CHAUSIKU, Shamsa Ford kutangaza rasmi kuachana na aliyekuwa mume wake, kwa kigezo kuwa mwanaume huyo alikuwa akimtesa na kumpiga kwa...
0 Reactions
191 Replies
34K Views
jamani mmeipata hii msanii shilole yupo E.FM radio anaongea kingereza bana. yaani IS na WAS kibao. na mimi naenda kujifunza kingereza sikubali yaani mpaka huyu?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamaa ambaye inasemekana ni rafiki wa karibu wa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu' aitwaye Morris Sekwao ‘Junior' inadaiwa amepata msala ‘hevi' baada ya...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Akiongea na kipindi cha Ng'ari Ng'ari cha Clouds TV, Diamond alisema wakati wako pamoja waliwahi kuzunguka kwa wataalam mbalimbali kujaribu kupata tiba lakini hawakufanikiwa. Alisema ilifika...
2 Reactions
202 Replies
28K Views
Ni miaka mi3 sasa toka huyu jamaa atutoke duniani, lakini pengo lake linajidhihirisha kila kukicha.. Jamaa alishapiga hatua nyingi za kuonesha kua alikua anaelekea kwenye mafanikio zaidi ya...
2 Reactions
47 Replies
53K Views
Nilikuwa nikifuatilia vioja mbalimbali vinavyojitokeza na vinavyoendelea kujitokeza, nikagundua kuwa washiriki wa miss 2006 baadhi yao wanajihusisha na kujitangaza sana kwenye vyombo vya habari...
1 Reactions
79 Replies
36K Views
Ni yule producer matata sana kutoka mwanza alie andika ngoma inayopendwa na wengi na kumpa baracka da prince afanye yake,nazungumzia siachani nawe,Goodluck gozbert a.k.a lollipop ametoa kichupa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nay wa Mitego ni mtu wa maamuzi na mapenzi tofauti na wengine. Ndio maana ukiingia ndani kwake utakutana na sanamu isiyo ya kawaida – ni sanamu ya shetani! Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa...
0 Reactions
141 Replies
32K Views
Weekend iliyopita Escape One kulifanyika show iliyowakutanisha mastar wakubwa ndani na nje ya TZ kama Christian Bella, Ruby, Ali Kiba, Kassim Mganga, Ommy Dimpoz,Msami, na Alicious kutokaKenya...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
06. Ommy Dimpoz Dimpoz anamiliki Mark x yenye thamani ya zaidi ya milioni 30. 05 . Ney wa Mitego Ney wa mitego naye anamiliki gari aina ya Mark X yenye dhamani ya...
2 Reactions
134 Replies
55K Views
jamani K 4 REAL ndio katoka na masong makali ya MWANA na CHEKETUA na leo nilisikia CHANEL .O. wakizungumzia hizi songs na kuna tetesi zitapigwa katika stesheni za nje. so nawataka wasanii wengine...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom