Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ni kijana mwenye mawazo mapana sana japo umri si mkubwa sana , anasema siwezi kuwa na mapenzi ya chama ikiwa nchi ni masikini sana. ''Nimebahatika kwenda nchi tofauti nchi yetu ni masikini sana...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kwenye ukurasa wa instagram wa mzazi mwenzie na Sugu anaefahamika kwa jina la Faiza ameandika kilio chake jinsi anavyoumia kuwa mbali na Sugu, uku akisema analia kwa sauti siku nzima. Sugu...
1 Reactions
116 Replies
31K Views
  • Closed
Huyu mama yuko UK sasa mwaka wa Pili anasoma pale Westminster. Lakini cha ajabu hatumuoni kwenye misiba wala magonjwa lakini anaonekana sana kwenye mikutano ya kufungua matawi ya CCM uingereza...
0 Reactions
115 Replies
24K Views
Katika kazi za hivi karibuni kati ya mastaa wakubwa zaidi barani afrika King of pop Afrika ya mashariki Diamond Platnumz aka. Chibu dangote toto la kimanyema amezidi kung'ara zaidi juu ya OBO...
6 Reactions
71 Replies
13K Views
Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva, Juma Kassim'Nature' ametoa misaada mbalimbali kwenye hospitali ya Zakhem iliyopo maeneo ya Mbagala jijini Dar. Akizungumza na Clouds FM, alisema kuwa ameamua...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Today is annivesary of last moment of MJ. He passed away in his apartment in US. The World still feel him. RIP MJ (Michael Jackson). ================= Michael Jackson death anniversary: Top 10...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Aliyekuwa mwanamuziki wa Twanga Pepeta,Ramadhani Masanja au Banza stone,anaumwa sana na yuko Mbeya. Habari zinasema kakosa hadi nauli ya kurudi Dar Es salaam. Mkurugenzi wa Twanga pepeta Asha...
0 Reactions
53 Replies
15K Views
DIVA, B 12, MCHOMVU ‘OUT' CLOUDS by GLOBAL Stori:- MUSA MATEJA WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12', Adam Mchomvu na Loveness...
6 Reactions
296 Replies
82K Views
Kama ulikuwa hujui basi chukua hii, staa wa filamu za kibongo, Kajala Masanja alitaka kumlipia dhamana mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Florah Mbasha aitwaye Emmanuel Mbasha shillingi za...
1 Reactions
66 Replies
14K Views
Diamond kwa muda mrefu amekuwa mbunifu sana kwenye kazi yake ambapo amepelekea kuwa mwanamziki mwenye utofauti mkubwa sana na wengine katika vipengele vifuatavyo:- 1. Management yake. ...Ana...
6 Reactions
78 Replies
13K Views
Dah! Nimeingia social media, Wanigeria wanatutusi sana na kutuita kila jina kisa Diamond. Kwanza wanasema tunajipendekeza sana kwao. Mfano mzuri Mondi, coz kila collabo lazima akafanye na...
3 Reactions
96 Replies
10K Views
Siku za hivi karibuni nilibahatika kutembelea nyumba anayoishi mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku iliyopo maeneo ya Kibamba, kwa kweli niliogopa, Bahati anaishi kwenye ghorofa la...
0 Reactions
20 Replies
16K Views
Diamond nampenda, Ali K nampenda. Nashindwa jiunga hzi team jamani.
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto 'Mjomba', ameibuka na kusema hana nia ya kugombea Ubunge kama alivyosema ila aliamua kuwabipu wanasiasa. Akizungumza wiki hii, mjomba alisema alitangaza...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
These two chicks wanadatisha wadau mbalimbali wa burudani apa Bongo,nawazungumzia watangazaji wenye makeke na swagga classic zenye ladha na mvuto wa kipekee. Hapa Salama Jabir akitangaza kipindi...
0 Reactions
38 Replies
19K Views
Muigizaji mashuhuri na mwimbaji wa nyimbo za injili Emanuel au Masanja kama anavyojulikana na wengi anataraji kugombea ubunge jimboni mbarali. Ameyasema hayo baada ya kumwimbia Mungu ktk mkutano...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari zenu, Mimi ni mfanyabiashara wa duka la nafaka na bidhaa ndogo ndogo, sasa kuna star mmoja mwanamuziki naishi nae karibu na biashara yangu, akawa anakuja kukopa everyday mpaka ikafika...
3 Reactions
47 Replies
6K Views
Tajiri afutiwa kesi ya mauwaji leo mahakama ya kisutu.... ni hayo tu
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Je mnamkumbuka huyu mkongwe wa hiphop ya bongo ...?! moja ya nyimbo yake maarufu ni BILA SANAA . Leo nimepata shauku sana ya kujua huyu kijana yupo wapi na anafanya nini..?! ilibidi ni google na...
0 Reactions
12 Replies
54K Views
Kwenye kipindi hichi ambacho mziki unachukuliwa kama ajira kwa vijana na chanzo cha mapato. Watu wanafanya utani. Kuna watu wamekua wanajituma na kufanya kazi nzuri na michango yao tunaiona...
2 Reactions
45 Replies
4K Views
Back
Top Bottom