Ni kijana mwenye mawazo mapana sana japo umri si mkubwa sana , anasema siwezi kuwa na mapenzi ya chama ikiwa nchi ni masikini sana. ''Nimebahatika kwenda nchi tofauti nchi yetu ni masikini sana...
Kwenye ukurasa wa instagram wa mzazi mwenzie na Sugu anaefahamika kwa jina la Faiza ameandika kilio chake jinsi anavyoumia kuwa mbali na Sugu, uku akisema analia kwa sauti siku nzima.
Sugu...
Huyu mama yuko UK sasa mwaka wa Pili anasoma pale Westminster. Lakini cha ajabu hatumuoni kwenye misiba wala magonjwa lakini anaonekana sana kwenye mikutano ya kufungua matawi ya CCM uingereza...
Katika kazi za hivi karibuni kati ya mastaa wakubwa zaidi barani afrika King of pop Afrika ya mashariki Diamond Platnumz aka. Chibu dangote toto la kimanyema amezidi kung'ara zaidi juu ya OBO...
Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva, Juma Kassim'Nature' ametoa misaada mbalimbali kwenye hospitali ya Zakhem iliyopo maeneo ya Mbagala jijini Dar.
Akizungumza na Clouds FM, alisema kuwa ameamua...
Today is annivesary of last moment of MJ. He passed away in his apartment in US. The World still feel him. RIP MJ (Michael Jackson).
=================
Michael Jackson death anniversary: Top 10...
Aliyekuwa mwanamuziki wa Twanga Pepeta,Ramadhani Masanja au Banza stone,anaumwa sana na yuko Mbeya. Habari zinasema kakosa hadi nauli ya kurudi Dar Es salaam. Mkurugenzi wa Twanga pepeta Asha...
DIVA, B 12, MCHOMVU ‘OUT' CLOUDS
by GLOBAL
Stori:- MUSA MATEJA
WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12', Adam Mchomvu na Loveness...
Kama ulikuwa hujui basi chukua hii, staa wa filamu za kibongo, Kajala Masanja alitaka kumlipia dhamana mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Florah Mbasha aitwaye Emmanuel Mbasha shillingi za...
Diamond kwa muda mrefu amekuwa mbunifu sana kwenye kazi yake ambapo amepelekea kuwa mwanamziki mwenye utofauti mkubwa sana na wengine katika vipengele vifuatavyo:-
1. Management yake.
...Ana...
Dah! Nimeingia social media, Wanigeria wanatutusi sana na kutuita kila jina kisa Diamond. Kwanza wanasema tunajipendekeza sana kwao.
Mfano mzuri Mondi, coz kila collabo lazima akafanye na...
Siku za hivi karibuni nilibahatika kutembelea nyumba anayoishi mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku iliyopo maeneo ya Kibamba, kwa kweli niliogopa, Bahati anaishi kwenye ghorofa la...
Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto 'Mjomba', ameibuka na kusema hana nia ya kugombea Ubunge kama alivyosema ila aliamua kuwabipu wanasiasa.
Akizungumza wiki hii, mjomba alisema alitangaza...
These two chicks wanadatisha wadau mbalimbali wa burudani apa Bongo,nawazungumzia watangazaji wenye makeke na swagga classic zenye ladha na mvuto wa kipekee.
Hapa Salama Jabir akitangaza kipindi...
Muigizaji mashuhuri na mwimbaji wa nyimbo za injili Emanuel au Masanja kama anavyojulikana na wengi anataraji kugombea ubunge jimboni mbarali. Ameyasema hayo baada ya kumwimbia Mungu ktk mkutano...
Habari zenu,
Mimi ni mfanyabiashara wa duka la nafaka na bidhaa ndogo ndogo, sasa kuna star mmoja mwanamuziki naishi nae karibu na biashara yangu, akawa anakuja kukopa everyday mpaka ikafika...
Je mnamkumbuka huyu mkongwe wa hiphop ya bongo ...?! moja ya nyimbo yake maarufu ni BILA SANAA . Leo nimepata shauku sana ya kujua huyu kijana yupo wapi na anafanya nini..?! ilibidi ni google na...
Kwenye kipindi hichi ambacho mziki unachukuliwa kama ajira kwa vijana na chanzo cha mapato. Watu wanafanya utani.
Kuna watu wamekua wanajituma na kufanya kazi nzuri na michango yao tunaiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.