mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
akihojiwa na radio Clouds Fm kupitia kipindi cha 255 amesema Zari hajawahi kuolewa na hata Zari mwenyewe hana kumbukumbu kama aliwahi kuolewa.........bwahaha
Diamond amesema hana muda wa kufuatilia maisha ya mtu ya zamani kinachomata ni kuangalia uhusiano wao wa sasa....amesema pia hajapokea barua yeyote kutoka mahakamani inayomtaka kwenda hospitali kupima DNA zaidi ya kuona watu wakihangaika mitandaoni kuhoji DNA ya mwanae...
Diamond amesema hana muda wa kufuatilia maisha ya mtu ya zamani kinachomata ni kuangalia uhusiano wao wa sasa....amesema pia hajapokea barua yeyote kutoka mahakamani inayomtaka kwenda hospitali kupima DNA zaidi ya kuona watu wakihangaika mitandaoni kuhoji DNA ya mwanae...