Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Verse 1(Delvin):Nakuomba Nerea, Usitoe Mimba Yangu We, Mungu Akileta Mtoto, Analeta Saa Ni Yake, Mlete Nitamlea, Usitoe Mimba Yangu We, Mungu Akileta Mtoto, Analeta Saa Ni Yake, (Bien): Huenda...
0 Reactions
8 Replies
15K Views
  • Closed
Nimesikitishwa Sana kusikia king kiba nae atakuwemo kwny kampeni za ccm kwann umewafanyia ivyo mashabiki zko je ni na ww unadhiki km wale wasanii wenzako je ni tamaa ya fedha au ndo uhaba wa...
1 Reactions
88 Replies
11K Views
Hifadhi ya taifa Diamond platinumz amepewa shavu kuwepo katika kampeni ya The Global Goals ambayo inahusikana na vita ya kutokomeza umasikini, njaa, maradhi na matatizo mengine katika bara la...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Huyu mchekeshaji mi naona anachekesha ktk movie lkn kwa kutangaza au kuwa MC kiukweli hawezi anaboa cjui ni kwangu tu!!!!!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mmetuangusha waandaaji ya TmT maana mambo yamekuwa kama vile mpikurupuka
0 Reactions
10 Replies
3K Views
BARUA YA WAZI KWA MAMLAKA HUSIKA ZOTE, JUU YA SWALA LILILOMKUTA SHILOLE KWA KITENDO CHAKE CHA KUONEKANA AKIWA ANATUMBUIZA NCHINI BELGIUM HUKU SEHEMU ZAKE ZA MWILI ZIKIWA NJE MIEZI KADHAA...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Jamani TMT mbona imepoa hivyo ,au nyie mnaonaje
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Wasalaam wana Jf, Nikiwa kama raia ambaye ili nipunguze 'stress' za kila siku za kimaisha, nahitaji burudani mbalimbali! Mojawapo ya burudani ni muziki na maigizo. Nimesikitishwa na wengi wa...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu' amekumbwa na masaibu mapya ya kuvamiwa na vibaka nyumbani kwake, Mbezi Beach jijini Dar na kumuibia simu zake mbili aina ya Iphone. Tukio...
1 Reactions
34 Replies
8K Views
Duniani kunamambo, huyu jamaa anapesa si mchezo, anawatoto watano aliozaa nao na wanawake wawili tofauti na sasa jabadili jinsia sasa sijui hao watoto wake wanamuonaje aisee! soma zaidi kuhusu...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kama mambo yatakua hivi basi itakua poa sana. kila la heri.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hatimae jana Idris Sultan alizirusha game zake 2 binafsi playstore (kwa wale wanao tumia simu za android wanaelewa nazungumza nini, nakupata sifa kedekede kwenye makampuni na mashabiki wake...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Basata wanatakiwa kujifunza toka kwa NBC ya Nigeria sio Basata kila cku Ina fungia video za ndani ya Tanzania za nje zinazoharibu watoto wetu na wadogo zetu zinaendelea kupeta na kupigwa mchana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nigeria imepiga marufuku nyimbo kadhaa kuoneshwa kwenye TV na kupigwa katika vituo vya redio. Agizo hilo limetolewa na tume ya udhibiti wa matangazo, Nigeria Broadcasting Commission. NBC...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
wakuu, BASATA na TCRA hii ni barua ya wazi kwenu ;Sina budi niseme kwamba BASATA na TCRA bado hamjatutendea haki Watanzania kwenye sanaa kuhusu maadili kabisa kabisa ,mmekuwa watu wakushtushwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni kingkiba moja ya wasanii wa Africa waliobahatika kukutana na kufanya kazi na wasnii wanaofahamika duniani kama R.Kelly na saizi tena ni Neyo !!!wasanii wenine wengine wa Africa ni kina Davido...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
akihojiwa na radio Clouds Fm kupitia kipindi cha 255 amesema Zari hajawahi kuolewa na hata Zari mwenyewe hana kumbukumbu kama aliwahi kuolewa.........bwahaha Diamond amesema hana muda wa...
1 Reactions
61 Replies
12K Views
Back
Top Bottom