wewe dada vitu vyako unauza ghali kuliko kawaida kwa kigezo unalipa kodi? kodi ipi
lakini pia juzi ulipost kwamba watu wajiandae kwa upotevu wa makontena kama walipitisha bila kulipia...
Bruce Lee ni mwigizaji mahiri na mstadi wa Kungfu, ambaye alizindua mtindo wa filamu za Kungfu na kuhimiza mageuzi katika Kungfu duniani . Yeye ni mtu wa kwanza aliyelifanya neno la Kungfu kwenye...
Kampuni ya ndege ya Precision Air kuongeza safari za ndege zake
19 May 2008
By ITV Habari
Kampuni ya ndege ya Precision Air imesema itaongeza safari za ndege zake kutokana kuwepo kwa ndege...
Gwiji la mziki Tanzania na Afrika kwa ujumla amedevelop tabia ambayo sio nzuri kwa mstakabali wa nchi yetu na hasa kwa wasanii wanaochipukia.
Katika kipindi cha mwezi mmoja na kitu msanii huyu...
Hatimaye kiswahili chaitikisa Nigeria tena,sasa mwanadada mrembo Yem Alade kuachia ngoma mpya aliyoimba kwa lugha ambayo hatupendi kuitumia tukitana na binadam mwenye ngozi nyeupi a.k.a...
Hivi maudhui ya kipindi hiki ni ipi?
Maana ni matangazo mwanzo mwisho mpaka najiuliza kulikua na haja gani ya kuwa na watangazaji watatu, nawapa ushauri wa re brand kipindi chao maaa kina...
Siku moja baada ya AFRIMMA kutoa list ya wasanii 15 bora wa Africa, huku Diamond platnumz aking'aa kwa kushika namba 1, akifuatiwa na Wizkid, 3. Olamide na 4. Davido.
Magazine nyingine kubwa...
Wasalaam wana jamvi!
Wengi walikuwa wakijiuliza kwanini King Kiba hakwenda kwenye utoaji wa tunzo huko Nigeria na wengine wakidhani amedharau tunzo hizo!
King kiba kupitia mtandao wa picha...
Source:https://www.youtube.com/watch?v=W27PnUuXR_A
Published on Nov 16, 2015
"La Sape" is a unique movement based in Congo that unites fashion-conscious men who are ready to splurge money they...
AFRIMA wametoa list ya wasanii bora Africa,mtoto wa Mbagala anaetafutwa kama alimasi ameongoza list ya wasanii 15 bora kuwahi kutokea barani Africa.
Bravo mond!!
Mkali wa masauti, Christian Bella amekiri wimbo wake mpya aliomshirikisha Alikiba ''Nagharamia'' haupo kwenye mzunguko mzuri kwenye redio kama ilivyotarajiwa na kwamba ukipewa airtime utakuwa...
Diamond platnum label, wasafi classic imemtoa dogo harmonize na aiyola yake.
Mtu mzima diamond anazidi barikiwa tu kwa kunyanyua madogo kama hawa..
Mtaa wa pili upo kwenye game miaka kibao sijui...
Huyu binti ana lafudhi na hakika asili ya Kenya lakini ameweza kuwa mtangazaji mzuri wa mambo ya Tanzania. Kwa wanaomjua alianzia wapi na alifikajefikaje hapa bongo na asili yake. Je ana work...
Hivi huyu jamaaa alienda wapii maana alikua anaweza sana hasa kipindi cha bunge la wasikilizaji na weekend fever kama kid hayupo alikua anaweza sana huyuu mtuu ni level nyingine na SAUTI yake ya...
Akiandika kwenye blogu take ya U turn Mange amedai amefutiwa udhamini uliodumu miaka mitano na kampuni ya simu ya Vodacom.
Anadai Ni kutokana na kumshambulia Lowassa kwenye blogu na instagram
Nichukue nafasi hii kumpongeza na mwanaharakati wa kweli aliyetumia nguvu ya mic! kumletea mafanikio mpaka kuingia mjengoni Joseph Haule-Mbunge wa Mikumi! hongera heavy weight!!!
Alifanikiwa...
Joseph Haule a.k.a Professor Jay (amezaliwa tar. 29 Desemba 1975) ni msanii wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Professor Jay. Katika...
Mida fulani ya alasiri nilikuwa nikisikiliza wimbo wa huyu muimbaji ambaye kwa sasa yuko kifunguni,nilimuwaza sana na nikahisi angekuwepo muda huu huku urain basi angekuwa akitoa upinzan wa...