Hahaa eti hana regrets thubutu...
Mange anasema uongo tuu kama ni hivyo hata Jf wasingepata matangazo maana hata huku Lowasa anapondwa tuu..Tatizo la Mange ni matusi tuu na pengine ni kutokana na dish lake kuyumba! Kampuni yeyote kuendelea kumdhamini Mange ni sawa na kudhamini porn movies....!Akiandika kwenye blogu take ya U turn Mange amedai amefutiwa udhamini uliodumu miaka mitano na kampuni ya simu ya Vodacom.
Anadai Ni kutokana na kumshambulia mh Lowassa kwenye blogu na instagram
Mange anasema uongo tuu kama ni hivyo hata Jf wasingepata matangazo maana hata huku Lowasa anapondwa tuu..Tatizo la Mange ni matusi tuu na pengine ni kutokana na dish lake kuyumba! Kampuni yeyote kuendelea kumdhamini Mange ni sawa na kudhamini porn movies....!
Mange badala ya kuongea iliyo kweli yeye anatukana watu na sio Lowasa tuu yeye ametukana watu wengi sana!
Hivi ni visingizio tuu...
Mange anasema uongo tuu kama ni hivyo hata Jf wasingepata matangazo maana hata huku Lowasa anapondwa tuu..Tatizo la Mange ni matusi tuu na pengine ni kutokana na dish lake kuyumba! Kampuni yeyote kuendelea kumdhamini Mange ni sawa na kudhamini porn movies....!
Mange badala ya kuongea iliyo kweli yeye anatukana watu na sio Lowasa tuu yeye ametukana watu wengi sana!
Hivi ni visingizio tuu...
Mange anasema uongo tuu kama ni hivyo hata Jf wasingepata matangazo maana hata huku Lowasa anapondwa tuu..Tatizo la Mange ni matusi tuu na pengine ni kutokana na dish lake kuyumba! Kampuni yeyote kuendelea kumdhamini Mange ni sawa na kudhamini porn movies....!
Mange badala ya kuongea iliyo kweli yeye anatukana watu na sio Lowasa tuu yeye ametukana watu wengi sana!
Hivi ni visingizio tuu...
Tatizo la huyu mwanamke ni kutukana kila mtu bila sababu....!Na shoga ake aliompa hilo deal walishakosana........
ingewezekana hata this time angemkingia kifua lakini alikua na ugomvi nae
na too bad kaka ake na shoga ake alikua anamwandika vibaya katika blog yake pia