BabaH
JF-Expert Member
- Joined
- Jan 25, 2008
- Messages
- 704
- Points
- 195
Poleni na mapambano zidi ya Mafisadi (Mkapa, Patel, ..)
Jamani wana JF, mimi sielewi hata kidogo, huyu Jitu Patel anaonekana kabisa kuwa mtuhumiwa namba moja, kwa kula pesa za watanzania, na alisaidiana na aliyejiita mzee wa "Ukweli na Uwazi" kumbe mnafiki kapisa, BEN. M, wameanzisha Benk M, wanamiliki makampuni kibao, wana Migodi kibao, sasa iweje serikali inawaangalia hivi hivi?
Kama kuna utaratibu wa kuchunguzana jinsi Mtu alivypata mali zake, kwanini huyu fisadi mkuu Mkapa, na mwenzie Patel awachunguzwi????
Naomba wana JF tuanzie hapa, kwanza huyu Jitu Patel na Mkapa washughulikiwe kwanza jamani, hawa ndo wezi namba moja
Jamani wana JF, mimi sielewi hata kidogo, huyu Jitu Patel anaonekana kabisa kuwa mtuhumiwa namba moja, kwa kula pesa za watanzania, na alisaidiana na aliyejiita mzee wa "Ukweli na Uwazi" kumbe mnafiki kapisa, BEN. M, wameanzisha Benk M, wanamiliki makampuni kibao, wana Migodi kibao, sasa iweje serikali inawaangalia hivi hivi?
Kama kuna utaratibu wa kuchunguzana jinsi Mtu alivypata mali zake, kwanini huyu fisadi mkuu Mkapa, na mwenzie Patel awachunguzwi????
Naomba wana JF tuanzie hapa, kwanza huyu Jitu Patel na Mkapa washughulikiwe kwanza jamani, hawa ndo wezi namba moja