Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekanusha tetesi ya muda mrefu ya kutoka kimapenzi na hit maker wa wimbo ‘Aje’ Ali Kiba. Muigizaji huyo mahiri wa filamu amekiambia chanzo chetu kuwa...
1 Reactions
24 Replies
11K Views
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Dar leo limewahoji wasanii wa Orijino Komedi kwa makosa ya kuvaa sare za polisi kwenye harusi ya msanii mwenzao Emanuel Mgaya “Masanja”. Wasanii hao, Lucas Muhuvile...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Huu ndio muonekano mpya wa hit maker wa ngoma kama uzuri wako, ntasubiri, sisikii, nikuite nan, wivu n.k. japokuwa ni uamuz wa mtu ila kiukweli jamaa hujapendeza. African boy endelea kuwa African...
5 Reactions
41 Replies
14K Views
Nikiri kuwa fan wa mziki wa diamond!Nimekuwa nikiingia mara moja moja kwenye page zake mbalimbali kupata updates!Siku za karibuni kutokana na kubanwa na majukumu sikuwa karibu na social media...
2 Reactions
107 Replies
18K Views
Msanii mkali wa africa na dunia kutoka nigeria wizkid akiongea na clouds fm amesema kwa sasa nyimbo ya diamond platnumz aliowashilikisha psquare kidogo ndio nyimbo bora kwake na ndio anayoukubali...
4 Reactions
68 Replies
10K Views
USIKU WA KISENGELI! HIVI VIGODOLO VIGODORO WATU KUTIKISA MATAKO SERIKALI ITAKATAZA LINI?
1 Reactions
121 Replies
31K Views
Kuna huyu mwanamuziki Budagalla Malonja, akifanya collabo na Diamond Platinum lazima ngoma iwe kali sana, huyu jamaa yuko vizuri sana, nimeweka moja ya ngoma zake;
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Wakuu naomba kama kuna mwenye kumjuahuyu mtangazaji wa e.fm anaeitwa kicheko a.ka chalii ya marangu!! Aniwekee hata picha yake hapa!!huyu jamaa namkubali sana jana alikuwa anatafsiri picha kwa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
HUYA BELLA NI NYOKO SANA AISEE AMEKUTANA NA MGUMU NGOSHA ANAYEJIFANYAGA HAJUI KUBEMBELEZA LEO ANAMLILIA KIMWANA NI BONGE LA VIDEO FID.Q FT BELLA
3 Reactions
23 Replies
4K Views
“Mwanajamvi mwenzangu nimeanzisha Youtube channel ambayo ntakuwa nikiongelea maswala mbalimbali na nikichambua mada kuanzia sanaa mpaka uchumi, lengo langu ni kufahamisha mambo kwa usahihi na...
1 Reactions
0 Replies
993 Views
Nimekuja kugundua kuna vitu vidogo sana vinamjenga msaani huyu ni ubunifu tu mdogo huku wasanii wengine wakiwa wamelala usingizi diamond kaja hii yakutembea na kamera yake anayoitumia popote...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
It seems like this number was used by Pac! "7" Most of the thing especially special events are closed associated with this number. Huyu Tupac kama alitabiri maisha yake, maana vitu alivyokua...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tatizo nin King?Au promo?Fanya kitu
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habarini Wadau, Usiku huu katika taarifa ya habari ya TV1, habari ikielezea uhamasishaji wa wasanii kuupa kipaumbele miziki yenye mahadhi ya uswahili kama segere na singeli nimemsikia Wema Sepetu...
2 Reactions
73 Replies
9K Views
Leo anazaliwa mfalme wa hiphop East & Central Africa... Heri ya siku ya kuzaliwa Ngosha. Fid Q ameendelea kuwa inspiration kubwa kwa vijana na haswa community ya hiphop.. Ameendelea kuiweka...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Birthday ya mtoto wa taifa bila m-bongo hata mmoja, si baba, bibi wala shangazi.
3 Reactions
97 Replies
22K Views
Inasemekana kwamba mwanamziki mkongwe Brandy ni VAMPIRE!!....siku zote yuko young vilevile hajawahi kuzeeka wala hana dalili za kuzeeka.
4 Reactions
85 Replies
16K Views
BASATA imemfungulia Nay wa mitego kuendelea na shughuli za sanaa baada ya kutekeleza maagizo aliyopewa. Nay wa Mitego atakuwa kwenye uangalizi maalumu wa BASATA ili kuhakikisha anazingatia...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom