Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekanusha tetesi ya muda mrefu ya kutoka kimapenzi na hit maker wa wimbo ‘Aje’ Ali Kiba.
Muigizaji huyo mahiri wa filamu amekiambia chanzo chetu kuwa...
Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi Dar leo
limewahoji wasanii wa Orijino Komedi kwa
makosa ya kuvaa sare za polisi kwenye
harusi ya msanii mwenzao Emanuel Mgaya
“Masanja”. Wasanii hao, Lucas Muhuvile...
Huu ndio muonekano mpya wa hit maker wa ngoma kama uzuri wako, ntasubiri, sisikii, nikuite nan, wivu n.k. japokuwa ni uamuz wa mtu ila kiukweli jamaa hujapendeza. African boy endelea kuwa African...
Nikiri kuwa fan wa mziki wa diamond!Nimekuwa nikiingia mara moja moja kwenye page zake mbalimbali kupata updates!Siku za karibuni kutokana na kubanwa na majukumu sikuwa karibu na social media...
Msanii mkali wa africa na dunia kutoka nigeria wizkid akiongea na clouds fm amesema kwa sasa nyimbo ya diamond platnumz aliowashilikisha psquare kidogo ndio nyimbo bora kwake na ndio anayoukubali...
Kuna huyu mwanamuziki Budagalla Malonja, akifanya collabo na Diamond Platinum lazima ngoma iwe kali sana, huyu jamaa yuko vizuri sana, nimeweka moja ya ngoma zake;
Wakuu naomba kama kuna mwenye kumjuahuyu mtangazaji wa e.fm anaeitwa kicheko a.ka chalii ya marangu!! Aniwekee hata picha yake hapa!!huyu jamaa namkubali sana jana alikuwa anatafsiri picha kwa...
“Mwanajamvi mwenzangu nimeanzisha Youtube channel ambayo ntakuwa nikiongelea maswala mbalimbali na nikichambua mada kuanzia sanaa mpaka uchumi, lengo langu ni kufahamisha mambo kwa usahihi na...
Nimekuja kugundua kuna vitu vidogo sana vinamjenga msaani huyu ni ubunifu tu mdogo huku wasanii wengine wakiwa wamelala usingizi diamond kaja hii yakutembea na kamera yake anayoitumia popote...
It seems like this number was used by Pac! "7"
Most of the thing especially special events are closed associated with this number.
Huyu Tupac kama alitabiri maisha yake, maana vitu alivyokua...
Habarini Wadau,
Usiku huu katika taarifa ya habari ya TV1, habari ikielezea uhamasishaji wa wasanii kuupa kipaumbele miziki yenye mahadhi ya uswahili kama segere na singeli nimemsikia Wema Sepetu...
Leo anazaliwa mfalme wa hiphop East & Central Africa... Heri ya siku ya kuzaliwa Ngosha.
Fid Q ameendelea kuwa inspiration kubwa kwa vijana na haswa community ya hiphop.. Ameendelea kuiweka...
BASATA imemfungulia Nay wa mitego kuendelea na shughuli za sanaa baada ya kutekeleza maagizo aliyopewa.
Nay wa Mitego atakuwa kwenye uangalizi maalumu wa BASATA ili kuhakikisha anazingatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.