Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ali Kiba mbwa wake mpya ameamua kumuita jina la ruby na kupelekea watu wa karibu na kiba na mashabiki zake(teamkiba) kumuita binti na chipukizi wa bongo flave mwenye sauti nzuri Ruby kushindwa...
8 Reactions
184 Replies
31K Views
je UNAMSHAURI NINI MAMA WEMA, KWA KUWA YE MTU MZIMA ANASHINDANA NA KIJANA MANFONGO?.
2 Reactions
17 Replies
5K Views
acha acha acha kabisa ... x4 Huu ndio wimbo ulionikamata kwa leo
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Video ya wimbo ‘Salome’ ya mkali wa muziki, Diamond Platnumz imefikisha views miloni moja katika mtandao wa YouTube kwa kipindi cha siku mbili. Video hiyo ambayo inaonyesha kufanya vizuri zaidi...
3 Reactions
32 Replies
6K Views
Huyu jamaa kwanza mim namkubali maana kwa juhudi zake amesaidia sana Diamond kuwa pale leo. Shida niliyonayo jamaa anapenda sana majungu kila akipost kitu instagram lazima aweke maneno ya vijembe...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
1:Faiza Ally, huyu aliwahi kuwa mpenzi wa mheshimiwa Joseph Mbilinyi ila kutokana na tabia zake za ajabu ajabu hatimaye mheshimiwa aliamua kunyoosha mikono na kuachana nae , Kwa kudhihirisha hilo...
7 Reactions
76 Replies
28K Views
Ama kweli ukiwa na nyota ya kupendwa dunia yote hii utaiona tamu balaa Mwanamuziki ambaye pia ni mume wa Kim Kardashian na muanzilishi wa dini ya yeezus Kanye West ana nyota ya kupendwa kwa kweli...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Msanii Roma alishushwa jukwaani huko Morogoro baada ya kutuhumiwa kutoa matusi juwaani, Roma anadai hakutoa matusi ila alikaribishwa kuimba ila akaimba akaboa watu na ndio maana walimshusha Amedai...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Naimani wale wa kale watakuwa wanamjua huyu promota na meneja maarufu miaka ile ya 2000 mwanzoni aliyemleta Saida karoli akabambaa Afrika nzimaa chini ya studio yake ya fm studio Producer Akiwa...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Hakuna asiyemjua mwanamama Saida Karoli kutoka na vibao vyake motomoto kama vile Chambua kama Karanga, Kalibatano, Kitobelo, Engozi...nk pia aliwahi kushiriki mashindano ya Kora kupitia kipengele...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Baada ya ule mtanange wa hapo awali kati ya rayvan na harmonize na rayvan kumkimbiza vibaya sana mmakonde harmonize , leo nimewaletea mtanange mpya kati RAYVAN na RICHARD MAVOKO Yupi unamuona...
0 Reactions
29 Replies
14K Views
Kwa mtazamo wangu nadhani hawa ndiyo wasanii wa bongo fleva ambao wameshirikishwa kwenye nyimbo bila kuharibu na wakati mwingine kuzipaisha ngoma zenyewe. 1.Alikiba. 2.G.Nako 3.Barnaba boy...
6 Reactions
26 Replies
4K Views
Huyu mtoto nina zake!!!kanifanya nimewehuka mpaka namfungulia thread,aisee hivi ni masikio yangu au nna tatizo?dogo anajua jamani,kwenye salome kanifanya toka jana namaliza mb zangu,huyu mtoto...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
After a bidding war between Universal Music and Sony Music , the only Two Major Distribution companies in the world, Wizkid has decided to go with the latter and just inked a global record deal...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Akiongea na Millard Ayo baba huyo wa mabinti watatu alitoa sababu kwanini hataki wajihusishe na mziki. "Unajua binti kupitia kwenye mziki hadi aje kufanikiwa lazima apitie mengi. Mimi naongea hivi...
9 Reactions
72 Replies
12K Views
Hii video mpya ya diamond pamoja na Raymond imenikosha, ila najiuliza tu kwa nn kaka yetu hakumtumia Lulu na badala yake akamtumia tunda? Au aliogopa kukutanisha mafahali wawili katika zizi...
3 Reactions
24 Replies
7K Views
Naona picha zake znyingi anapiga akiwa anakula au yupo kwenye mijumba ya kifahari Hizi nyumba ni zake au kwao kwel? Au ndio kick?! Au ndio anauza papuchi
1 Reactions
43 Replies
6K Views
Japokua ki muonekano hayuko vyema sana sema ana vionjo flani ktk utangazaji wake na vicheko mororo sauti clear ila kizungu kingi..kwa wasio mjua huyu dada ni mtangazaji wa clouds tv ana host...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Naomba niwashaur wana jf wenzangu kua tumpatieni huyu jamaa digrii ya heshima kutoka hapa jf. Nadhani kila mtu anautambua mchango wake ktk tasnia ya mziki wa kizaz kipya hapa bongo,aisee jamaa ni...
8 Reactions
109 Replies
12K Views
Fahamu aliko na akifanyacho Rah P Did you know that she was jailed?
7 Reactions
84 Replies
21K Views
Back
Top Bottom