Mwanadada Vanessa mdee au V money anatarajia kufanya kolabo na msanii kutoka marekani Trey Song
V money amejigamba kuwa kolabo yake hiyo bila shaka itasababisha atimize ndoto zake za kushinda...
Jamaa anakipaji cha kutangaza radio na anafanya for funny anatafuta radio ya kutangaza as a parttime job (hakuna malipo) pia anasifa zifuatazo:-
-fluent english na swahili
-computer skills
-online...
You know you a joke, when even the likes of Sean Kingston can come up on record and call your bluff. Remember when Game came up in the "how we do" video all mean mugged acting tough? Dude was a...
Aliyewahi kuwa miss Tanzania mwaka 2000, Jackline Ntuyabaliwe maarufu kama K-Lynn au bosslady ambaye pia ni mke halali wa billionea na mfanyabiashara maarufu nchini bwana Reginald Mengi, hivi...
Huyu ndio First born wa Dr Slaa kwa mkewe wa kwanza Bi Rosemary Kamili mbunge wa Viti Maalumu CHADEMA!Anaitwa Linus...Huyu ndio bro wake na Junior,last born wa Dr Slaa.Amevuta jiko na kuagana na...
Wasalaam!
Takribani ni miezi 4 kama si mitano kabisa tangu msanii wa label ya Sony music international "Alikiba" (KingKiba) kuachia official release ya wimbo wa "AJE" ambao kiukwel trend ya wimbo...
Wasalaam wakuu!
Sio siri uzalendo umenishinda haswaa! Yote ni juu ya Alikiba "Kingkiba" Maana mpaka sasa nashindwa kuelewa ni Nani aliyekuroga hadi unaendesha mziki wako kizaman sana.
Uliporudi...
Sijui nini huwa kinatokea kwa wasanii wetu baada ya kuwa maarufu? Nakumbuka Feruzi aliwahi kumiliki gari aina ya "Jeep" na kuwa msanii wa kwanza mwenye gari ya gharama akifuatiwa na Lady JayDee...
Ni kweli inauma mno kutelekezwa na mzazi. Mimi ambaye baba na mama yangu walinilea kwa umoja wao pamoja na umaskini wetu, huwa nawaza ingekuwaje baba au mama asingekuwa karibu yangu? Malezi ya...
kumekuwa na thread nyingi humu kuhusu show ya fiesta ambazo me nazani watu wanabwabwaja tu maneno sina hakika kama kuna ukweli nahitaji mtu anaejua vizuri mikataba wanayolipwa wasanii aje apa...
Model wa Tanzania anayefanyia kazi zake nchini Afrika Kusini, Daxx Cruz, ameingiza sokoni soksi zake za viatu. Soksi hizo zenye rangi mbalimbali zinaitwa hivyo kwa jina lake ‘Daxx Cruz.’ Tayari...
Baada ya Magufuli kuingia madarakani vijana wengi kwa sasa wanalalamika mtaani kugumu, msanii Diamond aja na ubunifu mpya wa kutengeneza pesa.
Mpaka sasa ni hakuna show yeyote aliyofanya Diamond...
Kuna wimbo wa bongo fleva wa earlier 2000s sikumbuki kauimba nani ila chorus iko hivi.
Penzi litabaki pale pale (pale) X2
Nakupenda nakuhitaji uwe wangu eeh
Nilidhani aliimba adili lakini nadhani...
Staa wa filamu nchini, mwenye hadhi ya aina yake, Yvonne cherry maarufu kama monalisa, kupitia mtandao wake wa kijamii(insta) amepost picha inayomuonyesha akiwa na kitumbo (mimba) ambayo...
Wasanii na viongozi wa WCB waalikwa nyumbani kwa rais mtaafu Jakaya Kikwete
Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete Jumatano hii aliwaalika wasanii wa label ya WCB pamoja na viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.