Sad story ya Rah P

its so touching

yaai i cant watch this twice.
she is a good woman, really strong african woman
i like her style, naona rap style yake imebadilika. i like the song

Ushaurinwa bure, I think she can do wonders akifanya talk show.
there are so many women going through such paths, imagine hearing these stories from Tanzanian women waliopo Tz
 
Nimependa alivyoelezea kwa ufasaha,na hii habari yake nina imani itakuwa somo tosha kwa ndugu zetu wote ambao wana imani mawazoni kuwa ukiweza tu kufika US, basi kila kitu safi,na kusahau kuwa kufika ni jambo moja na utaishi vipi ni jambo jingine.

Kama hujui ni nini unaenda kufanya huko mbele ya safari ni bora ubaki nyumbani tu, na ukijishughulisha kwa bidii una nafasi nzuri ya kufanikiwa,kuliko kwenda sehemu ambayo huna mtu yeyote wa karibu wa kukuinua pale utakapojikwaa,,
 
angekuwa bongo nafkiri angekuwa, mbali kidogo coz alikuwa na msingi mzuri wa Elimu. Huyu akomae tu huko huko akija huku maumivu Mara mbili kwanza sidhani ka familia itampokea kiviile then wale school mates zake na age mates wake washapiga hatua sana itamuuma. Hata mi siku zote nlikuwa najua Ukienda tu Europe au America ushafanikiwa!
 
Dah Aisee.. Wanaume sisi yaani hatuna huruma. Ndo kaisha tena mitoto miwili si ndo keshazeeka tena. Ila kiukweli huyu mtoto alikuwa mkali.. Lile tabasamu wacha kabisa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Aiseeee! Maisha haya!!! Rah P pole sana,wengine bado tunaheshimu mchango wako ktk Hip Hop hasa ukiwa mwanadada tena kipindi kile kigumu!

Usirudi Bongo kabla hujajua michongo imekaaje usijejuta kurudi.life goes on!!!!
 
Duh,nakumbuka ule mstari wake "nikiharibu kivyangu" kweli maneno huumba!
 
Huyu si ni yule dada alikuwa anadaiwa analiwa na Mwisho Mwambamba huku pia akisagwa na Sala.....?
 
angekuwa bongo nafkiri angekuwa, mbali kidogo coz alikuwa na msingi mzuri wa Elimu. Huyu akomae tu huko huko akija huku maumivu Mara mbili kwanza sidhani ka familia itampokea kiviile then wale school mates zake na age mates wake washapiga hatua sana itamuuma. Hata mi siku zote nlikuwa najua Ukienda tu Europe au America ushafanikiwa!
majuu ni majuu arifu inategemea inazichanga vipi karata zako.....wengi tumefanikiwa majuu miaka 30 nilioshi USA na Europe nimefanikiwa sana najivunia kwa hilo.....

Ukienda majuu na kupania kuvaa milegezo na kuishi life style ya mtindo ule lazima ile kwako.....wewe ukipata nafasi ya kufunga mkanda kwea pipa arifu.......kuna raha gani bongo umeme hakuna,mbu nyingi,ujinga wa ccm na serikali yake,kipindupindu na makorokoro mengine......

rah p basi ni bahati mbaya...au alitaka mtu wa dizaini fulani ndio akaishia huko...
 
mkuu natumia kasimu ka mchina kama utaconvert kwenye maandsh hyo video itakuwa bomba
 
majuu ni majuu arifu inategemea inazichanga vipi karata zako.....wengi tumefanikiwa majuu miaka 30 nilioshi USA na Europe nimefanikiwa sana najivunia kwa hilo.....

Ukienda majuu na kupania kuvaa milegezo na kuishi life style ya mtindo ule lazima ile kwako.....wewe ukipata nafasi ya kufunga mkanda kwea pipa arifu.......kuna raha gani bongo umeme hakuna,mbu nyingi,ujinga wa ccm na serikali yake,kipindupindu na makorokoro mengine......

rah p basi ni bahati mbaya...au alitaka mtu wa dizaini fulani ndio akaishia huko...
You just write like Le Mutuz, Le Baharia, Am i correcting?
 
She needs to come back home and do her life,she has got talent and education,she is iconic here so Makampuni yatamshoboka tu hata kupata kazi ya 1 to 2m per month hatakosa. me ningeweza wasiliana nae ningempatia plan poa ya kuanzia hapa bongo, any one with her contact please????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom