Ni mwandishi pekee aliyekwenda kwa hiyari yake mwenyewe kutoa ushahidi kwenye tume ya mwakyembe na amekuwa akisakamwa na mafisadi kila kukicha lakini ametoa maisha yake kwa nchi yake
SHILOLE AKIWA NA STYLIST WAKE MARTIN KADINDA ASHEREKEA DEAL LA FIESTA...
AANDIKA HIVI
#Fiesta2016 imoooooooooo nishadondosha wino kama msanii wako wa fiesta mwaka huu... nasikia rahaaaaaa with my...
Sitaki mengi mwenye masikio na asikie.
na nyingine ni ya huyu mdogo wangu kabisaaa.
NB. sitaki kuwa sehemu ya ugomvi ila nataka masikio ya watu wengine yasikie pia halafu watoe maoni yao.
nahisi...
Mr t_touch awali alikuwa akifanya kazi na nay wa mitego katika studio za free nation ila aliamua kuondoka na kuanzisha studio yake inayojulikana Kama 'Touchez soud'
Touch ametayarisha asilimia...
Wema Sepetu hatimaye nae amwaga povu kama mama yake kuhusu bifu la mama yake na man fongo.....Wema alimvutia waya Soudy Brown na kutaka asiliongelee hilo bifu la mama yake na man fongo kwa kuwa...
Nimepitia account ya diamond sijaona clip yoyote ya video aliyopost naona picha tu mwenye clip video naomba utuwekee iyo show ya live aliyofanya diamond Malawi
1. Idriss sultan bba ni bonge la comedian sikuwahi kuhudhuria show ya huyu dogo ila kwa dk chache nimejua ni bonge la comedian anaweza kuwa kevin hart w bongo
2. Jamaa (steve) anaigiz kiingereza...
Sina mengi ya kuongea sana wale old school wenzang watakumbuka mengi katika hizi picha.
Beef na ugomvi havitasaidia mziki wetu isifike mahali tukajaanza kutengana na kubaguana, tupendane na amani...
Kama tunavyo fahamu kwamba Youtube ni Mtandao ambao karibia wasanii na wasio wasanii wote Duniani hu utumia kwa ajili ya kuweka kazi zao ili kuji ingizia kipato kutokana na idadi ya watazamaji...
Kuna kundi A / team haina office, haina sehemu ya mazoezi, wanaazima vifaa vya music bend,hawana wasaidiz katika idara mbali mbali za kazi zao eg. Stylish, videographer au choreographer, kila kitu...
Leo ndio nimegundua hili baada ya Ruge kusema wakati anafanyiwa interview na xxl.alikuwa anamzungumzia Dj D ommy namna alivokwenda clouds "tulimwita kwenye Zali white party japo show ilikuwa ni...
Kama shabiki wa muziki, weka chaguo lako ili tuone ni nani kaibuka kidedea kwenye hili bifu lililoibuka kwa kasi majuzi mara baada ya ngoma za "kajiandae" na "kokoro" kuachiwa.
Wakuu heshima kwenu.
Kwanza poleni na majukumu hapa kuna mashabiki die hard wa Diamond ambao nawapa credit zao na wamekua wakimtetea sana . Nitataja wachache na ni watu makini sana
Chige...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.