Umofia kwenu wana JF,
E-FM watamaliza majembe yote kwenye tasnia ya utangazaji. Aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM ncha kali atua E-Fm, kwa mwendo huu watakuja kuwa radio namba 1 siku za usoni..
Siku zimepita toka nijionee kipindi kimoja chenye mada ya ushoga. Mrushaji alikuwa zamaladi. Nilimwona siku hiyo na sijawahi kufuatilia vipindi vyake. Baadaye nilisikia viongozi wa TCRA...
Jioni ya jumanne imetoka video mpya ya msanii mwingine wa WCB RICH MAVOKO akiwa amemshirikisha bosi wake Diamond Platinumz unaofahamika jina la KOKORO kimsingi mimi #kijanamzalendo sijaelewa Audio...
Baada ya rich mavoko kuachia wimbo aliomshirikisha diamond ,
Msanii alie karibu na alikiba ommy dimpoz amaamua kurusha dongo kwa WCB huku akiamini WCB wananunua viewers
Hata hivyo kama mnavyojua...
Rich Mavoko na Diamond Platnumz wamezichezea
sharubu za simba mkali aliyekuwa usingizini. Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limehisi kuna
udhalilishwaji wa wanawake kwenye video hiyo
na limesema...
Waungwana Salaam,
Miezi kadhaa Ney wa Mitego alitoa nyimbo yake iitwayo "SHIKA ADABU YAKO" huku akiwachana baadhi ya Wasanii na watu maarufu humu nchini.
Baadhi ya watu waliochanwa na Ney wa...
Kwa akili ya kawaida ni wajinga tu wanaweza kuamini diamond ananunua views youtube
Twende na facts kuujua ukweli
>Diamond ana followers milioni 3 instagram ,
Youtube ana subscibers 422,320...
Msanii mkali wa muziki, Ommy Dimpoz amesema haumizwi kichwa na kauli mbalimbali za mashabiki wake wa kwenye mitandao ya kijamii ambao wanadai kuwa anajipamba kuzidi.
Akizungumza katika kipindi cha...
Nimeangalia kipindi cha harakati cha kala pina kinachorushwa na television ya kilauzi (japo siipendi), nimekuta waungwana wanaangalia mahali nikajikuta na mm nimekodolea macho.
Alikuwa anamhoji...
Kwa waliopo instagram unaweza kuona mbwembwe za Ommy Dimpoz, bata akula haswa sijui ndio kaacha muziki Ana kula mafao sasa. Mara Paris, uki weka bundle kaisha fika Ujerumani. Ukizima simu ukiwasha...
Mwanamuziki ommy dimpoz ametangaza kugawa sumu za mpya i phone 7 kwa mashakizi zake
Ofa iyo imepokelewa tofauti na mashabiki wake baada ya picha alioweka ikimbatana na kilainishi cha mafuta ya...
Msanii Omy Dimpoz amefunguka kuhusu vacation yake ya Ibiza na kudai gharama za maisha kule ni juu sana
Akaongezea kile kisiwa alichoenda na kupiga picha na Wayne Rooney ku book meza kwa ajili ya...
Msanii wa muziki Ommy Dimpoz amedai kuna baadhi ya wasanii wananunua views katika mtandao wa YouTube ili video zao zionekane zimeangaliwa zaidi.
Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo...
Msanii Ommy Dimpoz ameshukuru baraza la sanaa Tanzania kumuadhibu msanii mjinga Ney wa Mitego, pamoja na wasanii wengine wanaoandika nyimbo za matusi
Amesema atamtambulisha mpenzi wake soon, na...
Hebu wazee wa mujini warumi mnidadavulie huu ukaribu wa msanii Ommy Dimpoz na Boss mkuu wa GSM ni biashara ipi anayomtangazia....au kuna single inakuja tujiandae?
Mzee wa Shilawadu niPM basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.