Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Le Mutuz ndio ni akili kubwa lakini kutwa nzima kukaa na kulia lia kuomba Kura kwenye Mitandao
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Waziri wa Habari Nape Nnauye alipomtembelea Diamond Platinumz ofisini kwake leo. Bila shaka amenogewa na midundo ya Kokoro.
6 Reactions
67 Replies
13K Views
Umofia kwenu wana JF, E-FM watamaliza majembe yote kwenye tasnia ya utangazaji. Aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM ncha kali atua E-Fm, kwa mwendo huu watakuja kuwa radio namba 1 siku za usoni..
1 Reactions
58 Replies
22K Views
Siku zimepita toka nijionee kipindi kimoja chenye mada ya ushoga. Mrushaji alikuwa zamaladi. Nilimwona siku hiyo na sijawahi kufuatilia vipindi vyake. Baadaye nilisikia viongozi wa TCRA...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
ukiingia celebrity forum unakutana na nyuzi zako tu.. kama kiki umepata broo
0 Reactions
17 Replies
3K Views
,,MTV fvck you, Im on Trump shit right now ...To make America Great Again" ...Kanye West!
5 Reactions
57 Replies
7K Views
Jioni ya jumanne imetoka video mpya ya msanii mwingine wa WCB RICH MAVOKO akiwa amemshirikisha bosi wake Diamond Platinumz unaofahamika jina la KOKORO kimsingi mimi #kijanamzalendo sijaelewa Audio...
3 Reactions
37 Replies
9K Views
Baada ya rich mavoko kuachia wimbo aliomshirikisha diamond , Msanii alie karibu na alikiba ommy dimpoz amaamua kurusha dongo kwa WCB huku akiamini WCB wananunua viewers Hata hivyo kama mnavyojua...
8 Reactions
404 Replies
50K Views
Rich Mavoko na Diamond Platnumz wamezichezea sharubu za simba mkali aliyekuwa usingizini. Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limehisi kuna udhalilishwaji wa wanawake kwenye video hiyo na limesema...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
PIA WEMA SEPETU AMSAPOTI ALIKIBA NA OMMY DIMPOZ ASEMA KAJIANDAE SONG NI WIMBO WA MWAKA..
0 Reactions
28 Replies
6K Views
  • Closed
Waungwana Salaam, Miezi kadhaa Ney wa Mitego alitoa nyimbo yake iitwayo "SHIKA ADABU YAKO" huku akiwachana baadhi ya Wasanii na watu maarufu humu nchini. Baadhi ya watu waliochanwa na Ney wa...
1 Reactions
71 Replies
21K Views
Kwa akili ya kawaida ni wajinga tu wanaweza kuamini diamond ananunua views youtube Twende na facts kuujua ukweli >Diamond ana followers milioni 3 instagram , Youtube ana subscibers 422,320...
8 Reactions
32 Replies
4K Views
Msanii mkali wa muziki, Ommy Dimpoz amesema haumizwi kichwa na kauli mbalimbali za mashabiki wake wa kwenye mitandao ya kijamii ambao wanadai kuwa anajipamba kuzidi. Akizungumza katika kipindi cha...
2 Reactions
34 Replies
5K Views
Nimeangalia kipindi cha harakati cha kala pina kinachorushwa na television ya kilauzi (japo siipendi), nimekuta waungwana wanaangalia mahali nikajikuta na mm nimekodolea macho. Alikuwa anamhoji...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa waliopo instagram unaweza kuona mbwembwe za Ommy Dimpoz, bata akula haswa sijui ndio kaacha muziki Ana kula mafao sasa. Mara Paris, uki weka bundle kaisha fika Ujerumani. Ukizima simu ukiwasha...
6 Reactions
54 Replies
10K Views
Mwanamuziki ommy dimpoz ametangaza kugawa sumu za mpya i phone 7 kwa mashakizi zake Ofa iyo imepokelewa tofauti na mashabiki wake baada ya picha alioweka ikimbatana na kilainishi cha mafuta ya...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Msanii Omy Dimpoz amefunguka kuhusu vacation yake ya Ibiza na kudai gharama za maisha kule ni juu sana Akaongezea kile kisiwa alichoenda na kupiga picha na Wayne Rooney ku book meza kwa ajili ya...
0 Reactions
74 Replies
12K Views
Msanii wa muziki Ommy Dimpoz amedai kuna baadhi ya wasanii wananunua views katika mtandao wa YouTube ili video zao zionekane zimeangaliwa zaidi. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo...
3 Reactions
114 Replies
13K Views
Msanii Ommy Dimpoz ameshukuru baraza la sanaa Tanzania kumuadhibu msanii mjinga Ney wa Mitego, pamoja na wasanii wengine wanaoandika nyimbo za matusi Amesema atamtambulisha mpenzi wake soon, na...
1 Reactions
81 Replies
54K Views
Hebu wazee wa mujini warumi mnidadavulie huu ukaribu wa msanii Ommy Dimpoz na Boss mkuu wa GSM ni biashara ipi anayomtangazia....au kuna single inakuja tujiandae? Mzee wa Shilawadu niPM basi...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom