jamani hili jingo la cocacola (onja msisimuko) nalielewa sana

Diamond ni hatari....
Wanasema ukitaka kumchukia mtu kwanza jiulize je huyu mtu hana zuri hata moja? ukikuta ana jambo zuri analo lifanya basi anza kumpenda kwa jambo hilo....Diamond kwenye ubunifu ndio ninapo mpa point nyingi zaidi.
 
Mkuu kuna hili pia unaweza kuinjoi
 

Attachments

  • 15028199_100251453793611_1978626708110049280_n.mp4
    963.8 KB · Views: 39
Back
Top Bottom