Sauti Sol ni kundi la muziki la nchini Kenya likijumuisha waimbaji Bien-Aimé Baraza, Willis Chimano na Savara Mudigi pamoja na mpiga guitar wao Polycarp Otieno.
Navy Kenzo ni kundi la nchini Tanzania linaloundwa na Wapenzi wawili, Aika na Nahreel. Nahreel ni prodyuza nchini Tanzania na ndiye anayetengeneza kazi zao.
Yote ni makundi bora Africa, ila kati ya makundi haya lipi ni bora zaidi?