Jamani, amini msiamini: sasa hivi Mheshimiwa Zitto kapachikwa jina la 'DOWANS'. Hivyo ndivyo nimegundua katika pitapita zangu hapa jijini Dar, katika magenge ya kahawa na sehemu nyingine...
Presha ya show kubwa za magwiji wa muziki hapa nchini MWANA FA "The Finest" na lady jay dee" miaka 13 ya jide" imezidi kupanda baada ya show hizo kutawaliwa na wanasiasa, Zitto alisema yeye...
Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Ndugu Zitto Kabwe atakuwepo katika kipindi cha Mikasi studio za EATV saa tatu na nusu usiku. Zitto Kabwe atazungumzia masuala mbali mbali ya chama cha...
Zitto Kabwe: Am in Juba-South Sudan, Karibia hotel zote ni 'makeshift' hapa Juba. Baadhi ni containers. Mji umepambwa na picha za Garang. Ulinzi ni wa Hali yajuu sana. V8s, Hummers na Nissan...
Mbunge wa mjini leo akmjinamefunga ndoa na mchumba wake Hongera dogo naona sasa atatuliza akili na kuacha kumuattack personMagufuli Magufuli. W mke wa zitto mtulize zitto asiwe ana bwa bwaja...
Katika hali ambayo watu wengi hawakutegemea mbunge wa Kigoma Kaskazini Ndugu Zitto Kabwe ameandika wimbo wa Bongo Fleva unaoitwa Wema kwa Ubaya, wimbo huo amemuandikia msanii wa Kigoma...
haya jamani tuisomeni vyema hii habari na tuangalie jinsi gani mzee misifa anavyotaka kukwepa lawama na kutaka kujisafisha kwa madudu alioyafanya.
Zitto aandika kitabu kuhusu Amina...
ni kijana mwenye muono wa mbali, busara ya hali ya juu, uwezo wa kujenga hoja, anakubalika na kada zote hata ccm wanamkubali, mtu mwenye uchungu na taifa lake, mzalendo. ni juzi tu ameweza...
Katika kuonesha ukaribu na vijana na utayari wa kutoa msaada wa hali na mali, Mbunge wa Kigoma Kasikazini Mh Zitto Zuber Kabwe amemtungia mashairi msanii wa muziki wa Bongo fleva hapa Tzee Linex...
---NI CORAL BEACH HOTEL MASAKI
---WAKAA ZAIDI YA MASAA SITA
---ZITTO AKIRI ,WEMA AKANA
Siku chache vaada ya kumwagana na jumbe yussuf;aliedaiwa kuwa ni mpenzi wake;wema sepetu amenaswa na mbunge...
Muziki na sanaa ni ubunifu na wala si kujua kuimba tu!. Wiki iliyopita nilimnukuu mzalishaji mkongwe wa muziki hapa nchini Master J akisema idadi kubwa ya wasanii hapa bongo wanafanikiwa si kwa...
Tangu muziki wa kizazi kipya 'BongoFleva' umeanza kutamba kumejitokeza nyimbo nyingi za wasanii mbalimbali ambazo zimefanikiwa/zilifanikiwa kuvuma kiasi kwamba hata watoto wadogo...
Leo nimekuja na ujumbe vijana wenzangu nia yangu ni kuwapa uwelewa na kuwatoa ktk usingizi.
Natambua wengi wenu hamjui na hamtambui dunia hii inaongozwa kisiri., yaani ni siri ambayo iko wazi na...
Tokea mwaka Jana kumekuwepo na uvumini pamoja matanhazo mbalimbali kwenye vyombo vya habari mengi yakitolewa na Diamond mwenyewe kuwa anatarajia kuguna ndoa na mpenzi wake Mwanadada mrembo Tanasha...
Wasalaam wana jamvi....
Wachumba wa Zamani Diamond Platinumz na Zari wanatarajia kuandika historia nyingine kama ilivyo kawaida yao pale uwanja wa uhuru ambapo kutakuwa na matukio mengi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.