Dkt Kilembwe
Senior Member
- Apr 25, 2015
- 154
- 102
Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Ndugu Zitto Kabwe atakuwepo katika kipindi cha Mikasi studio za EATV saa tatu na nusu usiku. Zitto Kabwe atazungumzia masuala mbali mbali ya chama cha ACT-WAZALENDO. Lini Chama kitaanza ziara ya awamu ya pili.
Daftari la kudumu la wapiga kura na mashine za BVR, Lakini atazungumzia mgomo wa madereva na mkwamo wa serikali kushindwa kutatua adhima huo na nini serikali inatakiwa ifanye na mambo mengine ya kitaifa. Ni kipindi cha kwanza cha Mikasi kwa ndugu Zitto Kabwe tangu ajiunge na chama cha ACT-WAZALENDO.
Usikose,mwambie na jirani yako
Daftari la kudumu la wapiga kura na mashine za BVR, Lakini atazungumzia mgomo wa madereva na mkwamo wa serikali kushindwa kutatua adhima huo na nini serikali inatakiwa ifanye na mambo mengine ya kitaifa. Ni kipindi cha kwanza cha Mikasi kwa ndugu Zitto Kabwe tangu ajiunge na chama cha ACT-WAZALENDO.
Usikose,mwambie na jirani yako