Baada ya mdau mmoja kuanzisha Uzi akizungumzia wasanii was vichekesho wasiojua.
Mimi nawaletea wasanii wangu wanaojua katika sector ya bongo flava
Ninaposema wanaojua nazungumzia aspects nyingi...
Monde ushaambiwa, hapa kazi tu.
Sasa mheshimiwa sana alipokupa nafasi ya kuimba, alitegemea uimbe nyimbo kama za kina Mrisho Mpoto za kusifia maendeleo ya chama na serikali wewe ukaboronga na...
Huyu wa kuitwa jamuhuri mwavyombo anachefua anaposoma Habari anasoma neno moja moja
Ni siku nyingi Sasa nimevumilia hii kero imetosha
Mimi Ni mdau mkubwa wa BBC swahili huyu Mtangazaji anakera...
Shalom,Leo nikiwa nimejipumzisha home baada ya kutoka kanisani nikiwa naangalia Emmanuel TV mara namuona Jerry Muro yuko ndani ya SCOAN,sijui kaenda kutubu.
Heri ya Pasaka wapendwa;
Leo pale maeneo ya Mlimani city hall kutakua na tamasha la film la kwanza Kwa hapa Tanzania ambapo tuzo mbalimbali za film zitatolewa usiku wa Leo kwa wasanii...
uyo jama shenzi type kweli kaingilia love life ya boss wake Diamond .. kabla ata hajafukuzwa rasmi ...kakimbilia instagram kuwadanganya watu eti ameacha kazi ... kwani kuachishwa kazi si kawaida...
Kama ilivyo ada,kwa dunia ya sasa ya kidigital 90% imetawaliwa na social media...sasa kwa hapa bongo siku ya jana kulikua na matukio makubwa manne ukiachilia mbali pasaka na siku ya wajinga ambazo...
Jana limefanyika zoezi la utoaji wa tuzo katika secta ya filamu Tanzania, ni jambo jema na la kupongezwa kwani ni hatua nzuri kwa tasnia ya filamu Tanzania.
Pamoja na yote dosari niliyoiyona ni...
Duh hii bongo land ni shida , Yani nimekuta album ya diamond inabaniwa kwa shilingi 1500, kwenye vibanda vya kuchoma cd, kiukweli album ni kali, sasa nashangaa kwanini haki ya msanii inatumiwa na...
Mwimbaji kutoka Burundi, Kidum aliwekewa sumu na kulazwa Hospitali nchini Burundi
Mwanamuziki huyo aliandika kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema ataruhusiwa Jumatatu lakini...
Kupitia ukurusa wake wa instagram, mwanamuziki diamond platnums amepost mjengo wake mpya uliopo south Africa, huku akimpongeza mzazi mwenzie (mama tiffah) kwenye siku yake ya kuzaliwa
Nimewaza sana hivi nini hawa wasanii wengine hawana ambacho wcb wanavyo peke yao,yani licha ya kubaniwa na media but ndo habari ya mjini,yaani you tube yote wameikamata hadI huruma nyimbo zao ndo...
Msanii wa muziki BongoFleva Juma Jux ambaye yuko kwenye mahusiano ya kimapenzi na Vanessa Mdee, amekanusha taarifa za mpenzi wake huyo kuwa mjamzito na kudai kwa sasa hawajajipanga kufanya hivyo...
Zamani nilimdharau sana niliona kama anadandia fani. Ila siku hizi naona anaimba vizuri sana na biti zake nzuri. Ila mashairi aombe wamtungie, yamekaa kiaunderground sana.
Unapokuwa unapayukapayuka eti kuna wanaume wanakufuatilia, wakufuatilie kwa lipi kama siyo kukuchora tu?
Wewe umri huo sana sana utafuatwa na wazee na vijana wasiojiheshimu walioharibikiwa na...
Kila nikitune redio nakutana na " wezeshaaaa...muwezesheeee...tuma pediiii, au helaaa kwenda namba 555 na uchafu". Shaabash
Eeeeniweei ila Clouds Media mmezidi. Imagine mtu mzima kama mimi...
Mpiga Picha Maarufu wa Diamond ajulikanae kama Kifesi leo ameamua kuacha kazi rasmi kwa sababu alizozitoa nimewawekea hapo chini...
Leo ikiwa ni siku takatifu na siku ya ibada kwangu ni siku...
Msanii wa BongoMovie, Faiza Ally huenda akawa ni moja ya mastaa ambao wamekasirishwa na kitendo cha mwanamama Zari kupata dili la kutangaza nepi za watoto za Soft Care.
Faiza Ally amesema kuwa...