wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Unapokuwa unapayukapayuka eti kuna wanaume wanakufuatilia, wakufuatilie kwa lipi kama siyo kukuchora tu?
Wewe umri huo sana sana utafuatwa na wazee na vijana wasiojiheshimu walioharibikiwa na maisha na au hawajielewi kabisa.
Kama umeshindwa kuiheshimu ndoa yako usijidhalilishe hivyo mitandaoni eti unafuatiliwa. Kuna wanaume washamba wanaopenda wanawake maarufu, siyo kwamba eti wanakupenda.
Wanachotaka ni sifa ya kutembea na wewe tu.Hebu utazame umri wako uliotukuka na linganisha na maneno ya kipopoma unayotamka.