Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,461
Kama ilivyo ada,kwa dunia ya sasa ya kidigital 90% imetawaliwa na social media...sasa kwa hapa bongo siku ya jana kulikua na matukio makubwa manne ukiachilia mbali pasaka na siku ya wajinga ambazo ni world wide...
1.kulikuwa na mechi ya Singida Utd vs Yanga
2.Tuzo za sinema zetu
3.Kuwashwa rasmi kwa Wasafi TV
4.kukamatwa kwa Halima Mdee
Katika matukio hayo name nimeona kwa sasa ni moja tu lililotawala na kuyazima mengine huko mitandaoni ambapo tukio la Wema kupata tuzo na Diamond kukumbatiana na Hamisa Mobeto yamebamba sana yani kana kwamba watu hao walikuwa peke yao ukumbini hata yule wazir mfungiaji alikuwepo lakin hakun aliyempa attention ukiingia huko kwenye site mbalimbali gumzo ni Hao watu...hata maudhui ya tukio la tuzo yamefunikwa kabisaa.
Ndo kusema bongo ujinga mwingi au watu wanapendwa sana?
1.kulikuwa na mechi ya Singida Utd vs Yanga
2.Tuzo za sinema zetu
3.Kuwashwa rasmi kwa Wasafi TV
4.kukamatwa kwa Halima Mdee
Katika matukio hayo name nimeona kwa sasa ni moja tu lililotawala na kuyazima mengine huko mitandaoni ambapo tukio la Wema kupata tuzo na Diamond kukumbatiana na Hamisa Mobeto yamebamba sana yani kana kwamba watu hao walikuwa peke yao ukumbini hata yule wazir mfungiaji alikuwepo lakin hakun aliyempa attention ukiingia huko kwenye site mbalimbali gumzo ni Hao watu...hata maudhui ya tukio la tuzo yamefunikwa kabisaa.
Ndo kusema bongo ujinga mwingi au watu wanapendwa sana?