Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2000 na kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World, Jacqueline Ntuyabaliwe, mwaka 2015 alifunga pingu za maisha na mfanyabiashara mkubwa na maarufu...
19 Reactions
248 Replies
35K Views
Wanajamvi Salaam; Sijawahi kupost ktk hili jukwaa,lkn nimelazimika kufanya hivi leo kutokana na huu unafiki unaoendelea kuonyeshwa na watanzania. Kilichonichukiza ni hiki kitendo cha kumsifia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
uyu michael jackson hakuwa mtu wa kawaida leo nimeangalia sh5ws zake kumbe vijana was siku hizi tunatania / / / 5hii nyimbo naipendaga sana /
8 Reactions
99 Replies
15K Views
Mrembo aitwae Suzan Labia amefunguka wazi mapenzi alionayo kwa millard ayo na kuonesha hisia kali sana kwamba anampenda sana Millard. Suzan ambae bado ana usichana wake ni binti wa miaka 20 tuu na...
1 Reactions
70 Replies
11K Views
Serikali imemkabidhi Bendera ya Taifa muigizaji wa filamu, Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa anayetarajia kwenda nchini Ghana kuwania tuzo ya #TheAfricanPrestigiousAwards kipengele cha Msanii...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ninapokuwa kwenye mitandao ya kijamii hasa hasa instagram, mara kadhaa huwa nakutana na picha au video fupi za comedian captain khalid anayefanya stand-up comedy katika majukwaa mbalimbali ya...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Msanii wa bongo movie Riyama Ally uliyechaguliwa kushiriki Tuzo za Sinema zetu pale Mlimani city na hukwenda lakini umemjibu vibaya mmoja wa wapenzi wa sinema kuwa tuzo hizo ni kama ulihongwa tu...
5 Reactions
32 Replies
9K Views
Oi yeah. Kama heading inavyojieleza huu ni Uzi special kwa mashabiki wa MC bora kutoka bongo Nikki mbishi King of freestyle East Africa Ambae anatambulika kwa umahili wake anapokuwa ameshika...
15 Reactions
95 Replies
16K Views
Mlezi wa hiyari wa msanii Elizabeth Michael aka Lulu amekanusha binti yake kuonekana katika viunga vya Kampala Uganda akila bata wakati wa Pasaka. Dr. Cheni amewataka waandishi kumtembelea Lulu...
4 Reactions
40 Replies
9K Views
Msanii wa Bongo fleva anayefanya miondoko ya kurap Harmorapa ameibuka na kuiponda Albamu ya Diamond na kudai ni mbaya kama ilivyo sura yake. Harmorapa alijipatia umaarufu kwa kupenda kiki katika...
4 Reactions
32 Replies
8K Views
HII NIMEITOA SEHEMU HUKO INASEMA IMEANDIKWA KUTOKA USA: African music Star,Diamond Platnumz,from Tanzania has come into headlines throughout the world as he Successful switched on his TV Station...
6 Reactions
24 Replies
9K Views
Kuna Siku ulimuomba mungu ivyo ulivyo navyo je umekumbuka ?? Kimshukulu kwa yoye [emoji135][emoji135][emoji135][emoji135][emoji135][emoji135]
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa kizazi hiki ukubali ukatae, Diamond ndio anazungumziwa zaidi kuliko msanii yoyote hapa Tanzania kuanzia mitaani hadi mitandaoni Imekuwa kawaida sana Diamond kushikilia trending tano za juu...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Kwa style hii ya Bongo movie kupigana vijembe na kuonyeshana chuki hadharani kweli mtafika? Juzi baada ya usiku wa tuzo kuisha na wasanii Wema na Gabo kuchukua tuzo wengi wameonyesha...
15 Reactions
73 Replies
9K Views
wapendwa kuna mjadala mkubwa ambao unaendelea wa nani ni real KING kati ya hao ma LEGENDS hapo juu,KWA utafiti ambao nimeufanya nimegundua wengi wanampa kula Michael Jackson sijui KWA kigezo kipi...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Msanii wa nyimbo za Injili nchini, Emmanuel Mbasha amesema amesikitishwa na taarifa alizozipata kuwa amempa ujauzito msichana anayevuma kwenye mitandao ya kijamii Agness na kudai hana mahusiano...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Rais wa WCB, Diamond Platnumz ametangaza habari njema kwa watanzania hasa hasa kwa wadau wa tasnia ya habari kwamba anatarajia kufungua Wasafi FM na Wasafi TV Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri...
6 Reactions
319 Replies
57K Views
Rapper kutoka Canada, Drake ameonyesha kuwa yeye ni moja ya watu walio na love ya kutosha na magari kwa kuamua kuvuta ndinga nyingine ambayo gharama yake ni sawa na gharama ya kurudia uchaguzi kwa...
4 Reactions
61 Replies
8K Views
Msani wa Filamu nchini Monalisa amewapongeza Azam Media kwa kuandaa Tuzo za Sinema zetu kwa wasanii wa Filamu kwani zitaamsha hamasa ya tasnia ya filamu hapa nchini na kuwalaani vikali wote wale...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mwanamuziki wa kimataifa grade one kutoka nchini Tanzania Diamond Platinums kutokana na kuteswa kimapenzi kila kukicha na walimbwende , ndugu ,jamaa na marafiki wa karibu wameamua kukaa kitako...
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Back
Top Bottom