Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Yawezekana nisiwe chochote kwako lakini si vema ukapuuzia kila unachoshauriwa. Nimekuwa shabiki wako kwa muda mrefu, si shabiki tu bali mtu ninayesupport pia kazi zako. Mie si muhudhuriaji hata...
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amempa nasaha za maisha ya ndoa na ujana, Ali Kiba ambaye yuko kwenye harakati za kufunga ndoa hivi karibuni. Ingawa taarifa za awali kutoka Mombasa zimekuwa...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
Kwa mara ya kwanza baada ya kutopiga ngoma za Wcb kwa mda mrefu Tv E inayosimamiwa na majizo saa 11 jioni ya leo imeonesha hii video ya konde boy, hii ndio kumaanisha wameyamaliza bifu zao au Dj...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wadau.. Naamini media nyingi za tanzania zimegundua umuhimu wa diamnond kwenye tasnia ya habar hususan udaku udaku na mambo mengine.. Diamond ni brand kubwa saana ambaya kuipuuzia katika...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni yule dingi wa filamu maarufu ya FULL METAL JACKET ikieelezea story ya makuruta wanaojinoa kupambana ktk vita ya Vietnam vs US...anafahamika sana kwa kumhenyesha Private Pyler na Private...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Siku zote inajulikana king of music wa bongo hana skendo mbaya anajitahidi sana kuziepuka na sasa king kiba anaoa hivi karibuni Ameshatoa taarifa kwa watu muhimu muhimu akiwa na mpambe wake ommy...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Elizabeth Michael aka Lulu. Mastaa kibao wanampongeza muigizaji huyo ambaye kwa sasa yupo gerezani akitumikia kifungo cha miaka miwili kwa kosa la kumuua aliyekuwa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Aliyekuwa mpenzi wa Diamond Platinumz ambaye ni mama wa watoto wawili wa msanii huyo, Zari The Boss Lady ameshindwa kuficha hasira zake na kumshambulia kwa matusi mtandaoni. Mashambulizi ya Zari...
2 Reactions
74 Replies
9K Views
Mwimbaji maarufu wa taarab Khadija Kopa amekabidhiwa taji ya malkia wa nguvu na kusema " Wakuja wametukuta mjini " na kuibua chereko na hoi hoi. Malkia wa nguvu wengine mi pamoja na Joyce Mhaville...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Majina halisi ya wasanii wa kibongo 1. Mwajuma Abdul- Queen Darleen 2. Juma Khaleed- Jux Vuiton 3. Nurdin Bilal- Shetta 4. Emmanuel Simwanga- Izzo B 5. Abbort Charles- Quick Racka 6...
0 Reactions
43 Replies
79K Views
Aslay ameamua kuachia ngoma nyingine akimshirikisha msanii Bahati kutoka kenya wimbo ukiwa unaitwa BORA NIFE huku WCB wakiwa wameachia video ya wimbo wao unaotrend KWANGARU Karata yako inakwenda...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Nimemuona Z. Anto Ubungo, sio yule tena superstar wa binti kiziwi ama kweli mawingu sio watu wazuri, sijui mwenzake MB Dogg yupo wapi
3 Reactions
75 Replies
18K Views
Mtoto wa kihindi ambaye hana maadili ya kihindi, alichozingua ni kwamba tu, anavaa kipini puani ila ni bonge la demu
2 Reactions
133 Replies
23K Views
Jux kupitia brand yake ya African Boy alisaini dili nchini China. Sasa mpenzi wake, Vanessa Mdee hajawa nyuma kwenye hilo Vanessa Mdee amempongeza Jux kwa hatua hiyo aliyopiga na kuwashukuru watu...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
LICHA ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume bado hali ya staa wa filamu za Kibongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ ni tete ambapo Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’, amejitosa...
7 Reactions
44 Replies
9K Views
Bila shaka hapa analengwa Diamond baada ya safari ya kwenda South kwa "magoti" kushindikana.[emoji2] [emoji2] [emoji2]
2 Reactions
44 Replies
8K Views
Mbosso ni msanii mpya chini ya uongozi wa WCB. Kabla ya kusajiliwa WCB, Mbosso alikuwa Msanii wa Yamoto band.. Mbosso ameonyesha tamaa ya pesa baada ya kutoa nyimbo yake ya kwanza WATAKUBALI...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Mtangazaji wa Cloud aacha kazi ya utangazaji,aamua kufanya muziki afuata nyazo za kina Ray C MTILAH BLOG / 7 hours ago Michael Lukindo Kama wewe ni msikilizaji mzuri wa radio hasa Cloud Fm...
1 Reactions
22 Replies
8K Views
Kuna wakati nilipita kule kwa wenzetu ule mtandao ulionishinda nikakuta huyu dada anaonewa sana kwasababu ya alitangaza ametengeza million 100 kuuza mtumba na duka lake kwenye hii kipindi fulani...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
MAXMILLION - KAMWAMBIE (Official Video): Maxmillion moja ya vijana wanaochipukia kwa kasi ya ajabu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom