Hii kitu niliiiona siku nyingi ila leo nimeona Afande sele akimchamba Gsolo nikaikumbuka.
Taarabu huwa ni nyimbo zilizojaa majisifu na kupakana maneno na Hiphop imejaa sana hizi ishu. Ukianza...
Mambo vipi wana JF!
Hivi ile adhabu ya Mondi kula ban imeisha maana leo naona millard ayo kapost habari kumuhusu mondi pia na mic ya clouds ilikuwepo kwa pembeni kunyonya habari....
Ndio adhabu...
Huenda ungependa kufahamu kuhusu mwanamuziki wa kale Ludwig van Beethoven. Hayumkini ndiye mwanamuziki nguli wa wakati wote wa miondoko ya klasiki (classical music).
Alizaliwa Ujerumani Disemba...
Kupitia ukurasa wake wa instagram diamond platnumz amemtakia Ali kiba Ndoa njema yenye baraka na furaha Tele!
Kitu ambacho watu wengi hawakutegemea lakini diamond kakifanya hakika kweli Sanaa...
Nimekuwa mdau wa bongo movie kwa muda mrefu sana, tangu kipindi kile kina TID na JAYMOE walipokuja na movie yao ya GIRLFRIEND na wengineo wengi waliofuata. Nachoweza kusema kwa ujumla ni kwamba...
Wanajamvi
Nianze kwa kuweka msimamo wangu kwamba mimi sio mpenzi kabisa wa bongo flavor wala bongo movies. Naamini wengi walio kwenye hilo kundi kwa maana ya wasanii ni watu wa hovyo na mfano ni...
Wawili hao wataperform Wembley Arena London 02/06/2018. Artists wengine ni Teckno, Wande Cole, KCEE, Kiss Daniel, Niniola, Seyi Shay, Skales, Kranium. Show iko sponsoured na Black Bet.
Tuwe...
Dj na legendary wa mziki aina ya EDM Electronic Dance Music AVICII kutoka Sweden amekutwa amefariki dunia hii leo uko Oman.
Mnamo mwaka 2016 AVICII alitangaza kuachana na kufanya matamasha uku...
Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Abdul Naseeb maarufu kama Diamond Platinumz na Faustina Charles maarufu kama Nandy, mapema leo hii wamewasili katika ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano...
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete washindwa kuhudhuria harusi ya mwanamuziki wa Bongo fleva nchini, Ali Kiba kutokana na kuwa na majukumu mengine.
Hayo...
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete wamesema hawataweza kuhudhuria harusi ya mwanamuziki wa Bongo fleva nchini, Ali Kiba anayetarajia kufunga ndoa na mchumba wake...
Msanii Afu Ra mnamo mwezi wa Kwanza alitua bongo kuja kufanya show lakini kwasababu ya maandalizi mabovu na promo ndogo, show ilishindwa kufanyika kwasababu watu waliohudhuria hata 50 hawakufika...
Wakati zikiwa zimesalia saa chache kabla mwanamuziki Alikiba hajafunga ndoa jijini Mombasa, imebainika kuwa ametumia mamilioni katika maandalizi ya sherehe hiyo.
Mwandishi wetu aliyepo Mombasa...
Haya wale mashabiki wa kiba msio na king'amuzi cha azam tv, huu ndio muda muafaka wa kukinunua ili muweze kushuhudia star wenu akichukia jiko huko Mombasa,Kenya.
mambo ni [emoji91] [emoji91]...
Sanaa ni taaluma. Wasanii waliolitambua hili, walitafuta elimu sahihi ya sanaa, na kufanya kazi kwa utaalmu huvu wakizingatia maadili ya kazi na bila kupoteza utu wao. Tofauti na wanaojiita...
Fuatilia tabia na mienendo yao: Kabla ya kuwa msanii maarufu, nidhamu iko full. Baada ya umaarufu wa kisaanii ni kujiuza au kushinda na wasichana kila wakati, ulevi na uhuni uhuni, kuvaa hovyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.