Ushauri wangu kwako Naseeb Abdul (Diamond Platinumz)

Maboso

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
5,164
5,761
Yawezekana nisiwe chochote kwako lakini si vema ukapuuzia kila unachoshauriwa. Nimekuwa shabiki wako kwa muda mrefu, si shabiki tu bali mtu ninayesupport pia kazi zako. Mie si muhudhuriaji hata kidogo kwenye show zako bali ni mnunuzi mnzuri wa kazi zako kupitia wasafi.com . Pamoja na kuwa baadhi ya nyimbo zako nilishakuwa nazo lakini niliamua kuzinunua ili tu kuweza kusupport cha kwetu cha nyumbani.

Tuachane na hayo. Kuna jambo lilinisikitisha siku chache zilizopita, Video ya wimbo mnzuri wa African Beauty. Binafsi, na ninaamini kuna wengine pia watakubaliana na mimi kuwa ile video haikuwa na maadili hata kidogo. Mie niliamua kumezea mate tu nisiseme chochote hasa baada ya kuona umejaribu kutoa hiyo ulioiita clean version.

Kilichonisukuma kuandika huu uzi ni kuhusiana na post zako za jana katika Insta Story. Diamond mdogo wangu huwa hatupambani na wazazi wenzetu namna hiyo. Diamond post za jana siyo nzuri. Zinakupunguzia sana mashabiki. Sawa yawezekana upo kimataifa kwa sasa ila kumbuka fanya yote nyumbani ndio kila kitu. Zari si mwanamke wa kumfanyia hivyo. Sawa yawezekana usijali sana kuhusu Zari lakini una watoto wewe. Hivi umejaribu kufikiria maisha ya kina Tiffa pindi atakapovunja ungo atakuwaje? Umejaribu kufikiria maisha ya hao wanao wawili wa kiume watakuwaje? Mie mwanzo nilikusifu sana ulipoamua kutokusema chochote kuhusu kuachana kwako na Zari. Ila sasa kwa ulichokifanya jana umeonekana kabisa kwamba wewe ni mpuuzi na hujatulia. Unaharibu jina lako, unaharibu heshima yako, unajipunguzia endorsement ambazo ungeweza kupata kutoka kwa makampuni yanayojitambua. Unajipunguzia mashabiki. Kabla hujafanya kitu jaribu kwanza kufikiria. Yes it is your life but hii jamii ndio imekufikisha hapo. Bila support ya hii jamii hata ungefanya kitu gani usingeweza kufika hapo. Pesa zisikufanye uanze kupata kiburi na kufanya vitu vya aibu namna hiyo.

Ninapoaandika haya natambua wazi kwamba una haki ya kufanya ukitakacho ila angalia future ya wanao. Hebu jaribu kuconcetrate kwenye kazi.
 
Wakati huyo bi tukinao akimzodoa mwenzie na child support ulikuwa wapi ewe shabiki mtiifu??

Usimcheke mwenye shida leo maana hatuijui kesho yetu

Vuta kumbukumbu kwa aliyokuwa akiyafanya yeye na video zake mitandaoni??? Hahahaha saiv ex wake anaona km amechanganyikiwa aiseeee

Simtetei domo kwa anayofanya lkn mshauri bila kujiegemeza kwa huyo mganda sababu huyo nae ana machafu mengi tu waliyokuwa wanapost leo ndo anakumbuka kuwa ana watoto!!! Video zake za kushikwa makalio kazisahau???
 
Katika video hii unaisikia sauti moja kubwa mahususi na inayojirudia rudia ya mwanaume mmoja Mmarekani mweusi. Mtangazaji wa pambano anatambua uwepo wa mtu huyu anayezungumza kwa sauti akielekeza anayosema kwa Muhammad Ali. Jina lake ni Drew Brown Bundini. Bundini alikuwa pembeni mwa Muhammad Ali katika maisha yake ya ndondi karibu mapambano yake yote - katika kushinda kwake na hata pale mwili wake ulipofikia ukomo na kushindwa kupigana tena. Jukumu lake lilikuwa: kutamka kwa sauti kubwa maneno ya kumpa Ali moyo wakati wa pambano na kumkumbusha umuhimu wa kushinda na kwa nini uwezo wa kushinda anao, kitu ambacho kilikuwa kinampa Ali nguvu ya kisaikolojia kupambana kabla na wakati wa pambano.
Alikuwa rafiki, mtu wa kumpa moyo, mtu wa faraja, mtu wa kumpa maneno ya kumpa nguvu Ali wakati wote wa maisha yake ya ndondi. Alikuwa pia mshairi na wakati mwingine ndiye aliyeandika hotuba za Ali. Bundini ndiye aliyekuja na ule msemo wa Ali wa “float like a butterfly, sting like a bee” akimaanisha “elea kama kama kipepeo, ng’ata kama nyuki”, ikiwa ni mbinu ya kupambana ulingoni. Msemo huu Ali aliutumia sana kuwavunja moyo wapinzani wake ulingoni.
Mwaka 1964, Ali akiwa na miaka 22 na wakati huo akijulikana kama Cassius Clay, alipanda ulingoni huko Miami Florida, kumkabili gwiji wa ndondi aliyeogopwa na bingwa wa wakati huo Sonny Liston. Inawezekana Bundini alikuwa mtu pekee katika ulimwengu wa masumbwi ambaye aliamini Ali angeweza kushinda pambano lile, na muda wote wa mtanange alikuwa akipaza sauti kwenye ukumbi mzima Ali akisikia, “the world is watching”, “sting him” akimaanisha, “dunia inakutazama”, “mmalize”, na kadhalika. Ali aliushangaza ulimwengu alipomshinda Liston na kunyakua ubingwa wa dunia kwa mara ya kwanza.
Kwenye video hii, Ali anapigana na mkali mwingine wa enzi hizo, Joe Frazier, hii ikiwa ni pambano lao la pili. Hakuna ubishi kuwa Frazier ni mojawapo ya mabondia nguli zaidi ambao Ali aliwahi kupambana nao. Alimshinda Ali mara moja, na ilibidi wapigane mapambano matatu tofauti kuamua nani alikuwa bora zaidi. Unamsikia Bundini akipaza sauti kumtia moyo Ali, wakati alipokuwa anafanya vizuri. Frazier alimpompiga Ali, Bundini alikuwa anapaza sauti vile vile akisema, “It’s okay, champ, it’s okay”, akimaanisha “usijali gwiji, usijali”. Kwenye mapambano mengine niliyotazama video zake, Bundini alikuwa akipaza sauti na kusema, “ keep dancing, keep dancing champ”. Kuna mpambano mmoja ambao kwa saa nzima, Bundini alikuwa anapaza sauti na kusema “Fight like Sugar Ray” akimaanisha pigana kama Sugar Ray. [Ali na Bundini walikuwa mashabiki wakubwa wa moja ya mabondia mashuhuri kuwahi kutokea katika historia, Sugar Ray Robinson. Alikuwa katika ndondi kati ya mwaka 1940 hadi 1965 na alishinda mapambano 173 kati ya 200 aliyowahi kushiriki]. Baada ya kupaza sauti kwa saa nzima, “Fight like Sugay Ray”, sauti ya Bundini ilikauka, lakini aliendelea kusema kwa sauti ya kufifia, “Sugar Ray, Sugar Ray” huku Ali akimmaliza mshindani wake. Wakati mwingine Bundini alikuwa akimkera kocha wa Ali, Angelo Dundee. Kuna wakati Dundee hakuhitaji kusema chochote kwa Ali muda wa mapumziko kama jinsi ambavyo makocha husema, kwa sababu Bundini alikuwa tayari ameshasema kila kitu ambacho kilitakiwa kusemwa.
Katika maisha, kila mmoja anamuhitaji Bundini wake. Bundini wako ni nani? Mtaje Bundini wako. Mtafute Bundini wako. Kuwa Bundini kwa mwingine.
 
Watanzania ni aina ya binadamu ambao wanaweza wakawa wanamfukuza mwizi aliyewaibia mali kubwa,ghafla akapita mwanamke mwenye makalio makubwa mbele yao,wanaachana na mwizi na kuanza kumkimbiza yule mwanamke. Wanamsahau kabisa yule mwizi aliyeiba mali zao na wanafuata mambo ya kijinga.
 
Kwan kuna sehemu zari kalalamikia child support? Mbona mnampenda hivyo zari kila kitu zari zari aiseee huyu mganda ni habari ya mujini
Mwenzenu dai anamaumivu makali ya kutoswa tena katoswa na mwanamke aliyemnunulia bonge la jumba kuliko ka kiduku kake ka madale inauma sana
Wakati huyo bi tukinao akimzodoa mwenzie na child support ulikuwa wapi ewe shabiki mtiifu??

Usimcheke mwenye shida leo maana hatuijui kesho yetu

Vuta kumbukumbu kwa aliyokuwa akiyafanya yeye na video zake mitandaoni??? Hahahaha saiv ex wake anaona km amechanganyikiwa aiseeee

Simtetei domo kwa anayofanya lkn mshauri bila kujiegemeza kwa huyo mganda sababu huyo nae ana machafu mengi tu waliyokuwa wanapost leo ndo anakumbuka kuwa ana watoto!!! Video zake za kushikwa makalio kazisahau???
 
Katika video hii unaisikia sauti moja kubwa mahususi na inayojirudia rudia ya mwanaume mmoja Mmarekani mweusi. Mtangazaji wa pambano anatambua uwepo wa mtu huyu anayezungumza kwa sauti akielekeza anayosema kwa Muhammad Ali. Jina lake ni Drew Brown Bundini. Bundini alikuwa pembeni mwa Muhammad Ali katika maisha yake ya ndondi karibu mapambano yake yote - katika kushinda kwake na hata pale mwili wake ulipofikia ukomo na kushindwa kupigana tena. Jukumu lake lilikuwa: kutamka kwa sauti kubwa maneno ya kumpa Ali moyo wakati wa pambano na kumkumbusha umuhimu wa kushinda na kwa nini uwezo wa kushinda anao, kitu ambacho kilikuwa kinampa Ali nguvu ya kisaikolojia kupambana kabla na wakati wa pambano.
Alikuwa rafiki, mtu wa kumpa moyo, mtu wa faraja, mtu wa kumpa maneno ya kumpa nguvu Ali wakati wote wa maisha yake ya ndondi. Alikuwa pia mshairi na wakati mwingine ndiye aliyeandika hotuba za Ali. Bundini ndiye aliyekuja na ule msemo wa Ali wa “float like a butterfly, sting like a bee” akimaanisha “elea kama kama kipepeo, ng’ata kama nyuki”, ikiwa ni mbinu ya kupambana ulingoni. Msemo huu Ali aliutumia sana kuwavunja moyo wapinzani wake ulingoni.
Mwaka 1964, Ali akiwa na miaka 22 na wakati huo akijulikana kama Cassius Clay, alipanda ulingoni huko Miami Florida, kumkabili gwiji wa ndondi aliyeogopwa na bingwa wa wakati huo Sonny Liston. Inawezekana Bundini alikuwa mtu pekee katika ulimwengu wa masumbwi ambaye aliamini Ali angeweza kushinda pambano lile, na muda wote wa mtanange alikuwa akipaza sauti kwenye ukumbi mzima Ali akisikia, “the world is watching”, “sting him” akimaanisha, “dunia inakutazama”, “mmalize”, na kadhalika. Ali aliushangaza ulimwengu alipomshinda Liston na kunyakua ubingwa wa dunia kwa mara ya kwanza.
Kwenye video hii, Ali anapigana na mkali mwingine wa enzi hizo, Joe Frazier, hii ikiwa ni pambano lao la pili. Hakuna ubishi kuwa Frazier ni mojawapo ya mabondia nguli zaidi ambao Ali aliwahi kupambana nao. Alimshinda Ali mara moja, na ilibidi wapigane mapambano matatu tofauti kuamua nani alikuwa bora zaidi. Unamsikia Bundini akipaza sauti kumtia moyo Ali, wakati alipokuwa anafanya vizuri. Frazier alimpompiga Ali, Bundini alikuwa anapaza sauti vile vile akisema, “It’s okay, champ, it’s okay”, akimaanisha “usijali gwiji, usijali”. Kwenye mapambano mengine niliyotazama video zake, Bundini alikuwa akipaza sauti na kusema, “ keep dancing, keep dancing champ”. Kuna mpambano mmoja ambao kwa saa nzima, Bundini alikuwa anapaza sauti na kusema “Fight like Sugar Ray” akimaanisha pigana kama Sugar Ray. [Ali na Bundini walikuwa mashabiki wakubwa wa moja ya mabondia mashuhuri kuwahi kutokea katika historia, Sugar Ray Robinson. Alikuwa katika ndondi kati ya mwaka 1940 hadi 1965 na alishinda mapambano 173 kati ya 200 aliyowahi kushiriki]. Baada ya kupaza sauti kwa saa nzima, “Fight like Sugay Ray”, sauti ya Bundini ilikauka, lakini aliendelea kusema kwa sauti ya kufifia, “Sugar Ray, Sugar Ray” huku Ali akimmaliza mshindani wake. Wakati mwingine Bundini alikuwa akimkera kocha wa Ali, Angelo Dundee. Kuna wakati Dundee hakuhitaji kusema chochote kwa Ali muda wa mapumziko kama jinsi ambavyo makocha husema, kwa sababu Bundini alikuwa tayari ameshasema kila kitu ambacho kilitakiwa kusemwa.
Katika maisha, kila mmoja anamuhitaji Bundini wake. Bundini wako ni nani? Mtaje Bundini wako. Mtafute Bundini wako. Kuwa Bundini kwa mwingine.
Naam umekumbusha kitu hapa "thrilla in manila ilikuwa si mchezo round ya 15 joe hakurudi ulingoni ali akawa mshindi lakini nae alikuwa hoi hizi ndio zilikuwa ngumi za uzito wa juu siku hizi bondia anatoka ulingoni anaweza kupitiliza na kwenda penye sharehe bila hata ya kuoga maana hajachubuka wala ngeo hana basi ili mradi tu.
 
Yawezekana nisiwe chochote kwako lakini si vema ukapuuzia kila unachoshauriwa. Nimekuwa shabiki wako kwa muda mrefu, si shabiki tu bali mtu ninayesupport pia kazi zako. Mie si muhudhuriaji hata kidogo kwenye show zako bali ni mnunuzi mnzuri wa kazi zako kupitia wasafi.com . Pamoja na kuwa baadhi ya nyimbo zako nilishakuwa nazo lakini niliamua kuzinunua ili tu kuweza kusupport cha kwetu cha nyumbani.

Tuachane na hayo. Kuna jambo lilinisikitisha siku chache zilizopita, Video ya wimbo mnzuri wa African Beauty. Binafsi, na ninaamini kuna wengine pia watakubaliana na mimi kuwa ile video haikuwa na maadili hata kidogo. Mie niliamua kumezea mate tu nisiseme chochote hasa baada ya kuona umejaribu kutoa hiyo ulioiita clean version.

Kilichonisukuma kuandika huu uzi ni kuhusiana na post zako za jana katika Insta Story. Diamond mdogo wangu huwa hatupambani na wazazi wenzetu namna hiyo. Diamond post za jana siyo nzuri. Zinakupunguzia sana mashabiki. Sawa yawezekana upo kimataifa kwa sasa ila kumbuka fanya yote nyumbani ndio kila kitu. Zari si mwanamke wa kumfanyia hivyo. Sawa yawezekana usijali sana kuhusu Zari lakini una watoto wewe. Hivi umejaribu kufikiria maisha ya kina Tiffa pindi atakapovunja ungo atakuwaje? Umejaribu kufikiria maisha ya hao wanao wawili wa kiume watakuwaje? Mie mwanzo nilikusifu sana ulipoamua kutokusema chochote kuhusu kuachana kwako na Zari. Ila sasa kwa ulichokifanya jana umeonekana kabisa kwamba wewe ni mpuuzi na hujatulia. Unaharibu jina lako, unaharibu heshima yako, unajipunguzia endorsement ambazo ungeweza kupata kutoka kwa makampuni yanayojitambua. Unajipunguzia mashabiki. Kabla hujafanya kitu jaribu kwanza kufikiria. Yes it is your life but hii jamii ndio imekufikisha hapo. Bila support ya hii jamii hata ungefanya kitu gani usingeweza kufika hapo. Pesa zisikufanye uanze kupata kiburi na kufanya vitu vya aibu namna hiyo.

Ninapoaandika haya natambua wazi kwamba una haki ya kufanya ukitakacho ila angalia future ya wanao. Hebu jaribu kuconcetrate kwenye kazi.
Diamond ni mshamba sana,tena limbukeni hasa,sjui kwa sababu ya maisha aliyokulia???yaani utazani ndo kwanza ana barehe,hatokuja ampate mwanamke anaye jitambua kama Zari,
 
Katika video hii unaisikia sauti moja kubwa mahususi na inayojirudia rudia ya mwanaume mmoja Mmarekani mweusi. Mtangazaji wa pambano anatambua uwepo wa mtu huyu anayezungumza kwa sauti akielekeza anayosema kwa Muhammad Ali. Jina lake ni Drew Brown Bundini. Bundini alikuwa pembeni mwa Muhammad Ali katika maisha yake ya ndondi karibu mapambano yake yote - katika kushinda kwake na hata pale mwili wake ulipofikia ukomo na kushindwa kupigana tena. Jukumu lake lilikuwa: kutamka kwa sauti kubwa maneno ya kumpa Ali moyo wakati wa pambano na kumkumbusha umuhimu wa kushinda na kwa nini uwezo wa kushinda anao, kitu ambacho kilikuwa kinampa Ali nguvu ya kisaikolojia kupambana kabla na wakati wa pambano.
Alikuwa rafiki, mtu wa kumpa moyo, mtu wa faraja, mtu wa kumpa maneno ya kumpa nguvu Ali wakati wote wa maisha yake ya ndondi. Alikuwa pia mshairi na wakati mwingine ndiye aliyeandika hotuba za Ali. Bundini ndiye aliyekuja na ule msemo wa Ali wa “float like a butterfly, sting like a bee” akimaanisha “elea kama kama kipepeo, ng’ata kama nyuki”, ikiwa ni mbinu ya kupambana ulingoni. Msemo huu Ali aliutumia sana kuwavunja moyo wapinzani wake ulingoni.
Mwaka 1964, Ali akiwa na miaka 22 na wakati huo akijulikana kama Cassius Clay, alipanda ulingoni huko Miami Florida, kumkabili gwiji wa ndondi aliyeogopwa na bingwa wa wakati huo Sonny Liston. Inawezekana Bundini alikuwa mtu pekee katika ulimwengu wa masumbwi ambaye aliamini Ali angeweza kushinda pambano lile, na muda wote wa mtanange alikuwa akipaza sauti kwenye ukumbi mzima Ali akisikia, “the world is watching”, “sting him” akimaanisha, “dunia inakutazama”, “mmalize”, na kadhalika. Ali aliushangaza ulimwengu alipomshinda Liston na kunyakua ubingwa wa dunia kwa mara ya kwanza.
Kwenye video hii, Ali anapigana na mkali mwingine wa enzi hizo, Joe Frazier, hii ikiwa ni pambano lao la pili. Hakuna ubishi kuwa Frazier ni mojawapo ya mabondia nguli zaidi ambao Ali aliwahi kupambana nao. Alimshinda Ali mara moja, na ilibidi wapigane mapambano matatu tofauti kuamua nani alikuwa bora zaidi. Unamsikia Bundini akipaza sauti kumtia moyo Ali, wakati alipokuwa anafanya vizuri. Frazier alimpompiga Ali, Bundini alikuwa anapaza sauti vile vile akisema, “It’s okay, champ, it’s okay”, akimaanisha “usijali gwiji, usijali”. Kwenye mapambano mengine niliyotazama video zake, Bundini alikuwa akipaza sauti na kusema, “ keep dancing, keep dancing champ”. Kuna mpambano mmoja ambao kwa saa nzima, Bundini alikuwa anapaza sauti na kusema “Fight like Sugar Ray” akimaanisha pigana kama Sugar Ray. [Ali na Bundini walikuwa mashabiki wakubwa wa moja ya mabondia mashuhuri kuwahi kutokea katika historia, Sugar Ray Robinson. Alikuwa katika ndondi kati ya mwaka 1940 hadi 1965 na alishinda mapambano 173 kati ya 200 aliyowahi kushiriki]. Baada ya kupaza sauti kwa saa nzima, “Fight like Sugay Ray”, sauti ya Bundini ilikauka, lakini aliendelea kusema kwa sauti ya kufifia, “Sugar Ray, Sugar Ray” huku Ali akimmaliza mshindani wake. Wakati mwingine Bundini alikuwa akimkera kocha wa Ali, Angelo Dundee. Kuna wakati Dundee hakuhitaji kusema chochote kwa Ali muda wa mapumziko kama jinsi ambavyo makocha husema, kwa sababu Bundini alikuwa tayari ameshasema kila kitu ambacho kilitakiwa kusemwa.
Katika maisha, kila mmoja anamuhitaji Bundini wake. Bundini wako ni nani? Mtaje Bundini wako. Mtafute Bundini wako. Kuwa Bundini kwa mwingine.
Bila shaka bundini wangu ni Mondi
 
Hatari sana
20180416_120505.jpg
 
Watanzania ni aina ya binadamu ambao wanaweza wakawa wanamfukuza mwizi aliyewaibia mali kubwa,ghafla akapita mwanamke mwenye makalio makubwa mbele yao,wanaachana na mwizi na kuanza kumkimbiza yule mwanamke. Wanamsahau kabisa yule mwizi aliyeiba mali zao na wanafuata mambo ya kijinga.
Ha ha ha acha kutuonea wabongo wajameni dooh
 
Yawezekana nisiwe chochote kwako lakini si vema ukapuuzia kila unachoshauriwa. Nimekuwa shabiki wako kwa muda mrefu, si shabiki tu bali mtu ninayesupport pia kazi zako. Mie si muhudhuriaji hata kidogo kwenye show zako bali ni mnunuzi mnzuri wa kazi zako kupitia wasafi.com . Pamoja na kuwa baadhi ya nyimbo zako nilishakuwa nazo lakini niliamua kuzinunua ili tu kuweza kusupport cha kwetu cha nyumbani.

Tuachane na hayo. Kuna jambo lilinisikitisha siku chache zilizopita, Video ya wimbo mnzuri wa African Beauty. Binafsi, na ninaamini kuna wengine pia watakubaliana na mimi kuwa ile video haikuwa na maadili hata kidogo. Mie niliamua kumezea mate tu nisiseme chochote hasa baada ya kuona umejaribu kutoa hiyo ulioiita clean version.

Kilichonisukuma kuandika huu uzi ni kuhusiana na post zako za jana katika Insta Story. Diamond mdogo wangu huwa hatupambani na wazazi wenzetu namna hiyo. Diamond post za jana siyo nzuri. Zinakupunguzia sana mashabiki. Sawa yawezekana upo kimataifa kwa sasa ila kumbuka fanya yote nyumbani ndio kila kitu. Zari si mwanamke wa kumfanyia hivyo. Sawa yawezekana usijali sana kuhusu Zari lakini una watoto wewe. Hivi umejaribu kufikiria maisha ya kina Tiffa pindi atakapovunja ungo atakuwaje? Umejaribu kufikiria maisha ya hao wanao wawili wa kiume watakuwaje? Mie mwanzo nilikusifu sana ulipoamua kutokusema chochote kuhusu kuachana kwako na Zari. Ila sasa kwa ulichokifanya jana umeonekana kabisa kwamba wewe ni mpuuzi na hujatulia. Unaharibu jina lako, unaharibu heshima yako, unajipunguzia endorsement ambazo ungeweza kupata kutoka kwa makampuni yanayojitambua. Unajipunguzia mashabiki. Kabla hujafanya kitu jaribu kwanza kufikiria. Yes it is your life but hii jamii ndio imekufikisha hapo. Bila support ya hii jamii hata ungefanya kitu gani usingeweza kufika hapo. Pesa zisikufanye uanze kupata kiburi na kufanya vitu vya aibu namna hiyo.

Ninapoaandika haya natambua wazi kwamba una haki ya kufanya ukitakacho ila angalia future ya wanao. Hebu jaribu kuconcetrate kwenye kazi.
Hivi tatizo ni kutoa video au tatizo ni kutoa video akiwa na mwanamke nwengine tofauti na zari????
Maana kama ni video chafu kumbuka hata kipindi akiwa na zari walokuwa wanajirekodi video chafu yyu na zar na wanazitoa au umesahau???Hukumbuki zile video alizokuwa akimshika makalio zari huku zari akikatika?


Je zile video wakiba Tiffah hawatoziona?
 
Kwan kuna sehemu zari kalalamikia child support? Mbona mnampenda hivyo zari kila kitu zari zari aiseee huyu mganda ni habari ya mujini
Mwenzenu dai anamaumivu makali ya kutoswa tena katoswa na mwanamke aliyemnunulia bonge la jumba kuliko ka kiduku kake ka madale inauma sana
Aliyetosa analalamika video za ex wake kuwa na wapenzi wengine!!!

Wanatiana wao tusichoshe viuno vyetu kukatika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom