Zawadi B Lupelo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,549
- 3,722
Wanajamvi salaam!
Hivi karibuni msanii Diamond Platnumz alipelekewa taarifa ya TRA assessment ya kudaiwa kodi ya kiasi kisichopungua milioni 400,
Wadau mbalimbali walijitokeza kumtetea akiwemo profesa J lakini baada ya muda hii ishu imekuwa kimya swali ni je alilipa, amesamehewa na wameyamaliza kijanja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi karibuni msanii Diamond Platnumz alipelekewa taarifa ya TRA assessment ya kudaiwa kodi ya kiasi kisichopungua milioni 400,
Wadau mbalimbali walijitokeza kumtetea akiwemo profesa J lakini baada ya muda hii ishu imekuwa kimya swali ni je alilipa, amesamehewa na wameyamaliza kijanja?
Sent using Jamii Forums mobile app