Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ninachompendea lulu , licha ya kuwa alikua mdangaji kama wadada wengi wa mjini , na pengine ameshalala na mastaa wakubwa na viongozi mbali mbali wa serikalini ambao Wengine hatuwajui, lakini huyu...
7 Reactions
16 Replies
4K Views
Nasikiliza wimbo wa Mandojo na Domokaya, unaitwa Dingi, huu wimbo unaonekana kama ni true story ila sijabahatika kusoma au kusikia sehemu yoyote wakithibitisha kuhusu hili. Jamaa wanazungumzia...
14 Reactions
42 Replies
14K Views
Msanii ak 47 wa uganda,amefarik ghafla baada ya kuteleza kwenye bafu alipokuwa bar.Mungu ampumzishe salama Details as to the cause of death are still...
1 Reactions
21 Replies
12K Views
Monalisa ni mmoja wa wahusika wenye vipaji na ninampenda Celeb24x7.com
3 Reactions
39 Replies
7K Views
Naona hivi sasa Ustaa umeanza kunukia kwa video vixen maarufu nchini , Official Lynn . Awali habari za kuwa vixen huyo anatoka na diamond zilianza kuvuma miaka ya nyuma kidogo , mpaka ikadaiwa...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Rapa Kanye West amebadilisha jina lake kuwa Ye. Akitangaza mabadiliko hayo kwenye Twitter siku ya Jumamosi, aliandika: "Nimekuwa nikijulikana kama Kanye West. Mimi ni YE." West, 41, amekuwa...
0 Reactions
2 Replies
974 Views
Kwema humu.. kwa Tanzania unamkubali dj yupi anaecheza nyimbo za Hip Hop..? na kituo gani cha Radio kinachocheza Nyimbo za Hip Hop mimi naanza na 1. Dj Jeff Jerry-Kiss fm (Jafari mzonge) huyu...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Fiesta imeanzia moro jana, nimebahatika kupata picha chache kutokana na picha safari hii kuwa hadimu. Lakini naambiwa Fid Q ndio alikuwa nyota wa mchezo.
4 Reactions
38 Replies
7K Views
Niliposikiliza voice note ya hamisa mobeto akiongea na mganga au shekhe kama anavyodai, nimegundua tabia halisi ya hamisa mobetto 1. Hana roho mbaya - Akiongea kwa sauti ya upole na ya...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Hongera kwao navykenzo kwa wimbo wa KATIKA umefikia watazamaji Milioni moja ndani ya siku mbili na bado unashika nafasi ya kwanza kwa kutazamwa Tanzania. Na bila kusahau clouds media wamempost...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Inaonekana Diamond ako obsessed mostly with light skinned girl , huenda huu ndo ugonjwa wake kwa wanawake, ukichunguza kwa umakini list ya warembo aliowahi ku date nao au kutoka nao Utagundua...
5 Reactions
42 Replies
6K Views
Leo nimepitia baadhi ya post insta, ingawa mm sio mpenz sana wa mtandao huo. Katika pita zangu nimejikuta naangalia post mbalimbali za diamond. Moja wapo ni show ya namibia. Ukiangalia kwa makin...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanajiita wanamuziki lakini mimi nasema ni wahuni na wababaishaji ambao wameivamia fani kwa mtindo wa zima moto. Baadhi ya wanamuziki wanaojiita ni wa kizazi kipya ni janga kwa taifa kwa kuwa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
There is a saying that , show me your friend , and I will tell you who you are , Msemo huu umekua ndivyo sivyo kwa hawa marafiki wa muda mrefu, namzugumzia mtangazaji na mjasiriamali Zamaradi...
6 Reactions
28 Replies
6K Views
Mungu ambariki mtoto wa Tandale, matibabu mema Hawa niko namshughurikia now kwenda india kutibiwa... ila sikutaka kutangaza coz staki watu wachukulie msaada wangu ni kiki...but kwakuwa maswali...
7 Reactions
32 Replies
7K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ametoa kauli yake juu ya mvutano unaoendelea kati ya Wema Sepetu na team Hamisa Mobetto juu ya jina la TZ Sweetheart. Mkuu huyo alikuwa mmmoja kati ya...
2 Reactions
134 Replies
13K Views
nicwe mnafki hili pini lenye ladha ya "Gospel ya kutia moyo", Dogo janja kachanja mle mle kiukweli, Kaimba kwa hisia za kweli kabisa zinazotokana na wakati mgumu anaoupitia kwenye maisha yake...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
yule mkongwe wa mziki wa kizazi kipya ambae pia ni mbunge wa mikumi.. ameachia bonge la video.. kwenye wimbo wake wa vunja mifupa .ee bwana eeeh huyu mshikaji hajawai kukosea.. pamoja na majukumu...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Tusipoteze muda wote tunajua kuwa hakuna taasisi rasmi ya serikali iliyosajili rasmi jina la TZ Sweetheart kutumika kwa mtu Fulani Je tunaliongeleaje hili kwa pande na pembe zote kwa...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Ushindani lazima ili mambo yawe sawa katika tasnia hii ya mziki.But hongera yao wote.Aslay na Mboso japokuwa wametoka group moja,Now mmoja WCB mwingine Clouds. But maisha yanaenda.
1 Reactions
27 Replies
16K Views
Back
Top Bottom