Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa wale wapenzi wa jukwaa letu pendwa la celebrities forum ,leo nataka mniambie mnataka mada zipi au celebrity/celebrities wepi mnataka tuwajadili kwa mapana zaidi? Maana niliamua kukaa kando...
5 Reactions
88 Replies
11K Views
Kwa mujibu wa Meneja wa Diamond Platnumz,Babu Tale,msanii Hawa aliyeshirikishwa kwenye wimbo wa nitarejea wa Diamond amefanyiwa operation ya moyo salama kwa masaa matano,Tale ameandika kupitia...
10 Reactions
21 Replies
6K Views
Huyu dogo nimetokea kumkubali sana baada ya kumsikia kwenye wimbo wa iokote wa yeye na maua sama. Kwa hakika ule wimbo bila kuwepo yeye usingekuwa wimbo wa taifa kama ilivyo hivi sasa.
8 Reactions
37 Replies
8K Views
Latipha Nasibu a.k.a Princess Tiffa kwa sasa anakimbiza dunia nzima kwa kuwa mtoto mwenye followers wengi zaidi duniani huku akimbwaga mbali zaidi mpinzani wake Asad Khalidi ambaye ni mtoto wa Dj...
0 Reactions
41 Replies
7K Views
Huyu kijana anamiliki Kampuni ambayonndani yake ina label,studio,tv,radio nk..ambavyo vyote vimeajili vijana wa Kitanzania ambao wote wanaendesha maisa yao kwa kumtegemea Huyu Kijana Diamond...
10 Reactions
52 Replies
7K Views
Haijakaa sawa kabisa sijajua ni stress au ni nn hadi kupelekea kuonyesha nyeti yake istagram kwa kweli sijajua ilikuwa ni madhumuni yapi au ana nia gani juu ya hili la leo kawadhalilisha sana...
0 Reactions
65 Replies
16K Views
angalia superstar wa dunia anavaa buti ngumu kama hyo nguo bila shaka ni mtumba sijui tumfananishe na star gani hapa bongo Nash mc? no Nikki mbishi no ila jamaa kawa kauzu hatari
4 Reactions
121 Replies
19K Views
Winnie Harllow(24) na Wiz Khalifa(31) waangukia katika penzi zito || . Rapper huyo amesema supermodel huyo si tu kuwa ni mrembo bali ni mtu mwenye kujielewa pia. Amberose ambaye alikuwa mke wa...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ila Haka katoto kanakuja kwa kasi aiseh, juzi tu kahongwa volkswagen kwenye birthday yake , Leo tena kahongwa BMW , naona wambea tumechonga sio yake kaamua kutuumbua na kadi ya gari, mmh mwaka...
6 Reactions
68 Replies
13K Views
Msanii Young Dar es salaam mbali na kipaji kikubwa cha muziki alichonacho lakini suala la kutokujielewa ni kizuizi kikubwa cha maendeleo yake. Wajanja wengi wanatumia mgongo wa young D kupiga...
7 Reactions
27 Replies
7K Views
Mmh mbona balaa tena mujini, Ila wema mchafu, sasa dogo janja jamani c mume wa uwoya , na uwoya alikua kwenye birthday yake mlimani , kumbe bibie anamendea pipi ya dogo janja... mmh mi mwenzenu...
8 Reactions
206 Replies
33K Views
  • Closed
Mchumba mpya wa wema sepetu amepost [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
2 Reactions
38 Replies
15K Views
Nominees and Winners Winners are in bold text. Best Male Singer Banana Zorro Ali Kiba Christian Bella Marlow Mzee Yusuph Best Female Singer Lady Jaydee Khadija Yusuph Maunda Zoro Mwasiti...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Wenyeji wa Huko SnapChat sijui Instagram mtujuze haya mambo yamekaaje kwamba Zari eti anatoka na Moze Katumbi,imekaaje hii? au ndo upuuzi wa Shigongo?
4 Reactions
56 Replies
10K Views
Hatimaye cmg wameamua Kumsajili mavoko kwenye list ya wasanii watakaoperfom fiesta ya moshi.. Itakayopigwa ndani ya uwanja wa Majengo...
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Habarini Wadau, Mbona waigizaji wa Mizengwe ni wazuri sana na wana vipaji ila hawapewi recognition sana kama comedians wengine? Japo kipindi chao cha jumapili kinachorushwa na ITV ni kifupi ila...
38 Reactions
122 Replies
18K Views
Watu wengi wanaongea sana kuhusu wasanii ni Malaya mfano daimond ,wema n.k. Tambua wale ni manistaa wanajulikana so kila mwanaume/mwanamke watakao kuwa nae lazima ijulikane. Amini nakuambia huyo...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Wasanii Bilnas na Nandy wanateegemea kupata mtoto na kuna uwezekano mkubwa akawa wa kiume. Taarifa zaidi inafuata
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Huyu dada aliyekuwa akipigwa mkonga kwenye jumba la Big Brother yuko wapi? Akiwa kwenye jumba hilo alikuwa na kisirani kama ana mimba, anaye jua aliko aseme
4 Reactions
104 Replies
30K Views
Dahh yani vijana na waze ote mwendo 1
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom