Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hawa ndo wasanii watakao zindua rasmi msimu was fiesta 2018 jumamosi hii uwanja was jamuhuri kea kiingilio Cha 7000 Belle9 Fid Q Nandy Jolie Malkia Karen Whozu Mr blue Jaymolody Janjaro Z anto...
6 Reactions
92 Replies
14K Views
Akihojiwa katika kituo cha radio citizen nchini Kenya mrembo kutoka Tanzania hamisa Mobeto anasema alikuwa anajua Kama Diamond yupo na Zari na alikubali kufanya mahusiano yake na Diamond yawe ya...
0 Reactions
148 Replies
17K Views
Nilidhani akirudi kwenye utangazaji atambwera atakuwa outdated kumbe bado youko sawa anaweza rudi akashika nafasi yake maana naona kaungana leo na wenzake kwenye XXL chemistry iko sawa.
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Kwa maoni yangu huyu jamaa ndio presenter bora kabisa kwa sasa among presenters wanao fanya vipindi vya entertainment anaijua sana kazi yake and he.likes what he is doing. Bro Lil Ommy Tanzania...
4 Reactions
17 Replies
5K Views
SOMA EPISODE 2, POST # 282 SOMA EPISODE 3, POST # 655 SOMA EPISODE 4, POST # 852 SOMA EPISODE 5, POST # 1115 SOMA EPISODE 6, POST # 1656 SOMA EPISODE 7, POST # 1773 SOMA EPISODE 8, POST...
48 Reactions
492 Replies
55K Views
Habari wakuu. Nilikua napitia mkasa wa wa Lady Jay Dee kutaka kujiua nikaguswa sana na maneno aliyoandika pamoja na post ya member mwenzetu Watu8 Nini kinasababisha Lady Jay dee atake kujiua...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Siku si nyingi niliandika kuhusiana na kipaji cha LilOmmy nadhan macho yangu yalikuwa sawa na wengine hatimae muda umezungumza, na leo The Playlist ni kipindi chake cha mwisho baada ya hapo...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Hawa jamaa kwa kufanya promo hakuna anaye wafikia, kwa upande wa redio ni wabunifu sana sana. Mfano walianzisha mtindo flani ambapo wanafanya matangazo kama vile wanapiga story mtu asipokuwa...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Sijui tatizo nini wadada wa mjini bongo wanalo...aiseehhh!!hata mtu unaemuona wa maana nae anakua mswahili mswahili kuendeleza vitaa.. Ishu ilianza miss Tanzania baada ya wolper kuliponda...
3 Reactions
61 Replies
7K Views
MAPENZI ni kikohozi kukificha huwezi! Na siku zote unapopenda unaweza kufanya lolote ili tu umfurahishe yule uliyenaye aone tu thamani yako au umuhimu wa kuwa na wewe. Kwenye mapenzi kuna...
0 Reactions
8 Replies
48K Views
Ndugu, jamaaa na marafiki pamoja na wadau mbalimbali wa huu mziki wa bongo fleva nnawaomba tusaidizane kulichambua hili game la bongo fleva. Mtazamo wangu: game la bongo fleva linazidi kuwa gumu...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
MWANAMUZIKI ambaye alishirikishwa kwenye Wimbo wa Nitarejea ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Hawa Said hali yake imezidi kuwa mbaya baada ya kulazwa katika Hospitali...
5 Reactions
107 Replies
21K Views
Hawa majamaa wamefanana sana kama ndugu vile. Letita wright ni Actress kwenye muvi ya Black panther as Shuri, Dada ake T'chala Tulia Ackson naibu spika wa Subwoofer la Tzania pale dom.. Letita...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
Mahakama ya Pennsylvania nchini Marekani imemshushia mvua ya kifungo cha kati ya miaka mitatu hadi kumi, mchekeshaji Bill Cosby mwenye umri wa mika 81, baada ya kumkuta na hatia ya kufanya...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Daah!!! Aisee huyu jamaa anajua good music... Namuelewa sana toka 'haya' mpaka huku anapoelekea. Nsingependa kuongea sana wadau ningeomba mtafute mzigo wake mpya unaitwa 'kiss and love' ni hatari...
3 Reactions
42 Replies
7K Views
Yani Mdogowangu ungeanzaga hii shughuli miaka ya 2000 ungekuwa mbali kinyama Ila usijali haujachelewa Tunamshukuru sana Mheshimiwa Raisi kwa Kauli Mbiu yake ya hapa kazi tu.. naona vijana...
6 Reactions
180 Replies
18K Views
Wakuu, Ni muda sijamsikia mkali DJ Steve B ambaye binafsi naamini baada ya kizazi cha akina DJ John Dilinga na DJ Bonilove hakuna anayemfikia. Bongo tumekuwa na tatizo la DJs wanaojua muziki...
7 Reactions
21 Replies
6K Views
Niseme wazi mimi ni mpenzi wa kusikiliza TBC taifa radio,hasa vipindi vyao vya Pwagu na pwaguzi(kinarushwa kila siku ya j3 hadi ijumaa saa 11:45 jioni) na kile cha TUNZA IKUTUNZE(Kinarushwa kila...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Wakati Lemutuz akiwa anamalizia free trial ya mwezi mmoja kutoka gym fulani (jina kapuni),madaktari kadhaa wamecharuka na aina ya upigaji wake wa mazoezi na kudai mambo na mazoezi anayofanya si...
39 Reactions
79 Replies
11K Views
Back
Top Bottom