Fiesta inaanza lazma Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazma Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwann inapokalibia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba...
Namnukuu Farid Kubanda
@babutale PART 1: Nimeonelea si vibaya nikifungua hiki kigazeti changu na sentensi hii—-.> “ Keki ya taifa ni kubwa sana na ina vipande vingi vya kuwatosha wachakarikaji...
Katika kile kinachoonyesha maji yamewafika shingoni Clouds media wametoa kauli nzito kupitia kwenye page ya Shilawadu(hapa nadhani wameamua kuficha aibu kwa kupost bandiko kwenye akaunti ya...
Mama wa burudani hapa nchini anajulikana ni komando binti machozi jide lady jay deeeeee hili halina ubishi
Kwa sasa mpaka sisi timu kiba tunajua na tunaunga mkono mapinduzi ya burudani, tamasha...
Itoshe tu kusema kwamba muziki wa Bongo Fleva umekua na kufika mbali pengine tofauti na ilivyofikiriwa...
Miaka ya mwanzoni ya 90 huu muziki ulionekana ni wa kihuni tu, huku muziki wa Congo...
WAKATI masuala ya ushoga yakipingwa kwa nguvu zote hapa nchini, skendo ya aina yake imeikumba serikali baada ya siri kuvuja kuwa mmoja wa viongozi kumi wa juu nchini ni shoga.
Habari hizo za...
MAMA wa mwanamitindo mwenye jina kubwa Bongo, Hamisa Mobeto, Shufaa Rutiginga ‘Mama Mobeto’, ameibuka na kusema kuwa aliuona umaarufu wa mwanaye mapema tangu alipokuwa na umri mdogo. Akizungumza...
Michelle Obama ametoa siri zake nyingi katika kusanyiko la matukio katika maisha yake kwenye kitabu chake cha "Becoming"
Kwenye kitabu hicho, Michelle anasimulia mambo mengi kuhusu maisha yake...
Msanii wa kimataifa kitoka Nigeria,Mr.Flavour amethibitisha kuwa atakuwepo kwenye uzinduzi wa tamasha Konki la wasafi festival 2018 litakalofanyika kesho jumammosi Nov 24,Mtwara.
akiongea kupitia...
Kwa kumbukumbu zangu Efm huwa wanamatamasha mawili KOMAA CONCERT, na MZIKI MNENE, wamefanya kadri ya uwezo wao na mapokeo ni mazuri hasa ukipelekea matamasha yao ni bure kabisa, hawa jamaa...
Tamasha la wasafi festival limefanikiwa Kwa kiwango cha juu.hi inatokana kuwa Na wasanii wenye mvuto Na ushawishi kwenye jamii .
Pia artists walio kwenye record label ya wasafi wanajitahidi ku...
Tunajua Joseph Kusaga yupo karibu sana na Diamond (Diamond Karanga, Wasafi media). Pia tunasikia Clouds Media wana beef na Wasafi. Kumbuka Kusaga ni Mkurugenzi wa Clouds na Ruge ni mkurugenzi wa...
Stori: Erick Evarist na Imelda Mtema
NYOTA wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando (pichani)amefungukia eneo fupi la maisha yake magumu ambapo alisema amewahi kutekwa kwa bastola na mwanaume...
Baada ya wao kugundua vyuma vimekaza wakaja na kauli mbiu ya "local artists", wakijinasibu kua sasa wamezamilia kuifanya bongo fleva kua ya kimataifa na uzalendo kwanza, sasa matokeo yake yamekua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.