music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 441
- 758
Seba Maganga ndio mastermind wa Fiesta na Clouds kwa sasa.
Namshauri atazame upepo ulivyo mbaya maana tumeona show ya After Skul Bash kwa mara ya kwanza imehudhuriwa na watu wachache sana na tunajua crowd ya afterskul bash ndio wahudhuriaji wakubwa wa Fiesta.
Jumamosi inayokuja ndio inafanyika Fiesta dsm, baada ya kuhairishwa pale leaders kutokana na sakata la barua.
Waswahili wanasema heri lawama kuliko fedhea, mkifanya fiesta jumamosi mtavuna fedhea maana kiukweli upepo sio mzuri upande wenu. Mtazidi kuwa-prove right wapinzani wenu kwamba mmekosa mvuto.
Jipeni muda mjitafakari kabla ya kurudi upya maana upepo sio.
Ni ushauri tu!
Namshauri atazame upepo ulivyo mbaya maana tumeona show ya After Skul Bash kwa mara ya kwanza imehudhuriwa na watu wachache sana na tunajua crowd ya afterskul bash ndio wahudhuriaji wakubwa wa Fiesta.
Jumamosi inayokuja ndio inafanyika Fiesta dsm, baada ya kuhairishwa pale leaders kutokana na sakata la barua.
Waswahili wanasema heri lawama kuliko fedhea, mkifanya fiesta jumamosi mtavuna fedhea maana kiukweli upepo sio mzuri upande wenu. Mtazidi kuwa-prove right wapinzani wenu kwamba mmekosa mvuto.
Jipeni muda mjitafakari kabla ya kurudi upya maana upepo sio.
Ni ushauri tu!