GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,878
Nikimuona Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma naiona Sura ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na kila nikimuona Rais Kenyatta hasa Sura yake namwona Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Juma. Wanafanana hadi wanaudhi kama siyo kukera.
Nawasilisha.
Nawasilisha.