Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

habari wadau ni siku nzuri ya mapumziko ya kuzaliwa kwa mtume Mohhame Sw..nawatakia sikukuu njema. Moja kwa moja kwenye mada,kiukweli napata ukakasi sana juu ya hii taharifa inayovuma sana kwenye...
5 Reactions
35 Replies
19K Views
Unaweza kusema ukaribu wake na Diamond platnumz weekend iliyopita katika show ilifanyika Dubai umemponza mwanamuzuki Nandy baada ya jina lake kufyekelewa mbali na Clouds media kwa wale...
7 Reactions
70 Replies
10K Views
Bado siku kadhaa ili tushuhudie miamba mitatu ikitunishiana misuli katika kuonesha nani ana nguvu kuzidi mwenzake.. siku ya trh 24 nchi hii itasimama kwa muda kucheki pambano la nani atakuwa na...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
HABARI MASIKU WAUNGWANA kama kichwa kinavyojieleza hapo juu hii ndiyo list ya wasanii wanaojua kujieleza kwenye interview zao kiasi hata ukisikia anahojiwa lazima utamani kusikiliza hyo interview...
6 Reactions
173 Replies
21K Views
Hawa jamaa naona promo zao zimejaa vijembe vya kila aina huku wakiongozwa na boss wao, jambo ambalo sijaona umuhimu wake maana muziki ni burudani na sio vita... Wanajitutumua kusema ni mapinduzi...
8 Reactions
152 Replies
15K Views
Akuna cha bwana mpya Wala nini . hamisa kawa weza mashilawadu wa tz. Kumbe alikuwa anatafuta attention ya nyimbo. Yule jamaa mcheza nondo ya kikapu katumika kama video visk .
0 Reactions
47 Replies
11K Views
Mkongwe wa Bongo fleva afande Sele amesema Diamond platnumz hapaswi kabisa kuwahofia Clouds kwasababu anajeshi kubwa linalojitosheleza. Afande Sele" kiukweli kwasasa ukisema uchukue wasanii Bora...
5 Reactions
20 Replies
5K Views
Nimemuona Rc wa DSM, Ndugu Makonda akihamasisha Fiesta na kulifanyia promotion. Je ni sahihi viongozi wa kisiasa kutumika kwenye matangazo ya biashara ya makampuni binafsi? Sio Makonda pekee...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Baada ya watu kumwambia alimpendea jamaa Mjulubeng/dushe haya ndio majibu kuhusu shemeji wa zamani. Ila huyu kaka mvivu na mbinafsi kama ni kweli hizi tuhuma
4 Reactions
148 Replies
21K Views
Ni nyimbo bora yenye maudhui ya Kitanzania ambayo imepikwa wasafi records, Nyimbo ina melody nzuri na mpangilio mzuri wa mashairi huku yakiwa na ujumbe mzito Hii nyimbo yafaa kuwa nyimbo bora...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakati mwingine inabidi umsifie mtu kutokana na ubora wa kazi anayoifanya hata kabla hajafa..Hawa watu Kenny na Hanscana wanajitahidi sana katika kutengeneza music videos za bongo fleva kwa sasa...
3 Reactions
31 Replies
10K Views
SIASA hasa ya vyama vingi lazima ukubali kuwa na makundi mawili ya wanaokupenda na wanaokuchukia; utake usitake. Kwenye sanaa makundi hayo mawili hayapo! Kilichopo ni ushabiki ambao hautengenezi...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Huwa nashangaa sana kuona mtu anakuja na kuidharau wcb kisa ceo ni diamond! diamond ni mtoto mdogo sana lakini anawahenyesha wakubwa Zamani matangazo ya fiesta yalikuwa hayana vijembe na...
24 Reactions
111 Replies
12K Views
Bila shaka najua haupingiki diamond ni msanii namba moja Africa mashariki lakini aliweza kitengenrzewa beef na msanii pendwa wa muda wote alikiba hii ikiwa katika kufaidisha media lakini ki...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Kutokana magazeti ya udaku na michezo, ni ukweli usiofichika kuwa mwanaspoti mashuhuri duniani, Christiano Ronaldo ni shoga, na yeye Ronaldo hajawahi kupinga hizi shutuma hata siku moja, zaidi ya...
4 Reactions
117 Replies
37K Views
Wenyewe wanauliza Nani aongezeke hapo?
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Mwanaume aliyesema kuwa alimtapeli mwanadada wema sepetu, hata baada ya kumtangaza kuwa ndie angetakiwa kuwa mme wake. Amemtumia SMS nyingi za kitisho mwanadada Wema Sepetu, kwa kumwambia kuwa...
0 Reactions
51 Replies
12K Views
Joto la upinzani wa matamasha ya music kati ya fiesta na wasafi festival linazidi kupanda kiasi Kila upande unatumia aina yoyote ya promo ili mradi kuvuta watu. Katika tangazo la clouds msanii...
5 Reactions
56 Replies
11K Views
Mwambieni mamba aseme suu me sio shabiki WA udaku lakini nataka nione mbambe Nani Kati ya dada wa taifa na konk master Aisee! Hii movie imefika patamu wacha tuone konk konk konk master
6 Reactions
141 Replies
25K Views
Baada ya Shafii kuweka hii picha,nusu jezi ya Simba nusu Azam ,aisee Manara amefyatuka kama sijui nini. Huku maneno mazito mazito yakifuata Manara huwa anapenda sana kuwatania watu hasa Yanga...
5 Reactions
56 Replies
10K Views
Back
Top Bottom