Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

habari wadau.. nimeona kwenye habari hashim lundenga anaomba serikali imsaidie kutafuta wafadhili wa miss tanzania.. kama yupo humu au jamaa yeyote aliyopo humu amfikishie huu ushauri. ni...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mrembo maarufu mtandaoni Sanchword amebadili dini na kuwa muislam rasmi na kuitwa Surraiya Evarist Rimoy. Sanchi binti wa kichaga mwenye shepu matata amekuwa akifunga ramadhani wakati bado...
34 Reactions
285 Replies
49K Views
Hello Wakuu Leo Rapper Eminem amefikisha Miaka 51 ya kuzaliwa Ili kusherekea sikukuu sio vibaya tukashare mstari katika wimbo wake unaokukonga roho hadi kesho Mimi naanza na hii kutoka 'Not...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Hatimaye mwanadada mrembo na mfanya biashara maarufu tokea pande za +254 amefunguka na kudai ameshasaini kila kitu kilichomtaka yeye kufanya hvyo , na Kwa sasa anachoangalia yeye ni biashara zake...
13 Reactions
254 Replies
24K Views
Baada ya Mwemba Burton maarufu @mwijaku kusema na kuandika maneno ya udhalilishaji kwa msanii @mauasama hivi karibuni amejikuta akikalia kuti kavu baada ya Maua Sama kupitia Wakili wake, Claudio...
28 Reactions
53 Replies
9K Views
Watanzania adui yetu mkubwa kwa sasa ameongezeka. Wakati wa Nyerere ilikuwa umaskini, magonjwa na ujinga. Kwa sasa adui yetu mkubwa ni 1. Wivu 2. Chuki 3. Unafki Ukikaa chini ukatafakari...
4 Reactions
94 Replies
10K Views
Diamond Platinumz had just taken delivery of a brand new Rolls Royce when I spoke to him – it’s a blue Cullinan, latest model. It’s the first of its kind in Tanzania and when Diamond took it on...
5 Reactions
42 Replies
6K Views
Huyo hapo chini ndiye mchumba wa AY na ana asili ya Yemen na visiwa vya Shelisheli. Hapo ilikuwa Jumapili iliyopita Club Bilicanas. Amesema katika harusi yake hatachangisha michango kama baadhi ya...
8 Reactions
144 Replies
29K Views
Wakuu Huyu Ndio Mshindi Wa Shindano La Miss Kyelwa 2021. Hakika Muandaaji na Majaji Wametisha Sana Kwenye Hili. Hongera Kwa Mshindi na KAZI IENDELEE [emoji281][emoji281][emoji281]
7 Reactions
38 Replies
5K Views
Kuna watu tumejaliwa vipaji fulani vya kusoma alama za nyakati na kutabiri mambo yajayo. Zaidi ya miaka miwili nimekuwa nikimfuatilia huyu mwanamziki Harmonise tangu ajitoe kwenye label ya WCB. Na...
32 Reactions
48 Replies
6K Views
Nataka kumkumbusha Rayvanny asi concentrate sana na Papuchi akasahau mziki wake, akumbuke yeye bado ni muajiriwa wa label ya wasafi, asipofanya kazi hali... Sasa yeye aendelee kutangatanga na huyo...
21 Reactions
107 Replies
16K Views
Kupitia Instagram yake Fahyma ambaye ni mama mtoto wa Rayvanny ameandika kuwa:- NAOMBA IFIKE MUDA MUWE NA HESHIMA NA JINA LA MTU UNAE TUMIA PICHA YANGU NA JINA LANGU KWA MANUFAA YAKO SHERIA...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Sio mpenzi sana wa kutoa maoni yangu kwa mambo madogo madogo hasa yasiyo ya lazima kama mambo ya muziki na filamu. Ila leo nimeona sio vibaya kusema kitu kwa huu uonevu unaondelea kwa komredi Ali...
20 Reactions
73 Replies
7K Views
Kwa msanii mkongwe kama Ali Kiba kushindwa kumpiku Zuchu ni aibu kubwa sana. Inamaana Zuchu amekuwa mkubwa kuliko Ali Kiba? Ni maswali tu wanayojiuliza wataalam wa mambo ya muziki.
3 Reactions
31 Replies
5K Views
One of the most famous singers in the world made the bulk of her money offstage — in a joint venture with LVMH Rihanna's beauty line accounts for most of her wealth. CAROLINE MCCREDIE/GETTY...
9 Reactions
59 Replies
7K Views
Nikki wa Pili alikuwa akiwaponda sana watu walioajiriwa mpaka akatoa wimbo wa sitaki kazi. Alisema yeye anataka kuajiri na sio kuajiriwa. Swali, ameteuliwa uDC. Je, atakataa?
10 Reactions
48 Replies
7K Views
Hili bifu limemtafuna Fid Q kwa muda mrefu na wimbo wa usiulize ndio diss track namba moja Tanzania ukimlenga moja kwa moja Fid Q Je kuchelewa kujibu kwa Fid ni uoga au alikosa muda? amekosea...
4 Reactions
55 Replies
3K Views
Msanii diamond platnumz ni moja ya wasanii wenye mafanikio sana katika medani ya muziki Tanzania na Afrika kiujumla... safari yake kimziki ilianza miaka tisa iliyopita (2009) baada ya kutoa wimbo...
18 Reactions
68 Replies
16K Views
Katika vitu tutaendelea kumshukuru Chibu ni kutuletea mastaa wapya kwenye entertainment industry. Kunaaliowatengeneza direct kutumia mikono yake na kuna waliopata umaarufu kwa kutumia jina lake...
4 Reactions
50 Replies
5K Views
Wakongwe tulimjua tangu awali ila hadi sasa watu wengi ukiwaambia kwamba mwamba ni mzungu wana bisha kabisa
11 Reactions
35 Replies
2K Views
Back
Top Bottom