aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
Meneja ricardo momo huyu anawasimamia wasanii walio chini ya wcb
Diamond huyu ndio mwanzilishi wa wcb na mtu wa pili kwa hisa wasafi media
Mlezi ambaye ni mwanahisa akiwa na mameneja tale hana elimu ndio maana anaitwa mr ndio
Lavalava msanii ambaye hana mafanikio ndani ya WCB kwani anaenda ist ambayo ni uber dereva akiwa yeye mwenyewe
m
Mbosso msanii ambaye ana nyimbo 10 ndani ya miez 6 ila zote hazijavuma akiwa na Raymond mwanamuziki ambaye kundini wa tofauti kabaki peke yake baada ya Mavoko kutoka
Diwani Fella aka mzee wa kubeba mikoba akiwa meneja mjanja mjanja Salam aliyeshinikiza Kifesi na Mavoko kufukuzwa
Zamaradi Mketema meneja vipindi na uzalishaji Wasafi media
Queen Darlin first lady wa WCB huyu muziki alishaisha ila kawekwa tu mradi apate ugali maana ni ndugu na Diamondi huyu ndio alimkutanisha Mondi na Bob Junior na watanashati
Romy Jones ndugu mpambe wa Diamondi kazi yake ni kuuza sura tu
Harmonize kipenzi cha Mondi, huyu ana hisa pia Wasafi media anapendwa sababu ya uwezeshaji aliompa Mondi toka Mtwara mpaka nyota kuzidi kuwa nyeupe ndio maana mondi akaamua kwenda kulee kwao kutoa zawadi ya kujenga nyumba ya ibada
Mavazi yao yanazungumza wao ni watu wa aina gani
Diamond huyu ndio mwanzilishi wa wcb na mtu wa pili kwa hisa wasafi media
Mlezi ambaye ni mwanahisa akiwa na mameneja tale hana elimu ndio maana anaitwa mr ndio
Lavalava msanii ambaye hana mafanikio ndani ya WCB kwani anaenda ist ambayo ni uber dereva akiwa yeye mwenyewe
Mbosso msanii ambaye ana nyimbo 10 ndani ya miez 6 ila zote hazijavuma akiwa na Raymond mwanamuziki ambaye kundini wa tofauti kabaki peke yake baada ya Mavoko kutoka
Diwani Fella aka mzee wa kubeba mikoba akiwa meneja mjanja mjanja Salam aliyeshinikiza Kifesi na Mavoko kufukuzwa
Zamaradi Mketema meneja vipindi na uzalishaji Wasafi media
Queen Darlin first lady wa WCB huyu muziki alishaisha ila kawekwa tu mradi apate ugali maana ni ndugu na Diamondi huyu ndio alimkutanisha Mondi na Bob Junior na watanashati
Romy Jones ndugu mpambe wa Diamondi kazi yake ni kuuza sura tu
Harmonize kipenzi cha Mondi, huyu ana hisa pia Wasafi media anapendwa sababu ya uwezeshaji aliompa Mondi toka Mtwara mpaka nyota kuzidi kuwa nyeupe ndio maana mondi akaamua kwenda kulee kwao kutoa zawadi ya kujenga nyumba ya ibada
Mavazi yao yanazungumza wao ni watu wa aina gani